Oparesheni 255 yateketeza CCM Musoma Mjini bila huruma yoyote, imezikwa rasmi

Oparesheni 255 yateketeza CCM Musoma Mjini bila huruma yoyote, imezikwa rasmi

Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu

View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Usishangae wale wadudu wakaao kwenye uchafu a.k.a "Chawa wa Mama" kina FaizaFoxy ChoiceVariable Lord denning Lucas mwashambwa and others yaliyojifungia ndani tu kwenye vyumba pale Lumumba yakasema hizi picha ni za mwaka 2015 wakati wa mafuriko ya Edward Lowassa..!

Hii ni kweli kabisa ni Musoma mjini leo J'pili tarehe 3/9/2023. Hali ya umati kujitokeza kwa maelfu ilikuwa hivyo kote huko Bunda, Mwibara, Butiama, Kiabakari nk...

Kiukweli kabisa ukifanyika uchaguzi HURU na HAKI leo au kesho, CCM haina ubavu hata kidogo kushinda ktk nafasi yoyote kuanzia mitaa/vijiji, udiwani, ubunge na u - Rais..

Na hii si kwa sababu tu ya maelfu ya watu mijini na vijijini wanaojitokeza kwenye mikutano ya CHADEMA, bali ni kwa sababu, miaka hii watu wameamka na wana uelewa mkubwa wa wajibu na haki zao za kisiasa, kijamii na kiuchumi kuliko ilivyokuwa miaka 5 au 10 iliyopita..

Na mimi naweza kusema bila shaka yoyote na bila kumung'unya maneno kuwa, huyu mama (Rais Samia Suluhu Hassan) ndiyo nuksi ya CCM 100% na ndiyo atakayesaidia kuiangusha na kuizika CCM forever ♾️♾️

Ishu ya mkataba wa bandari wao CCM wanaiona ni ishu ya kawaida. Lakini ukweli ni kuwa Watanganyika wamechukia sana..

Hongereni sana CHADEMA kwa sababu hii "sumu" mnayoimwaga dhidi ya CCM na serikali yao dhalimu, inafanya kazi sawia na inawaua CCM taratibu...

Tundu Lissu & Freeman Mbowe kongole Kwa kujitolea kuongoza Ukombozi wa pili wa Tanganyika. Tupo nyuma yenu, tupo wengi mno nyuma yenu ndani ya serikali na tunawaunga mkono Kwa 100%..

SONGENI MBELE. TUNAKARIBIA KUFIKA NA TUMESHAFIKA..
 
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu

View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
DC wa eneo hilo ajipange......au aanze kutafuta mashamba kama Ali Hapy
 
Usishangae wale wadudu wakaao kwenye uchafu a.k.a "Chawa wa Mama" kina FaizaFoxy ChoiceVariable Lord denning Lucas mwashambwa and others yaliyojifungia ndani tu kwenye vyumba pale Lumumba yakasema hizi picha ni za mwaka 2015 wakati wa mafuriko ya Edward Lowassa..!

Hii ni kweli kabisa ni Musoma mjini leo J'pili tarehe 3/9/2023. Hali ya umati kujitokeza kwa maelfu ilikuwa hivyo kote huko Bunda, Mwibara, Butiama, Kiabakari nk...

Kiukweli kabisa ukifanyika uchaguzi HURU na HAKI leo au kesho, CCM haina ubavu hata kidogo kushinda ktk nafasi yoyote kuanzia mitaa/vijiji, udiwani, ubunge na u - Rais..

Na hii si kwa sababu tu ya maelfu ya watu mijini na vijijini wanaojitokeza kwenye mikutano ya CHADEMA, bali ni kwa sababu, miaka hii watu wameamka na wana uelewa mkubwa wa wajibu na haki zao za kisiasa, kijamii na kiuchumi kuliko ilivyokuwa miaka 5 au 10 iliyopita..

Na mimi naweza kusema bila shaka yoyote na bila kumung'unya maneno kuwa, huyu mama (Rais Samia Suluhu Hassan) ndiyo nuksi ya CCM 100% na ndiyo atakayesaidia kuiangusha na kuizika CCM forever ♾️♾️

Ishu ya mkataba wa bandari wao CCM wanaiona ni ishu ya kawaida. Lakini ukweli ni kuwa Watanganyika wamechukia sana..

Hongereni sana CHADEMA kwa sababu hii "sumu" mnayoimwaga dhidi ya CCM na serikali yao dhalimu, inafanya kazi sawia na inawaua CCM taratibu...

Tundu Lissu & Freeman Mbowe kongole Kwa kujitolea kuongoza Ukombozi wa pili wa Tanganyika. Tupo nyuma yenu, tupo wengi mno nyuma yenu ndani ya serikali na tunawaunga mkono Kwa 100%..

SONGENI MBELE. TUNAKARIBIA KUFIKA NA TUMESHAFIKA..
Ukombozi unakaribia
 
Kiu ya wananchi kutaka mabafiliko chanya inaongezeka kila uchao.

Naona mikutano ya CDM hairipotiwi na mainstream media.

Bado Nape amekaza? Je inamsaidia nani kufanya cencorship
Na imechagizwa na DPW na uchumi wa tozo
 
Wanachosahau kwamba sasa hivi watu taarifa zote wanapata viganjani hawana muda wakusubiri saa2 hayo ma TV yao watu wanaangalia ottoman katuni nk na kitu pekee wasichojua smart zimeenea sana vijijini kazi wanayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiu ya wananchi kutaka mabafiliko chanya inaongezeka kila uchao.

Naona mikutano ya CDM hairipotiwi na mainstream media.

Bado Nape amekaza? Je inamsaidia nani kufanya cencorship
Ni kweli kiu ya mabadiliko ni kubwa sana kwa watanzania. Tatizo ni wagombea wa uraisi wanaosimamishwa na vyama vya upinzani!!
 
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu

View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Mnajidanganya na kujiriwadha tu CCM bado chama kubwa Mara.
 
Mbowe aache blaa blaa zake na uongo wake kama kawaida yake. Asifikiri watu wamesahau mambo ya akina Joyce. Hapo Mbowe anatumia pesa za mabeberu tu ili awatumie picha za kupatia msaada wa pesa huku baadaye anakiambia chama kuwa anakidai
 
Usishangae wale wadudu wakaao kwenye uchafu a.k.a "Chawa wa Mama" kina FaizaFoxy ChoiceVariable Lord denning Lucas mwashambwa and others yaliyojifungia ndani tu kwenye vyumba pale Lumumba yakasema hizi picha ni za mwaka 2015 wakati wa mafuriko ya Edward Lowassa..!

Hii ni kweli kabisa ni Musoma mjini leo J'pili tarehe 3/9/2023. Hali ya umati kujitokeza kwa maelfu ilikuwa hivyo kote huko Bunda, Mwibara, Butiama, Kiabakari nk...

Kiukweli kabisa ukifanyika uchaguzi HURU na HAKI leo au kesho, CCM haina ubavu hata kidogo kushinda ktk nafasi yoyote kuanzia mitaa/vijiji, udiwani, ubunge na u - Rais..

Na hii si kwa sababu tu ya maelfu ya watu mijini na vijijini wanaojitokeza kwenye mikutano ya CHADEMA, bali ni kwa sababu, miaka hii watu wameamka na wana uelewa mkubwa wa wajibu na haki zao za kisiasa, kijamii na kiuchumi kuliko ilivyokuwa miaka 5 au 10 iliyopita..

Na mimi naweza kusema bila shaka yoyote na bila kumung'unya maneno kuwa, huyu mama (Rais Samia Suluhu Hassan) ndiyo nuksi ya CCM 100% na ndiyo atakayesaidia kuiangusha na kuizika CCM forever ♾️♾️

Ishu ya mkataba wa bandari wao CCM wanaiona ni ishu ya kawaida. Lakini ukweli ni kuwa Watanganyika wamechukia sana..

Hongereni sana CHADEMA kwa sababu hii "sumu" mnayoimwaga dhidi ya CCM na serikali yao dhalimu, inafanya kazi sawia na inawaua CCM taratibu...

Tundu Lissu & Freeman Mbowe kongole Kwa kujitolea kuongoza Ukombozi wa pili wa Tanganyika. Tupo nyuma yenu, tupo wengi mno nyuma yenu ndani ya serikali na tunawaunga mkono Kwa 100%..

SONGENI MBELE. TUNAKARIBIA KUFIKA NA TUMESHAFIKA..
Hivi hawa chawa, ata hii kero ya kukosekana mafuta hawaioni???
Binafsi leo nimechukia sana'', nilikuwa na uhitaji wa mafuta, mafuta hayapo??
Utasikia chawa ooooh mama abidul 5 tenaa
 
Back
Top Bottom