BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Kabla ya kuwashawishi na kujipigia chapuo waje kupata knowledge kwenu kwa kutoa laki 2 tmt sio mazezeta,,ila baada kutoa laki 2 na training ya siku 5 na kulazimishwa kutumia broker wao kwa maslahi binafsi hatimae kuunguza akaunti leo anaitwa ZEZETA.Jamaa si anakula commission kwa;
1. Kuwaletea FNB na JP markets wateja;
2. Mazzezzeta kuunguza akaunti. He has nothing to loose
Revealing of true colours!;