Ontario kamalizwa kishamba mno!

Jamaa si anakula commission kwa;
1. Kuwaletea FNB na JP markets wateja;
2. Mazzezzeta kuunguza akaunti. He has nothing to loose
Kabla ya kuwashawishi na kujipigia chapuo waje kupata knowledge kwenu kwa kutoa laki 2 tmt sio mazezeta,,ila baada kutoa laki 2 na training ya siku 5 na kulazimishwa kutumia broker wao kwa maslahi binafsi hatimae kuunguza akaunti leo anaitwa ZEZETA.

Revealing of true colours!;
 
Andiko halina thamani ya milioni 7 kwa mwezi;..wala laki 233,334 kwa siku;...wala kipato cha 19,445 kwa @ SAA moja;...ama Tsh 324 kwa @ dakika moja

Ni abrakadabra ya wavivu...wa kufikiri,na tamaa ya utajiri wa ghafla
 
Nimekutapeli nini ndugu?
Kuwa na Kauli zenye hekima, TMT naisikia tu kwenye mitandao, siijui Kama ambavyo wewe sikujui, Unataka Identity yangu original ili iweje?
Sitangazi biashara hapa na wala sijasema nipewe pesa sasa tatizo lako nini?
Hatuwezi kukaa kimya watu wakipoteza pesa ili yeye afanikiwe na wenzake waharibikiwe, hebu jaribu kuficha upumbavu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…