Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

Wengi wa wanaojisifia hapa kama wangepewa wao wangefokoa ni wajinga wachache kati ya walio wengi, ambao wanafurahia kufanya dhambi huku wanacheka! Na wamejisahaulisha kuwa iko siku watakwenda kukutana na Muumba wao! Usithubutu, narudia tena usithubutu kula kinyeo kiwe cha mwanamke au mwanaume!!
 
Mkuu kwanza Uzinzi ni uovu. USIZINI.
Pili kama utaendelea na uzinzi its a matter of time lazima UTAMFIRA TU.
Kwa kua umelileta hapa tegemea wachangiaji wengi kukushauri umfire maana wengi ndivyo wafanyavyo ingawa wanajificha wasijulikane.
Ushauri wangu kwako kabla ya kufikia huko kwenye Kufira ni USIZINI.
 
We kijana nilishakuambia upo mpumbavu sana. Ulianza leta thread ya Frank sasa hivi utaanzisha thread yenye mlengo ule ule.. Baba yako kala hasara kabisa shenzi type
 
INNALILAHI WAINNAILAIHI RAAJIOUUN
Mkuu achana na haya Mambo. Tunayaona ya kawaida tu lakini ipo siku wala haipo mbali tutalia na kusaga meno tukijutia matendo yetu maovu tuliyoyafanya na hapo hakutakuwa wa kutupa msaada.
TAKE CARE.
 
One man down

Countrywide unafeli wapi mkuu?

Tigo ni tunu. Watu tunazitafuta kwa gharama yoyote wewe unapewa bure unakataa. NiPM namba ya huyo bidada akate kiu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…