Oparesheni 255: Tundu Lissu afanya mikutano 5 Bariadi Vijijini

Oparesheni 255: Tundu Lissu afanya mikutano 5 Bariadi Vijijini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini

Kama Kawaida yake, Lissu amewaomba Wananchi waunge mkono chama chake ili Katiba mpya ipatikane sasa badala ya porojo za viongozi wa serikali akiwemo Damas Ndumbaro

Amesema Katiba Mpya itazuia wananchi kuporwa migodi yao.

Hii hapa ni kata ya Nkololo.

Screenshot_2023-09-01-18-31-31-1.png
Screenshot_2023-09-01-18-32-05-1.png
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini

Kama Kawaida yake , Lissu amewaomba Wananchi waunge mkono chama chake ili Katiba mpya ipatikane sasa badala ya porojo za viongozi wa serikali akiwemo Damas Ndumbaro

Amesema Katiba Mpya itazuia wananchi kuporwa migodi yao .

Hii hapa ni kata ya Nkololo.

View attachment 2735847View attachment 2735848
Chama la WaTanzania
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini

Kama Kawaida yake , Lissu amewaomba Wananchi waunge mkono chama chake ili Katiba mpya ipatikane sasa badala ya porojo za viongozi wa serikali akiwemo Damas Ndumbaro

Amesema Katiba Mpya itazuia wananchi kuporwa migodi yao .

Hii hapa ni kata ya Nkololo.

View attachment 2735847View attachment 2735848
Mkuu mbona tuliambiwa CHADEMA inafahamika mjini tu na kwamba vijijini hawawezi wasikiliza? Imekuaje Tena Bariadi vijijini pakatapika umati? Au mme-Edit picha!!
 
Chadema issue siyo wafuasi na wapiga kura. Tatizo ni kwamba hata chadema ikishinda ccm wanapora ushindi.

Kwahiyo mapambano yaelekezwe kwenye upatikananji wa katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini

Kama Kawaida yake , Lissu amewaomba Wananchi waunge mkono chama chake ili Katiba mpya ipatikane sasa badala ya porojo za viongozi wa serikali akiwemo Damas Ndumbaro

Amesema Katiba Mpya itazuia wananchi kuporwa migodi yao .

Hii hapa ni kata ya Nkololo.

View attachment 2735847View attachment 2735848
Mungu Ibariki CHADEMA
ebcacc48c9943c63583b974c04269292.jpg
 
Ni jambo jema

Kuna Siku Shujaa Magufuli alipiga Mikutano 12 Alikuwa anatoka Dar kwenda Dodoma, mkutano wa Kwanza ulikuwa maili Moja Kibaha wa Mwisho akaufanyia Mbande njia [emoji209] ya Mpwapwa
Acha uongoooooo
 
Chadema issue siyo wafuasi na wapiga kura. Tatizo ni kwamba hata chadema ikishinda ccm wanapora ushindi.

Kwahiyo mapambano yaelekezwe kwenye upatikananji wa katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
Kila jambo na wakati wake.
 
Chadema issue siyo wafuasi na wapiga kura. Tatizo ni kwamba hata chadema ikishinda ccm wanapora ushindi.

Kwahiyo mapambano yaelekezwe kwenye upatikananji wa katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
Mkuu 'Sex', tunarudiarudia haya haya kiasi kwamba hadi yanapoteza maana halisi.
Ninakubaliana na wewe moja kwa moja, kwamba kwa hali ya sasa, CHADEMA tatizo si kuishinda CCM, kwa sababu hili lipo wazi kabisa kwa wakati huu.
"CCM kupora ushindi" - hili ndilo tunalowahimiza CHADEMA walifanyie kazi usiku na mchana kwa sasa; kukomesha kabisa tabia hiyo ya CCM.

"CCM kupora ushindi" siyo swala la Katiba linaloruhusu uporaji wa kura. Hata hii Katiba mbovu tuliyo nayo sasa hivi, haiwaruhusu CCM kupora kura; na nijuavyo mimi, hakuna sheria yoyote inayowapa ruhusa CCM kupora kura.

Kwa hiyo, tabia hiyo ya CCM ni UHARIFU. CCM wanavunja sheria na Katiba iliyopo sasa wanapopora kura.
Sasa swali la kujiuliza, inakuwaje watu tukafikia hatua ya kudhani kuwa CCM kupora kura ni halali yao kufanya hivyo?
Kwa nini nchi nzima imechukulia jambo hili la kiharifu liwe kama jambo la kawaida linapofanywa na CCM?

Ninachopendekeza mimi, ni kwa CHADEMA kulifanyia kazi jambo hili, na hasa hasa kulifikisha kwa wananchi walielewe vyema, na wananchi hao wawe sehemu ya kukataa UHARIFU unaofanywa na CCM.
Hii ndiyo kazi kubwa wanayotakiwa kuifanya CHADEMA wakati huu na kuendelea hadi kufikia chaguzi za 2024/2025.

Huku kulilia Katiba Mpya, pamoja na kuwa jambo jema, lakini hakuna manufaa yoyote kwa muda huu uliopo sasa. CCM wenyewe wamekwishajihakikishia kuwa hili siyo swala tena kabla ya chaguzi hizo zinazofuata.
 
Mkuu 'Sex', tunarudiarudia haya haya kiasi kwamba hadi yanapoteza maana halisi.
Ninakubaliana na wewe moja kwa moja, kwamba kwa hali ya sasa, CHADEMA tatizo si kuishinda CCM, kwa sababu hili lipo wazi kabisa kwa wakati huu.
"CCM kupora ushindi" - hili ndilo tunalowahimiza CHADEMA walifanyie kazi usiku na mchana kwa sasa; kukomesha kabisa tabia hiyo ya CCM.

"CCM kupora ushindi" siyo swala la Katiba linaloruhusu uporaji wa kura. Hata hii Katiba mbovu tuliyo nayo sasa hivi, haiwaruhusu CCM kupora kura; na nijuavyo mimi, hakuna sheria yoyote inayowapa ruhusa CCM kupora kura.

Kwa hiyo, tabia hiyo ya CCM ni UHARIFU. CCM wanavunja sheria na Katiba iliyopo sasa wanapopora kura.
Sasa swali la kujiuliza, inakuwaje watu tukafikia hatua ya kudhani kuwa CCM kupora kura ni halali yao kufanya hivyo?
Kwa nini nchi nzima imechukulia jambo hili la kiharifu liwe kama jambo la kawaida linapofanywa na CCM?

Ninachopendekeza mimi, ni kwa CHADEMA kulifanyia kazi jambo hili, na hasa hasa kulifikisha kwa wananchi walielewe vyema, na wananchi hao wawe sehemu ya kukataa UHARIFU unaofanywa na CCM.
Hii ndiyo kazi kubwa wanayotakiwa kuifanya CHADEMA wakati huu na kuendelea hadi kufikia chaguzi za 2024/2025.

Huku kulilia Katiba Mpya, pamoja na kuwa jambo jema, lakini hakuna manufaa yoyote kwa muda huu uliopo sasa. CCM wenyewe wamekwishajihakikishia kuwa hili siyo swala tena kabla ya chaguzi hizo zinazofuata.
Kila siku siyo Jumapili
 
Back
Top Bottom