Nilitaka shusha andiko kubwaa baada ya kusoma vyema kumbe ni viti maalum tena chama cha kijani.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
NgombeMbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
amekosa cha kuchangia ndio wabunge wenu wa ccm unashanga niniMbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Yeye asituingilia fantasy zetu bwana. Kuna raha ya kupakatwa na kunyonyeshwa na mkeo.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Je anao ushahidi? Alimwona nani? Kama ni hivyo mtuhumiwa wa kwanza ni mume wake kama anaye!! Kama hana mume basi ni wivu tu wa kike huo!Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
KhaaaMbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Jacqueline Msongozi kama mume wako hakufanyii hivyo umekosa makubwa kwenye ndoa yakoMbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Nadhani hamjamuelewa Huyu mbunge. Hichi anacho kiongea sio kigeni sana, kwani kipindi cha nyuma kidgo kumekuwa na malalamiko kuwa wanaume wakishalewa hangover wanakata kwa kuyanywa maziwa ya wanawake wanao nyonyesha.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Niliwahi kuona documentary kama 3 hivi zinazungumzia suala hilo na zote zilikuwa kutoka Uganda. Wanawake wanalalamika kuwa wanaume zao wanaforce kunyonya matiti wakati wananyonyesha. Wakawa wanalalamika watoto kukosa maziwa ya kutosha!!! Nilishangaa sana nikasema hao wanaume watakuwa na matatizo ya akili si bure.Hizo nii faragha za watu ,amejuaje? Hivi mwanamke huyo anatuchukuliaje wanaume ?? Yaani mama anaye nyonyesha mwanangu ni myonye maziwa yake ?
Dah! Kuna haja ya kufuta viti maalumu viti vyote viwe ni vya kuchaguliwa .
Aombe ladhi wanaume.
Kwanza ni gharama kubwa kulipa mishahala watu kama hao wasio na hoja za maana!
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app