Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

Nawewe kwanini unamsikiza na maongezi hayo hayo kila muongeapo Kama si kutamani kumla huko nyumani
Km angekua hatak, angemkanya tangu siku ya kwanza, hapa kaja kupata ushauri kabla hajajilipua nae huko.
 
Machangudoa nao huwa wanaolewa, na wanazeeka wanakuwa wabibi, wajukuu zao huwafundisha elimu hiyo hoyo waliyoiishi
 
Huo muda wa kupiga stori na mke wa mtu tena stori za kijinga kiasi hicho umepatia wapi mkuu .... mbona naona wewe ndo una tatizo
 
Mkuu wewe utakuwa siyo riziki! Unaongeaje ujinga na wake za watu?
 
Picha iko wapi???
 

Na wewe pia msikilizaji
 
Dogo usijekuta ana ku "zoom" na kukuweka sokoni kimtego. Pengine anakuona kama mtoto wa mama, na kuna jamaa yake anakuhitaji ili wewe ndiye ukampe huduma. Wakina Ashura wapo wengi.
 
Dogo usijekuta ana ku "zoom" na kukuweka sokoni kimtego. Pengine anakuona kama mtoto wa mama, na kuna jamaa yake anakuhitaji ili wewe ndiye ukampe huduma. Wakina Ashura wapo wengi.
Toka hapa pepo wewe,unawaza ujinga tu
 
Dogo usijekuta ana ku "zoom" na kukuweka sokoni kimtego. Pengine anakuona kama mtoto wa mama, na kuna jamaa yake anakuhitaji ili wewe ndiye ukampe huduma. Wakina Ashura wapo wengi.
au ndo tabia zako na mkeo....laana itawatafuna vibaya mno
 
kwahiyo hata kama ni jirani yako umnunie kisa ni mke wa mtu?
Kwahiyo mvulana unakaa unapiga story na mke wa mtu kisa jirani??
Wanaume wa Dar ni tatizo kubwa sanaa
Mwanaume unakaa na mke wa mwanaume mwenzio!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…