Ontario kamalizwa kishamba mno!

Ontario kamalizwa kishamba mno!

move bado ipo on fire.... nilichojifunza kupitia threads zote za forex ni hiki......
1. forex is real
2. watu wanapata wanalose

kwa nini watu wanamuona ONTARIO ni tapeli ?
1. kuwalazimisha watu kutumia broker wao JPmarkets.
2. kuwahadaa watu waweke hela kwenye accounts waanze kupractise real account kwa mafunzi mafupi ya siku tano kitu ambacho sio sawa, walau inatakiwa acheze na demo kwa muda kama miezi mitatu fasta, utapeli upo wapi ? ni pale anapowadanganya waweke hela waanze kutrade then accnt zao zinaungu, broker wake anafaidi kwa hapa lazima apate commision... huu utapeli ni kiwango cha standard gauge.

ushauri kwa Ontario
1. endelea kutoa mentorship kwa kiwango ambacho unaona kinafaa, bcz hakuna kitu cha bure unatumia gharama kubwa za pango, lesseni, kuwaleta kina cre kutoka bondeni n.k
2. kuweni na lugha rafiki wa wateja wenu... kwa zile screen shots zilizowekwa hapa na deadbody unaonekana kiburi sana na lugha mbaya kwa wanafunzi wako, you still umefika, ila bado una safari ndefu sana ya mafanikio.
3. kuna ile audio iliwekwa hapa cre alikuwa anaongea, mara sijui ofisa mmoja alirudi kwa call moja tu, hakuna anaeogopwa zaidi ya JPM. Nikwambie kitu ndugu, serikali ina mkono mrefu sana, masikio yasizidi kichwa.
4. mwisho kabisa kuna vita ya dhidi ya TMT na kundi lingine ambalo nao wanatoa mentorship, hapa lazima upigwe mawe sana, boresha huduma yako kwa kiwango kikubwa, hakika utakua balozi mzuri sana, ili uendelee kulinda brand yako hapa jf na kampuni yako TMT ni bora ukaja wazi kujibu hizi shutuma khs broker, kauli chafu, FNB (naskia kuna mikoa hawakwenda na mliwaahidi), pia kuna timu yako inayokutetea humu aidha kwa maslahi, nikushauri tu aina ya timu ulioichagua inadidimiza brand yako... kuna kadada kanaitwa jeskitilla kanaongea kauli chafu sana, hata sehemu ya kujibu hoja yeye ni tusi, watu wa aina hii wanakuharibia.


mwisho nikutakie kazi njema, binafsi sijaanza kushiriki, kwa sasa nasoma kwanza vitabu, nikimaliza nitafanya mentorship baada ya hapo nifungue demo nipate uzoefu kwanza ndio nianze kutrade real.....
 
Mara nyingi watu wa TMT huwa hawakubali mapungufu kwa uwazi. Ktk zile nyuzi za forex niligundua hilo. Yaani mara nyingi atatetea forex ya TMT kwa reply au post lakini yakiwekwa mapungufu ya TMT atayakubali kwa like lakini atayapinga kwa reply. Hili lilinifunza kuwa hata wao kuna mapungufu wanayaona "pengine" wanashindwa jinsi ya kuyawakilisha ktk uongozi wao.

mkuu kwanza yakupasa ufahamu kuwa kunawengine ambao walikuwa wamepangwa maalumu kwaajili yakupotosha watu nakuna vijahela walikuwa wanalipwa..pia kuna ambao walikuwa fake ids ..yaani mtu mmoja anakuwa na ids kama 3 hivi ..kwahiyo kama hujiongezi unaona kuwa uzi mmoja unawatu wengi wanaokueleza faida za fx kumbe unachat namtu huyo huyo mmoja
.mwisho wasiku wanakutapeli kisaikoloji ..
 
Pole Sana ndugu, na hapa sijasema kila kitu ,eti halina thamani ya mil 7,hiyo pesa unaiona nyingi...surely Trump spoke the truth on us!



Pole ya nini

'.. na kwanini usiweke wazi kila kitu,ili wote wapige hizo hela za bure bure..'

'na m7 ni pesa ndefu kwa wenye kipato halali...ila kwa Tapeli na mwizi ni vijisenti vya starehe tu..'

Na kauli ya Trump 'iliwalenga' wababaishaji na wakora wanaoishi kama Kupe,funza ama minyoo...kwa 'nguvu' za wengine






Pole Sana ndugu, na hapa sijasema kila kitu ,eti halina thamani ya mil 7,hiyo pesa unaiona nyingi...surely Trump spoke the truth on us!
 
Uzalishaji mali upi mkuu? Mambo yote ni pesa .
Unataka nikutajie uzalishaji mali upi? Okay, mfano Neel salt wanapozalisha chumvi ni wamzalosha mali, na wale wasambazaji wanapoipeleka sokoni na kukuuzia ni wamezalisha huduma; kwahiyo kipi unachouliza hasa?
 
Uzalishaji mali upi mkuu? Mambo yote ni pesa .
Unataka nikutajie uzalishaji mali upi? Okay, mfano Neel salt wanapozalisha chumvi ni wamzalosha mali, na wale wasambazaji wanapoipeleka sokoni na kukuuzia ni wamezalisha huduma; kwahiyo kipi unachouliza hasa?
 
move bado ipo on fire.... nilichojifunza kupitia threads zote za forex ni hiki......
1. forex is real
2. watu wanapata wanalose

kwa nini watu wanamuona ONTARIO ni tapeli ?
1. kuwalazimisha watu kutumia broker wao JPmarkets.
2. kuwahadaa watu waweke hela kwenye accounts waanze kupractise real account kwa mafunzi mafupi ya siku tano kitu ambacho sio sawa, walau inatakiwa acheze na demo kwa muda kama miezi mitatu fasta, utapeli upo wapi ? ni pale anapowadanganya waweke hela waanze kutrade then accnt zao zinaungu, broker wake anafaidi kwa hapa lazima apate commision... huu utapeli ni kiwango cha standard gauge.

ushauri kwa Ontario
1. endelea kutoa mentorship kwa kiwango ambacho unaona kinafaa, bcz hakuna kitu cha bure unatumia gharama kubwa za pango, lesseni, kuwaleta kina cre kutoka bondeni n.k
2. kuweni na lugha rafiki wa wateja wenu... kwa zile screen shots zilizowekwa hapa na deadbody unaonekana kiburi sana na lugha mbaya kwa wanafunzi wako, you still umefika, ila bado una safari ndefu sana ya mafanikio.
3. kuna ile audio iliwekwa hapa cre alikuwa anaongea, mara sijui ofisa mmoja alirudi kwa call moja tu, hakuna anaeogopwa zaidi ya JPM. Nikwambie kitu ndugu, serikali ina mkono mrefu sana, masikio yasizidi kichwa.
4. mwisho kabisa kuna vita ya dhidi ya TMT na kundi lingine ambalo nao wanatoa mentorship, hapa lazima upigwe mawe sana, boresha huduma yako kwa kiwango kikubwa, hakika utakua balozi mzuri sana, ili uendelee kulinda brand yako hapa jf na kampuni yako TMT ni bora ukaja wazi kujibu hizi shutuma khs broker, kauli chafu, FNB (naskia kuna mikoa hawakwenda na mliwaahidi), pia kuna timu yako inayokutetea humu aidha kwa maslahi, nikushauri tu aina ya timu ulioichagua inadidimiza brand yako... kuna kadada kanaitwa jeskitilla kanaongea kauli chafu sana, hata sehemu ya kujibu hoja yeye ni tusi, watu wa aina hii wanakuharibia.


mwisho nikutakie kazi njema, binafsi sijaanza kushiriki, kwa sasa nasoma kwanza vitabu, nikimaliza nitafanya mentorship baada ya hapo nifungue demo nipate uzoefu kwanza ndio nianze kutrade real.....

Umeongea point nzuri sana ndugu yangu ingawa kuna mahala ntaku crush.
1.Ontario hana maslahi na FNB alisema tumia benk yoyote lakini FNB n rahisi kuna watu walitumia benk zingine lakini kuhamisha pesa ilikua n kwa swift code(wataalam wa mabenk watanielewa) akasema anawashauri FNB ndio rahisi


2.Kuhusu Huduma za TMT kifupi nampa Pongezi sana Tanzania tunaongoza kua na customer care mbovu lakini Pale TMT Nifa anajitahidi sana sana yule dada angu hana tatizo na mtu anasaidia sana

3.Lugha kali sijui hawaskilizi watu ontario huu ni uongo Tatizo lilikuja ni watu kutumia broker wengine wakalizwa pesa pasipo wao kujua wakaanza kulalamika na ilikua broker flani alikua na masharti Rahisi sana unaweka pesa kama sikosei hata kwa Mpesa lakin ikifika usiku akawa anaongeza Spread sasa kama uko kwenye trade na kiji account chako kina ela ndogo asubui unakuta moshi kwenye simu [emoji3].


4.Cre ni mtu 1 mstaraab sana tatizo watu nadhan approach ya kumuuliza maswali na kiingereza chenu hichi cha mchikichini akaona kama wanamdisturb.kuna muda akawa anatoa calls lakini inakuja tofaut na hapa ndio mtambur forex n kupata au kukosa hua inatokea ni kama umeenda kulima nyanya zako umevuna umezipaki upelele sokoni unakuja kugundua sokoni msimu huo nyanya zilikua nyingi sana so utapata hasara lakini sometimes utapata faida mnakumbuka mwaka fulan iringa dada kalima nyanya zikamuozea lakini ndio kama forex kuna muda unafanya analysis baadae mambo yanakua tofauti TATIZO LILIKUJA WENGI WALIKUA NA OVEREXPECTATION KUA UNALAZA MGONGO WAKO HAPO UNADOWNLOAD PESA HAYA HAO WANAOSEMA NI SCAM WAULIZE WAMESOMA VITABU GANI MPAKA SASA HII LEO HAO UKIWAULIZA “black shadow” “Moolah” au Kangaroo Tail n nin hawajui so Forex inataka kuna basic knowledge uwe nayo ndio utakua trader ambae atleast kila siku utalaza pesa,na mTz kusoma n mvivu haswa.

5.Kuhusu Bank kufunguliwa mikoani nadhani Mnajua taratibu za kibenk kufunguliwa mambo ya vibali na mambo mengine na mnajua kabisa mwaka huu masuala ya kibenk tanzania yameyumba tujipe muda tu watafungua lakini isiwe kigezo ch kumshambulia Ontario nadhan hii nguvu ingetumika kuwashambulia wanasiasa Tanzania leo tungekua na bomba zinatoa maziwa [emoji3].

6.Sina mahusiano yoyote na Ontario hanifahamu simfahamu na most of the Time sipo Tz wanaonijua wanajua hili nikikaa Tz mwezi basi kuna jambo kubwa sana nafanya kingine sifanyi forex ila naijua nje ndani na TMT nilienda kuona mazingira nilimpeleka mdogo wangu akasome na akanipa mrejesho na matunda nayaona juzi tu nimetumiwa $2000 akasema Kunywa maji hiyo pia akanieleza jinsi TMT inafanya kazi nikasema OK its Good na pia nimemtumia vitabu zaidi aweze kujua Tips na tricks za Forex.......nikasema fx itakusaidia kupata ela za vocha muda huu huna ajira bas fanya fx ili usiwasumbue wazazi ingawa pia na Loss hua anapata mfano wiki hii Pair nying zenye USD Zinafanya vizuri ila kidogo kidogo sana. why sifanyi Fx kuna kazi nafanya nakua tait sananakosa muda wa kufanya analysis zake.Lakini why naitetea kwa sabab naona Tz tatizo la ajira n gum sana kwahiyo basi vijana kuliko kukaa tu bora ufanye hata forex inasaidia kichwa kisilale saana pia huku unatafuta ajira za kujishikiza.

7.Tufike mahala tuache ujuaji nikipitia koment za watu naona kabisa Hii forex ya kutumia App ya MT4 wengi wao hawajui inafanya kazi vipi ndio maana wanakua na ubishi usio na data.


8.Kuhusu watu kutukanana nao wengi hua wanaanza kuni attack personally sasa ili kuendana nao hua na mimi narudisha majibu katika namna ambayo utakereka mpaka mwingine akaja PM akaanza kulia kwa hili mnisamehe tu sinaga simile kuna mahala fulani kijana 1 alinitukana sasa hua natembea na ile Teaser nilichomfanya nacho alisimulia kwao ni hayo tu.TAFUTA DATA KUHUSU FOREX SOME TERMS & CONDITIONS ZAKE NA ZA KILA BROKER UKIRIDHIA FANYA AU ACHA HAULAZIMISHWI NA MTU.


Jestina J.H.
 
Ontario ni mpuuz mmoja alie ingiwa tamaa ya kula pesa za wanyonge kwa kushirikiana na mabepari kabulu, huyu akipata chance ya kuuza watu anaeza rudisha watu utumwani kwa janja janja ya maneno maneno [HASHTAG]#shithole[/HASHTAG]
Hahaha jamani pesa ni pesa, hakuna pesa ya masikini wala tajiri. Mbona Mohamed Dewji anauza unga kwa masikini?! Mbona juice za Bakhresa hata masikini hununua?!
Muacheni mtoto wa watu naye atafute, ukitaka asiipate pesa yako kaambali na hiyosijui TMT.
Hata wale ombaomba mwisho wa siku pesa yao hununua chakula, nguo n.k. pesa haina cha umasikini jamani tuluzeni mizuka
 
Umeongea point nzuri sana ndugu yangu ingawa kuna mahala ntaku crush.
1.Ontario hana maslahi na FNB alisema tumia benk yoyote lakini FNB n rahisi kuna watu walitumia benk zingine lakini kuhamisha pesa ilikua n kwa swift code(wataalam wa mabenk watanielewa) akasema anawashauri FNB ndio rahisi


2.Kuhusu Huduma za TMT kifupi nampa Pongezi sana Tanzania tunaongoza kua na customer care mbovu lakini Pale TMT Nifa anajitahidi sana sana yule dada angu hana tatizo na mtu anasaidia sana

3.Lugha kali sijui hawaskilizi watu ontario huu ni uongo Tatizo lilikuja ni watu kutumia broker wengine wakalizwa pesa pasipo wao kujua wakaanza kulalamika na ilikua broker flani alikua na masharti Rahisi sana unaweka pesa kama sikosei hata kwa Mpesa lakin ikifika usiku akawa anaongeza Spread sasa kama uko kwenye trade na kiji account chako kina ela ndogo asubui unakuta moshi kwenye simu [emoji3].


4.Cre ni mtu 1 mstaraab sana tatizo watu nadhan approach ya kumuuliza maswali na kiingereza chenu hichi cha mchikichini akaona kama wanamdisturb.kuna muda akawa anatoa calls lakini inakuja tofaut na hapa ndio mtambur forex n kupata au kukosa hua inatokea ni kama umeenda kulima nyanya zako umevuna umezipaki upelele sokoni unakuja kugundua sokoni msimu huo nyanya zilikua nyingi sana so utapata hasara lakini sometimes utapata faida mnakumbuka mwaka fulan iringa dada kalima nyanya zikamuozea lakini ndio kama forex kuna muda unafanya analysis baadae mambo yanakua tofauti TATIZO LILIKUJA WENGI WALIKUA NA OVEREXPECTATION KUA UNALAZA MGONGO WAKO HAPO UNADOWNLOAD PESA HAYA HAO WANAOSEMA NI SCAM WAULIZE WAMESOMA VITABU GANI MPAKA SASA HII LEO HAO UKIWAULIZA “black shadow” “Moolah” au Kangaroo Tail n nin hawajui so Forex inataka kuna basic knowledge uwe nayo ndio utakua trader ambae atleast kila siku utalaza pesa,na mTz kusoma n mvivu haswa.

5.Kuhusu Bank kufunguliwa mikoani nadhani Mnajua taratibu za kibenk kufunguliwa mambo ya vibali na mambo mengine na mnajua kabisa mwaka huu masuala ya kibenk tanzania yameyumba tujipe muda tu watafungua lakini isiwe kigezo ch kumshambulia Ontario nadhan hii nguvu ingetumika kuwashambulia wanasiasa Tanzania leo tungekua na bomba zinatoa maziwa [emoji3].

6.Sina mahusiano yoyote na Ontario hanifahamu simfahamu na most of the Time sipo Tz wanaonijua wanajua hili nikikaa Tz mwezi basi kuna jambo kubwa sana nafanya kingine sifanyi forex ila naijua nje ndani na TMT nilienda kuona mazingira nilimpeleka mdogo wangu akasome na akanipa mrejesho na matunda nayaona juzi tu nimetumiwa $2000 akasema Kunywa maji hiyo pia akanieleza jinsi TMT inafanya kazi nikasema OK its Good na pia nimemtumia vitabu zaidi aweze kujua Tips na tricks za Forex.......nikasema fx itakusaidia kupata ela za vocha muda huu huna ajira bas fanya fx ili usiwasumbue wazazi ingawa pia na Loss hua anapata mfano wiki hii Pair nying zenye USD Zinafanya vizuri ila kidogo kidogo sana. why sifanyi Fx kuna kazi nafanya nakua tait sananakosa muda wa kufanya analysis zake.Lakini why naitetea kwa sabab naona Tz tatizo la ajira n gum sana kwahiyo basi vijana kuliko kukaa tu bora ufanye hata forex inasaidia kichwa kisilale saana pia huku unatafuta ajira za kujishikiza.

7.Tufike mahala tuache ujuaji nikipitia koment za watu naona kabisa Hii forex ya kutumia App ya MT4 wengi wao hawajui inafanya kazi vipi ndio maana wanakua na ubishi usio na data.


8.Kuhusu watu kutukanana nao wengi hua wanaanza kuni attack personally sasa ili kuendana nao hua na mimi narudisha majibu katika namna ambayo utakereka mpaka mwingine akaja PM akaanza kulia kwa hili mnisamehe tu sinaga simile kuna mahala fulani kijana 1 alinitukana sasa hua natembea na ile Teaser nilichomfanya nacho alisimulia kwao ni hayo tu.TAFUTA DATA KUHUSU FOREX SOME TERMS & CONDITIONS ZAKE NA ZA KILA BROKER UKIRIDHIA FANYA AU ACHA HAULAZIMISHWI NA MTU.


Jestina J.H.
thanks, umeongea point nzuri , maelezo murua bila mihemuko...kama mngekuwa mnawaelewesha watu hivi wasingekuwa na hasira, japo umesema wao ndio wanakuanza na unawajibu vile. Nikutakie majukumu memaa J, ntaanza kutrade kwenye mwezi may, itategemea nitakua nimeiva kwa kiasi gani
 
thanks, umeongea point nzuri , maelezo murua bila mihemuko...kama mngekuwa mnawaelewesha watu hivi wasingekuwa na hasira, japo umesema wao ndio wanakuanza na unawajibu vile. Nikutakie majukumu memaa J, ntaanza kutrade kwenye mwezi may, itategemea nitakua nimeiva kwa kiasi gani

Thank you.kwa muda huu tumia muda wako kusoma kitabu cha “Naked forex” ujue mbinu mbali mbali za ku trade na ujue kujicontrol on trading
 
Hahaha jamani pesa ni pesa, hakuna pesa ya masikini wala tajiri. Mbona Mohamed Dewji anauza unga kwa masikini?! Mbona juice za Bakhresa hata masikini hununua?!
Muacheni mtoto wa watu naye atafute, ukitaka asiipate pesa yako kaambali na hiyosijui TMT.
Hata wale ombaomba mwisho wa siku pesa yao hununua chakula, nguo n.k. pesa haina cha umasikini jamani tuluzeni mizuka
Mkuu nakukumbusha tu kua Ontario hauzi uji wa mchele na vitumbua kujaza matumbo za makabwela
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hahaha jamani pesa ni pesa, hakuna pesa ya masikini wala tajiri. Mbona Mohamed Dewji anauza unga kwa masikini?! Mbona juice za Bakhresa hata masikini hununua?!
Muacheni mtoto wa watu naye atafute, ukitaka asiipate pesa yako kaambali na hiyosijui TMT.
Hata wale ombaomba mwisho wa siku pesa yao hununua chakula, nguo n.k. pesa haina cha umasikini jamani tuluzeni mizuka
Mkuu nakukumbusha tu kua Ontario hauzi uji wa mchele na vitumbua kujaza matumbo za makabwela
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu nakukumbusha tu kua Ontario hauzi uji wa mchele na vitumbua kujaza matumbo za makabwela
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahaha mbona mikeka ya wahindi hamlalamiki hivyo?! Mbona Biko na Tatu mzuka hamlalamiki?!
Unadhani Dewji anauza uji wa mchele?! Na Bakhresa unadhani juice zake huku uswahilini tunapewa bure?!
Muacheni huyo Ontario naye atafute kwani anakaba?!
 
Thank you.kwa muda huu tumia muda wako kusoma kitabu cha “Naked forex” ujue mbinu mbali mbali za ku trade na ujue kujicontrol on trading
ahsante ngoja nikipakue kabisa... nipo karbia namaliza forex bible nikimaliza ntakisoma hicho ulichosema.
 
Back
Top Bottom