Onyo kwa wanaume mnaotaka kuingia kwenye ndoa

Onyo kwa wanaume mnaotaka kuingia kwenye ndoa

Oa tu mkuu
Kuna mtu job ananiambiaga ndoa tamu kijana oa sisi tulioona tunafaidi.

Ila ukimuona, kavaa shati lina alama ya mstari nyuma mgongoni kuanikwa kwenye kamba, nywele rafu rafu, kazini anaondoka saa 12 jioni ata kama hana shughuli, yaani unajiuliza uyu anafaidi nn sasa.
 
Huyo mwanamke wa diamond akitongozwa na CR7 itakuaje?

Saasa skiza jamaa,ukioa mwanamke akitongozwa na mwanaume mwingine akakakubali Basi wewe utafanya Jambo moja tu kumuacha huyo mwanamke.
 
Aiseeeee. Utafiti wako huo naona ulikubwa na biasness kwenye aina ya watu uliowafanyia utafiti.

Kila mtu atashinda match zake kuoa is loading...76%
 
Hiyo kutongozwa na diamond sidhani kama hata mama mchungaji wangu anaweza kataa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Bhac wanaume tumekishwa adse .hawa viumbe hawafai tena kwa matumizi ya ndoa
 
Hawa wa sasa ni kama bargaining tu, mbaya zaidi usiombe akawa ana mtoto au watoto wa kando, jiulize kwanini wameshindwa hao na wewe una nini cha kipekee cha kuwazidi waliokutangulia,
Sisemi wanawake wote bali wengi wao wa aina hiyo ni tabu tubu na ni wa ku-fake life eti wao tu ndio hutendwa na kuonewa.
Kuna wanaume pia waloshndwana na wanawake walozaa nao, yapaswa nao wafkiriwe maana pia n tabu tupu. Kuna mmoja namjua yy amezaa na wamama wawili tofauti kila moja wao kaishi nao kwa kipind fulani na wakabarkiwa kupata watoto. Na hakuna hata moja anayeish nae............na ukiuliza ati yy ndo katendwa na wanawake wote wawil alozaa nao🤨
 
Mnazidi kunikatisha tamaa kila nikifikiria kuingia huko majikuta nasema "acha nifikirie kwanza"nikiangalia kila kitu ninacho nyumba kazi (kasoro gari[emoji23][emoji23])ilo suala la mke bhana naliwazia sana na umri unaniruhusu kabisa nina hofu sana
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Bhac wanaume tumekishwa adse .hawa viumbe hawafai tena kwa matumizi ya ndoa
Tuache masihara we aje beyonce utakataa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Kuna mtu job ananiambiaga ndoa tamu kijana oa sisi tulioona tunafaidi.

Ila ukimuona, kavaa shati lina alama ya mstari nyuma mgongoni kuanikwa kwenye kamba, nywele rafu rafu, kazini anaondoka saa 12 jioni ata kama hana shughuli, yaani unajiuliza uyu anafaidi nn sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa kuna vingi nje ya muonekano anavyofaidi mkuu, we ingia tu.
 
Huyo mwanamke wa diamond akitongozwa na CR7 itakuaje??

Saasa skiza jamaa,ukioa mwanamke akitongozwa na mwanaume mwingine akakakubali Basi wewe utafanya Jambo moja tu kumuacha huyo mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnazifi kunikatisha tamaa kila nikifikiria kuingia huko majikuta nasema "acha nicikirie kwanza"nikiangalia kila kitu ninacho nyumba kazi (kasoro gari[emoji23][emoji23])ila suala la mke bhana naliwazia sana na umri unaniruhusu kabisa nina hofu sana
Usiogope mkuu ingia ata hivyo ushakula chumvi nyingi mno.
 
Naomba mualiko mkuu, nisije nikakosa vyote asee nipate hata msosi tu nikukose wewe.
Mkuu asilimia za kuoa huongezeka nne kila mwaka, sasa 16% zilizobaki maana yake ni miaka miyine ijayo😁😁😁 kuwa mvumilivu tu. Ntakupa ata kitengo cha kupokea wageni😁😁

Lakini pia ndoa yangu inaweza kuwa ya kimya kimya maana sipendagi showoff sanaaa😂😂😂
 
Kuna wanaume pia waloshndwana na wanawake walozaa nao, yapaswa nao wafkiriwe maana pia n tabu tupu. Kuna mmoja namjua yy amezaa na wamama wawili tofauti kila moja wao kaishi nao kwa kipind fulani na wakabarkiwa kupata watoto. Na hakuna hata moja anayeish nae............na ukiuliza ati yy ndo katendwa na wanawake wote wawil alozaa nao[emoji2955]
Nakubaliana nawe, lakini peleleza kutokana na mleta mada na mingi michango ya wadau hapa na nje ya JF utakuta uhalisia wa akina mama wa sasa jeuri, dharau, ujuaji mbaya zaidi kutokujali ninao wengi tu wa mfano

Sasa umkute ana ka kazi kake hapo utajuta majuto ya pili, kumbuka bado hapo ana mawasiliano na hao waliomzalisha na ukijaribu kumuaambia unaweza ukaambulia mawili ima umpe kibano ama udhalilike na ugumie mwenyewe

Kiufupi ni tabu tupu, kwa hawa tunawaita " mtalaka hatongozwi"
 
Back
Top Bottom