MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Chuooo nkoyi ginehe shi wantuzu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mola sanaChuooo nkoyi ginehe shi wantuzu
Hata kila baada ya Kanda Moja anapanda Ndege!Kila baada mkutano mmoja alikuwa akipelekwa garage.
Mwakani kuna uchaguzi wa serikali za mitaani na mwaka unaofuata uchaguzi mkuu. Kwahiyo muda wa kusubiri hakuna na muda kuipata katiba ni sasaKila jambo na wakati wake.
Ni kweli katiba hii mbovu haiwaruhisu ccm kupora kura na uchaguzi, lkn haiwabani . Haiwabani kwasabb rais na mwenyekiti wa ccm yuko juu ya katiba, anaweza kufanya lolote ikiwemo kupora kura na hawezi kushtakiwa wala kuhojiwa na chombo chochote hapa nchini."CCM kupora ushindi" siyo swala la Katiba linaloruhusu uporaji wa kura. Hata hii Katiba mbovu tuliyo nayo sasa hivi, haiwaruhusu CCM kupora kura; na nijuavyo mimi, hakuna sheria yoyote inayowapa ruhusa CCM kupora kura.
Mkuu 'Sex', naelewa unachokizungumzia hapa, wala usiwe na shaka juu ya hili.Ni kweli katiba hii mbovu haiwaruhisu ccm kupora kura na uchaguzi, lkn haiwabani . Haiwabani kwasabb rais na mwenyekiti wa ccm yuko juu ya katiba, anaweza kufanya lolote ikiwemo kupora kura na hawezi kushtakiwa wala kuhojiwa na chombo chochote hapa nchini.
Huyu jamaa ana energyKuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini
Kama Kawaida yake , Lissu amewaomba Wananchi waunge mkono chama chake ili Katiba mpya ipatikane sasa badala ya porojo za viongozi wa serikali akiwemo Damas Ndumbaro
Amesema Katiba Mpya itazuia wananchi kuporwa migodi yao .
Hii hapa ni kata ya Nkololo.
View attachment 2735847View attachment 2735848
Daah saitakuwajeMkuu 'Sex', tunarudiarudia haya haya kiasi kwamba hadi yanapoteza maana halisi.
Ninakubaliana na wewe moja kwa moja, kwamba kwa hali ya sasa, CHADEMA tatizo si kuishinda CCM, kwa sababu hili lipo wazi kabisa kwa wakati huu.
"CCM kupora ushindi" - hili ndilo tunalowahimiza CHADEMA walifanyie kazi usiku na mchana kwa sasa; kukomesha kabisa tabia hiyo ya CCM.
"CCM kupora ushindi" siyo swala la Katiba linaloruhusu uporaji wa kura. Hata hii Katiba mbovu tuliyo nayo sasa hivi, haiwaruhusu CCM kupora kura; na nijuavyo mimi, hakuna sheria yoyote inayowapa ruhusa CCM kupora kura.
Kwa hiyo, tabia hiyo ya CCM ni UHARIFU. CCM wanavunja sheria na Katiba iliyopo sasa wanapopora kura.
Sasa swali la kujiuliza, inakuwaje watu tukafikia hatua ya kudhani kuwa CCM kupora kura ni halali yao kufanya hivyo?
Kwa nini nchi nzima imechukulia jambo hili la kiharifu liwe kama jambo la kawaida linapofanywa na CCM?
Ninachopendekeza mimi, ni kwa CHADEMA kulifanyia kazi jambo hili, na hasa hasa kulifikisha kwa wananchi walielewe vyema, na wananchi hao wawe sehemu ya kukataa UHARIFU unaofanywa na CCM.
Hii ndiyo kazi kubwa wanayotakiwa kuifanya CHADEMA wakati huu na kuendelea hadi kufikia chaguzi za 2024/2025.
Huku kulilia Katiba Mpya, pamoja na kuwa jambo jema, lakini hakuna manufaa yoyote kwa muda huu uliopo sasa. CCM wenyewe wamekwishajihakikishia kuwa hili siyo swala tena kabla ya chaguzi hizo zinazofuata.
Jibu ni kuwaelimisha na kuwategemea wananchi wenyewe kuamua.Daah saitakuwaje
Shida ya Matanzania ni kukosa Shule,Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini
Kama Kawaida yake , Lissu amewaomba Wananchi waunge mkono chama chake ili Katiba mpya ipatikane sasa badala ya porojo za viongozi wa serikali akiwemo Damas Ndumbaro
Amesema Katiba Mpya itazuia wananchi kuporwa migodi yao .
Hii hapa ni kata ya Nkololo.
View attachment 2735847View attachment 2735848
Ktk hili nakuelewa lkn wananchi walio wengi Wana dhana kwamba kura zikiibiwa ni hasara ama pigo kwa mgombea na siyo wananchi wenyewelakini rais huyo huyo kaidi hana uwezo wa kukaidi uamzi unaofanywa na wananchi.
Msimu huu hayo hayatafanikiwaShida ya Matanzania ni kukosa Shule,
Hapo yamekusanyana ka yanaelewa hoja vile, CCM wakipita wanakokotwa tena ka Ng'ombe.
Uchaguzi ingekua kesho ningejipa Moyo ila mpaka 2025 yatasahau tu.
Tuombe Wasigawiwe tu Vitenge na Kofia za Kijani na Njano.
Usaliti wa JMTz unaanzia ngazi ya Cell>Individual>Familia>Chama>Taifa.
Hapo sasa ndipo wanapotakiwa CHADEMA kukazia elimu kwa hawa wananchi na kutumia mifano rahisi kabisa ambayo sasa ipo mingi na ni rahisi kueleweka kwa wananchi wote.Ktk hili nakuelewa lkn wananchi walio wengi Wana dhana kwamba kura zikiibiwa ni hasara ama pigo kwa mgombea na siyo wananchi wenyewe