Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ndio kama unavyoonaHaya maisha bado yapo tu?
Duh!!!.!Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .
Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu
Nakuhakikishia kwamba hatutakuwa na Mswalie MtumeDuh hatari na nusu.
Kishakimbia , mara ya mwisho nimemuona Kizimkazi akicheza SingeliDuh!!!.!
Eryth unatutesa...balaa
Chongolo vp?????!!@
Kiu ya wananchi kutaka mabafiliko chanya inaongezeka kila uchao.Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .
Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu
View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Naliona nyoming hapo, duh!Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .
Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu
View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Puresha inapandaaahahaa mnanikumbusha mafuriko ya lowasa.
Mkuu Hakuna TV inayozidi JFMpaka vyombo vya Television VIMEJIFICHA
FYEKA FYEKA PORI OP !!!!!
Kinana???Kishakimbia , mara ya mwisho nimemuona Kizimkazi akicheza Singeli
Hakuna namna sasa zaidi ya sasa CCM kutema bungo. Na ni lazima nyani ateme bungo.Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .
Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu
View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Chongolo atatokea wapi!? Kwani unafikiri watazijibu vipi hoja za chadema wkt ni kweli serikali ya chama Chao imeuza nchi Kwa waarabu na mkataba umedakwa live?? Ni sawa na kufumania dume likichepuka na mkeo kitandani kwako,mke Hana Cha kujitetea na hata ndg zake hawawezi kumtetea!Duh!!!.!
Eryth unatutesa...balaa
Chongolo vp?????!!@
Jidanganye na endelea kulala usingizi.Wengi hapo wamekuja kushangaa helicopter