Onyo na ushauri wa bure kwa Panya Road, ndugu na wazazi wao

Onyo na ushauri wa bure kwa Panya Road, ndugu na wazazi wao

Hawa panya road wanaleta fedheha kwa serikali, na hii kujinganya kuua hadi wanawake itawagharimu pakubwa, kisasi cha kuuawa mwanamke hakiwezi kuwa kidogo.
Yah dawa ya muuaji na yeye kuuwawa.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu zangu nimepata taarifa kutoka kwa baadhi ya ma homeboyz kwamba kuna baadhi ya vijana wa panya road wako katika process za kutaka kuikimbia nchi ili waje Kaburu kwa lengo la kukwepa mkono wa sheria.

Inasemekana kuwa kuna baadhi ya wazazi sasa hivi wako katika harakati za kuuza viwanja, vitu vya ndani nk ili wapate pesa ya kuwatorosha watoto wao wanaosakwa usiku na mchana na vyombo vya dola kwa sababu ya tuhuma za kuvamia nyumba za watu usiku, kuiba, kujeruhi na wengine kuuwa.

Ushauri wangu kwa vijana hao na wazazi wao, ni kwamba wasijaribu kufanya hicho wanachotaka kufanya, maana kitakachowakuta huku kitaleta majuto makubwa kwao na kwa wazazi wao.
Kaburu sio nchi ya kufanyia mzaha, hapa kila mtu katoboka roho kwahiyo kuuwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.

Kuna vijana wengi tu kutoka Mbagala, Vingunguti, Buguruni, Temeke, Mburahati, mw/nyamala nk walikimbia kesi mbali mbali ila walipofika hapa baada ya muda mchache wazazi wao walirudishiwa maiti wazike. Wizi wa kijinga jinga kama vile Dar hapa hauna nafasi. Yes unaweza kutumia bisibisi kufanya uhalifu wako lkn ukiotewa hakuna mswalie mtume, unatafutwa kimya kimya, na baada ya muda watu wanasikia kuna mbongo kapigwa risasi kwenye robot (trafik light) fulani na muuaji hajakamatwa na kamwe hatokamatwa.

Kwahiyo mnaofikiria kuwa mkikwepa mkono wa sheria na kukimbilia huku kutawafaa naomba mbadilishe mawazo, maana mtakuwa mmekifuata kifo wenyewe. Maana najua mkifika hapa mtakuwa hamna shughuli nyingine ya kufanya ili mjipatie riziki, wengi mtajiingiza kwenye makundi bila kujua madhara yake ya baadae mkizani kuwa hqtq hqpq unaweza kuvamia nyumba ya mtu usiku kwa kutumia panga 😂😂😂😂 so mtapukutishwa kama punje za mahindi mashineni. Trust me what i say 🤞.
Msije kusema ma brother hatukuwaonya.

Kwa sasa nipo njiani naelekea Botswana kwahiyo nitakuwa naingia mara moja moja kusoma na hata ku reply comments mbali mbali.

Asanteni.
Kuliko kuuwawa Sauzi, 🦡 wachague kuuwawa hapahapa!
 
Sio kukwepa mkono wa Sheria ila wanauliwa, na ni kweli wanakimbia now ata mi nimepata taarifa jana kwa kuna majamaa wamekimbia na sio panya road wenyewe tu ila ata wanunuz nao wana hali mbaya wamekimbia! Kwasasa kuchezea shaba kwenye issue ya panya road ni kawaida wanauliwa
 
Sio kukwepa mkono wa Sheria ila wanauliwa, na ni kweli wanakimbia now ata mi nimepata taarifa jana kwa kuna majamaa wamekimbia na sio panya road wenyewe tu ila ata wanunuz nao wana hali mbaya wamekimbia! Kwasasa kuchezea shaba kwenye issue ya panya road ni kawaida wanauliwa
Safi sana kama wanapukutishwa.
 
Hao panya road wapelekwe kwa mwamba Putin, maana ametangaza kutafuta vijana waende vitani na watapewa Usd $2000 kwa mwezi [emoji3526]
Na watawekwa frontline!
Na huko ndiko size yao walahi!
 
Wazazi wa Kiswahili bwanaa,sijui wakoje wanashindwa malezi afu wanasafa kwensekwensii daah
Ndio maana napinga kuzaana ovyo.
Li mtul yanaona fahari kuzaana ovyo kisha wanashindwa kuwahudumia watoto wao vema. Na hasa hawa vijana wengi ni watoto wa ukanda wa Pwani. Mzazi anauza eneo anapata milioni 100 lakini hana hata mtoto mmoja amesoma hata kidato cha 6. Elimu kwao haina umuhimu kabisa. Mtoto anakua tu mradi liende. Wanaongeza mzigo wa watu wasio na faida kwa taifa.
 
Kwanini mzazi hakuuza kiwanja ili amsomeshe mtoto au kumfungulia biashara. Inafikirisha!
Tatizo hao wazazi wengi wao hawakusoma. Kwahiyo hawawezi kujua umuhimu wa elimu.
 
Sio kukwepa mkono wa Sheria ila wanauliwa, na ni kweli wanakimbia now ata mi nimepata taarifa jana kwa kuna majamaa wamekimbia na sio panya road wenyewe tu ila ata wanunuz nao wana hali mbaya wamekimbia! Kwasasa kuchezea shaba kwenye issue ya panya road ni kawaida wanauliwa
Kama kweli panya road wanauwawa basi binafsi silaumu kwa mauaji hayo maana vijana wamekuwa na mioyo ya kinyama sana. Fikiria wakivamia sehem wanaiba, wanajeruhi na wanauwa bila sababu.
 
Ndio maana napinga kuzaana ovyo.
Li mtul yanaona fahari kuzaana ovyo kisha wanashindwa kuwahudumia watoto wao vema. Na hasa hawa vijana wengi ni watoto wa ukanda wa Pwani. Mzazi anauza eneo anapata milioni 100 lakini hana hata mtoto mmoja amesoma hata kidato cha 6. Elimu kwao haina umuhimu kabisa. Mtoto anakua tu mradi liende. Wanaongeza mzigo wa watu wasio na faida kwa taifa.
Kweli kabisa, utakuta mtu anazaa watoto zaidi ya 10 ukimwambia kwann azae watoto wote hao katika hali hii mgumu ya maisha. Anakujibu eti kila mtoto anazaliwa na riziki yake.

Sasa nafikiri riziki wanayozungumzia wao ni hii ya kuibia watu, kujeruhi na sometimes kuuwa kabisa watu wasiokuwa na hatia yoyote.
 
Back
Top Bottom