Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Umeelewa lakini? Wewe huwa unamnyonya mke wako anapokuwa ananyonyesha? Kama hujaoa unaona ni sawa kunyonya maziwa ambayo anapaswa kunyonya mtoto?Jacqueline Msongozi kama mume wako hakufanyii hivyo umekosa makubwa kwenye ndoa yako
Huenda ndio kazi ya mtu wake, sasa kachoshwa![emoji16]Aje tumnyonye ndala zake
Yeye kakosa wa kumnyonya anawaonea wenzake gere.Oho ok..kumbe onyo ni kwa wale wanaonyonyesha...ambao Bado wake zetu hawajazaa tuendelee kunyonya kumpandisha Bibi stimu kule chini kulowe uterezi. Napita
Huyo mama kuanzia leo tumuite Mwajuma Ndalandefu.Jacqueline Msongozi kama mume wako hakufanyii hivyo umekosa makubwa kwenye ndoa yako
Nadhani mpaka bbc walitoa story kuhusu hilo kule nchini Uganda.Niliwahi kuona documentary kama 3 hivi zinazungumzia suala hilo na zote zilikuwa kutoka Uganda. Wanawake wanalalamika kuwa wanaume zao wanaforce kunyonya matiti wakati wananyonyesha. Wakawa wanalalamika watoto kukosa maziwa ya kutosha!!! Nilishangaa sana nikasema hao wanaume watakuwa na matatizo ya akili si bure.
Ni ajabu Sana kuna watu wanafanya hivi bila hata aibu wala kinyaa.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Yeye mwenyewe alimruhusu mmewe kumnyonya, hilo si kosa la jinai ni malavu tu.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Tena raha yake sasa mke akivaliahe nepi akupakate huku anakunyonyeshamimi ndio nanyonya mpaka nasinzia kwenye nyonyo kabisaa mpaka mtoto akiamka usingizini ndio na mimi natoka tunapeana zamu mimi na mtoto maana wakati mwingine maziwa yanamzidia mtoto kanapaliwa tu
Huyu viti maalimu hajawahi kukutana na wenye fani zao ataomba pooh, hajawahi kunyonywa.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Hivi mwanaume mzima unaweza kunyonya maziwa ya mwanamke na ukayameza?Atupishe huko!!