Ontario kamalizwa kishamba mno!

Ontario kamalizwa kishamba mno!

Umeongea point nzuri sana ndugu yangu ingawa kuna mahala ntaku crush.
1.Ontario hana maslahi na FNB alisema tumia benk yoyote lakini FNB n rahisi kuna watu walitumia benk zingine lakini kuhamisha pesa ilikua n kwa swift code(wataalam wa mabenk watanielewa) akasema anawashauri FNB ndio rahisi


2.Kuhusu Huduma za TMT kifupi nampa Pongezi sana Tanzania tunaongoza kua na customer care mbovu lakini Pale TMT Nifa anajitahidi sana sana yule dada angu hana tatizo na mtu anasaidia sana

3.Lugha kali sijui hawaskilizi watu ontario huu ni uongo Tatizo lilikuja ni watu kutumia broker wengine wakalizwa pesa pasipo wao kujua wakaanza kulalamika na ilikua broker flani alikua na masharti Rahisi sana unaweka pesa kama sikosei hata kwa Mpesa lakin ikifika usiku akawa anaongeza Spread sasa kama uko kwenye trade na kiji account chako kina ela ndogo asubui unakuta moshi kwenye simu [emoji3].


4.Cre ni mtu 1 mstaraab sana tatizo watu nadhan approach ya kumuuliza maswali na kiingereza chenu hichi cha mchikichini akaona kama wanamdisturb.kuna muda akawa anatoa calls lakini inakuja tofaut na hapa ndio mtambur forex n kupata au kukosa hua inatokea ni kama umeenda kulima nyanya zako umevuna umezipaki upelele sokoni unakuja kugundua sokoni msimu huo nyanya zilikua nyingi sana so utapata hasara lakini sometimes utapata faida mnakumbuka mwaka fulan iringa dada kalima nyanya zikamuozea lakini ndio kama forex kuna muda unafanya analysis baadae mambo yanakua tofauti TATIZO LILIKUJA WENGI WALIKUA NA OVEREXPECTATION KUA UNALAZA MGONGO WAKO HAPO UNADOWNLOAD PESA HAYA HAO WANAOSEMA NI SCAM WAULIZE WAMESOMA VITABU GANI MPAKA SASA HII LEO HAO UKIWAULIZA “black shadow” “Moolah” au Kangaroo Tail n nin hawajui so Forex inataka kuna basic knowledge uwe nayo ndio utakua trader ambae atleast kila siku utalaza pesa,na mTz kusoma n mvivu haswa.

5.Kuhusu Bank kufunguliwa mikoani nadhani Mnajua taratibu za kibenk kufunguliwa mambo ya vibali na mambo mengine na mnajua kabisa mwaka huu masuala ya kibenk tanzania yameyumba tujipe muda tu watafungua lakini isiwe kigezo ch kumshambulia Ontario nadhan hii nguvu ingetumika kuwashambulia wanasiasa Tanzania leo tungekua na bomba zinatoa maziwa [emoji3].

6.Sina mahusiano yoyote na Ontario hanifahamu simfahamu na most of the Time sipo Tz wanaonijua wanajua hili nikikaa Tz mwezi basi kuna jambo kubwa sana nafanya kingine sifanyi forex ila naijua nje ndani na TMT nilienda kuona mazingira nilimpeleka mdogo wangu akasome na akanipa mrejesho na matunda nayaona juzi tu nimetumiwa $2000 akasema Kunywa maji hiyo pia akanieleza jinsi TMT inafanya kazi nikasema OK its Good na pia nimemtumia vitabu zaidi aweze kujua Tips na tricks za Forex.......nikasema fx itakusaidia kupata ela za vocha muda huu huna ajira bas fanya fx ili usiwasumbue wazazi ingawa pia na Loss hua anapata mfano wiki hii Pair nying zenye USD Zinafanya vizuri ila kidogo kidogo sana. why sifanyi Fx kuna kazi nafanya nakua tait sananakosa muda wa kufanya analysis zake.Lakini why naitetea kwa sabab naona Tz tatizo la ajira n gum sana kwahiyo basi vijana kuliko kukaa tu bora ufanye hata forex inasaidia kichwa kisilale saana pia huku unatafuta ajira za kujishikiza.

7.Tufike mahala tuache ujuaji nikipitia koment za watu naona kabisa Hii forex ya kutumia App ya MT4 wengi wao hawajui inafanya kazi vipi ndio maana wanakua na ubishi usio na data.


8.Kuhusu watu kutukanana nao wengi hua wanaanza kuni attack personally sasa ili kuendana nao hua na mimi narudisha majibu katika namna ambayo utakereka mpaka mwingine akaja PM akaanza kulia kwa hili mnisamehe tu sinaga simile kuna mahala fulani kijana 1 alinitukana sasa hua natembea na ile Teaser nilichomfanya nacho alisimulia kwao ni hayo tu.TAFUTA DATA KUHUSU FOREX SOME TERMS & CONDITIONS ZAKE NA ZA KILA BROKER UKIRIDHIA FANYA AU ACHA HAULAZIMISHWI NA MTU.


Jestina J.H.
Jestina maandishi ysko mengi kuhusu forex yamekuwa yaki waataki personally wenye mawazo tofauti hata kama hawaja kuprovoke hili halina ubishi. Kiasi fulani ulikuwa unamwaribia kazi Ontario. Lakini ni vyema ukaanza upya na uwe balozi mzuri wa TMT. Halafu madhaifu yenu yanarekebishika na hao mliokuwa nao wakawa mabalozi wazuri kushswishi wengine kuliko nguvu kubwa inayoambatana na maneno makali humu
 
Umeongea point nzuri sana ndugu yangu ingawa kuna mahala ntaku crush.
1.Ontario hana maslahi na FNB alisema tumia benk yoyote lakini FNB n rahisi kuna watu walitumia benk zingine lakini kuhamisha pesa ilikua n kwa swift code(wataalam wa mabenk watanielewa) akasema anawashauri FNB ndio rahisi


2.Kuhusu Huduma za TMT kifupi nampa Pongezi sana Tanzania tunaongoza kua na customer care mbovu lakini Pale TMT Nifa anajitahidi sana sana yule dada angu hana tatizo na mtu anasaidia sana

3.Lugha kali sijui hawaskilizi watu ontario huu ni uongo Tatizo lilikuja ni watu kutumia broker wengine wakalizwa pesa pasipo wao kujua wakaanza kulalamika na ilikua broker flani alikua na masharti Rahisi sana unaweka pesa kama sikosei hata kwa Mpesa lakin ikifika usiku akawa anaongeza Spread sasa kama uko kwenye trade na kiji account chako kina ela ndogo asubui unakuta moshi kwenye simu [emoji3].


4.Cre ni mtu 1 mstaraab sana tatizo watu nadhan approach ya kumuuliza maswali na kiingereza chenu hichi cha mchikichini akaona kama wanamdisturb.kuna muda akawa anatoa calls lakini inakuja tofaut na hapa ndio mtambur forex n kupata au kukosa hua inatokea ni kama umeenda kulima nyanya zako umevuna umezipaki upelele sokoni unakuja kugundua sokoni msimu huo nyanya zilikua nyingi sana so utapata hasara lakini sometimes utapata faida mnakumbuka mwaka fulan iringa dada kalima nyanya zikamuozea lakini ndio kama forex kuna muda unafanya analysis baadae mambo yanakua tofauti TATIZO LILIKUJA WENGI WALIKUA NA OVEREXPECTATION KUA UNALAZA MGONGO WAKO HAPO UNADOWNLOAD PESA HAYA HAO WANAOSEMA NI SCAM WAULIZE WAMESOMA VITABU GANI MPAKA SASA HII LEO HAO UKIWAULIZA “black shadow” “Moolah” au Kangaroo Tail n nin hawajui so Forex inataka kuna basic knowledge uwe nayo ndio utakua trader ambae atleast kila siku utalaza pesa,na mTz kusoma n mvivu haswa.

5.Kuhusu Bank kufunguliwa mikoani nadhani Mnajua taratibu za kibenk kufunguliwa mambo ya vibali na mambo mengine na mnajua kabisa mwaka huu masuala ya kibenk tanzania yameyumba tujipe muda tu watafungua lakini isiwe kigezo ch kumshambulia Ontario nadhan hii nguvu ingetumika kuwashambulia wanasiasa Tanzania leo tungekua na bomba zinatoa maziwa [emoji3].

6.Sina mahusiano yoyote na Ontario hanifahamu simfahamu na most of the Time sipo Tz wanaonijua wanajua hili nikikaa Tz mwezi basi kuna jambo kubwa sana nafanya kingine sifanyi forex ila naijua nje ndani na TMT nilienda kuona mazingira nilimpeleka mdogo wangu akasome na akanipa mrejesho na matunda nayaona juzi tu nimetumiwa $2000 akasema Kunywa maji hiyo pia akanieleza jinsi TMT inafanya kazi nikasema OK its Good na pia nimemtumia vitabu zaidi aweze kujua Tips na tricks za Forex.......nikasema fx itakusaidia kupata ela za vocha muda huu huna ajira bas fanya fx ili usiwasumbue wazazi ingawa pia na Loss hua anapata mfano wiki hii Pair nying zenye USD Zinafanya vizuri ila kidogo kidogo sana. why sifanyi Fx kuna kazi nafanya nakua tait sananakosa muda wa kufanya analysis zake.Lakini why naitetea kwa sabab naona Tz tatizo la ajira n gum sana kwahiyo basi vijana kuliko kukaa tu bora ufanye hata forex inasaidia kichwa kisilale saana pia huku unatafuta ajira za kujishikiza.

7.Tufike mahala tuache ujuaji nikipitia koment za watu naona kabisa Hii forex ya kutumia App ya MT4 wengi wao hawajui inafanya kazi vipi ndio maana wanakua na ubishi usio na data.


8.Kuhusu watu kutukanana nao wengi hua wanaanza kuni attack personally sasa ili kuendana nao hua na mimi narudisha majibu katika namna ambayo utakereka mpaka mwingine akaja PM akaanza kulia kwa hili mnisamehe tu sinaga simile kuna mahala fulani kijana 1 alinitukana sasa hua natembea na ile Teaser nilichomfanya nacho alisimulia kwao ni hayo tu.TAFUTA DATA KUHUSU FOREX SOME TERMS & CONDITIONS ZAKE NA ZA KILA BROKER UKIRIDHIA FANYA AU ACHA HAULAZIMISHWI NA MTU.


Jestina J.H.
Kidogo leo umejitahidi kuandika point
 
Jestina maandishi ysko mengi kuhusu forex yamekuwa yaki waataki personally wenye mawazo tofauti hata kama hawaja kuprovoke hili halina ubishi. Kiasi fulani ulikuwa unamwaribia kazi Ontario. Lakini ni vyema ukaanza upya na uwe balozi mzuri wa TMT. Halafu madhaifu yenu yanarekebishika na hao mliokuwa nao wakawa mabalozi wazuri kushswishi wengine kuliko nguvu kubwa inayoambatana na maneno makali humu

Mimi sina affiliation yoyote na TMT hawanijui siwajui hata kidogo huyu ontario na wenzie nimeishia kuwaona hapa tu.... wengi wao walikua wananianza kuni attack na me bila hiyana lazma nirudishe mashambulizi hua naamini katika falsafa ya “Dont negotiate with Terrorist” na wengi wao wananichukulia Poa kuna jukwaa letu fulani la siri humu hua tunakutana huko hasira zao wanahamishia hapa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hao TMT watakua wamewaskia nilikua naitetea forex kua sio Scam na ipo dunia nzima hata Trump ni anafanya Forex kama hujui.pia nadhani TMT haikuwaikulazimisha mtu kusoma kwao masuala ya forex maana Online unaweza kusoma na ukaishi.Kama ingekua big deal kiasi hicho kwa ela ambazo anazo ontario angetia billboards nchi nzima kuitangaza au kutangaza kwenye TV watu wakasome pale ila sababu ni Forex hailazishwi uisome TMT.
 
Mimi sina affiliation yoyote na TMT hawanijui siwajui hata kidogo huyu ontario na wenzie nimeishia kuwaona hapa tu.... wengi wao walikua wananianza kuni attack na me bila hiyana lazma nirudishe mashambulizi hua naamini katika falsafa ya “Dont negotiate with Terrorist” na wengi wao wananichukulia Poa kuna jukwaa letu fulani la siri humu hua tunakutana huko hasira zao wanahamishia hapa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hao TMT watakua wamewaskia nilikua naitetea forex kua sio Scam na ipo dunia nzima hata Trump ni anafanya Forex kama hujui.pia nadhani TMT haikuwaikulazimisha mtu kusoma kwao masuala ya forex maana Online unaweza kusoma na ukaishi.Kama ingekua big deal kiasi hicho kwa ela ambazo anazo ontario angetia billboards nchi nzima kuitangaza au kutangaza kwenye TV watu wakasome pale ila sababu ni Forex hailazishwi uisome TMT.
Ontario kosa alilofanya ni kutumia lugha nzuri kuaminisha watu watauvuna utajiri kirahisi huko kwenye forex..

Angewaambia tu Forex ni kamari, hata usome vitabu elfu ila fact ni kuwa Forex ni kamari..
 
Ni kweli unatakiwa kuwa makini sana ili uifaidi forex..kuna trics na technics ngumu sana..once ukizimaster..unakuwa gwiji!..huwezi kuacha kujifunza kuendesha baiskeli kwa kuanguka mara moja au mbili!
 
Back
Top Bottom