Funza akiacha kushinda chooni anaweza kuwa soseji
Blv me nifaa badilika
Kwa Lipi?Iramba pole
Kamata mwizi huyooooooooooooView attachment 392405 HIYO PROFILE YAKO INAONYESHA WEWE NI CCM NA POST ZAKO NI ZA KICCM ZAIDI. SASA UTAJITENGAJE KUTOKA CHADEMA AMBAYO WEWE SI MWANACHAMA?
.....Haya wamekusikia utapata ukuu wa wilaya
Ha ha ha ha nifaa enzi hizo ocampo aliiminisha jf lowasa anakua raisi akishirikiana na AgwamboUmeniita hivyo ukanikumbusha member mmoja wa kuitwa Ocampo Four...
Wherever you are Ocampo,I miss you [emoji24][emoji24][emoji24]
.....Mimi ni GAMBA GUMU
Ndugu Wanachadema Mkoa wa Arusha, sisi ni vijana wenye uchungu na chama chetu ndio maana tuko tayari kuipigania hata kuifia ili tupate ukombozi. Ni sisi tulikesha nje ya mahabusu alipowekwa ndani Kamanda Godbless Lema. Alivyoshinda siku tatu bila kula na sisi tulishinda naye bila kula.
Ndugu wanaChadema chama hiki kimejengwa kwa nguvu za umma yani sisi ndio maana CCM imefutika hapa Arusha. Hakipo.
Tuna uchungu sana. Hapa Arusha tumeshapigwa sana na Policcm tukitetea ukombozi. Wenzetu wameshatangulia mbele za haki. Mungu awarehemu. Yote ni kupigania ukombozi.
Ndugu zetu wanaChadema na Watanzania, hivi karibuni Kamati Kuu chini ya Kamanda Mbowe iliazimia tuandamane nchi nzima na mikutano kupinga Udikteta wa Serikali ya maCCM isiyotaka demolrasia, UKUTA ya Sept Mosi.
Vijana wa Arusha tulijiandaa vilivyo kupambana na Policcm endapo wangetuzuia hadi tone la mwisho la damu yetu. Tuko tayari kuifia haki na demokrasia. Dunia nzima ilijua ni siku ya ukombozi Tanzania.
Ndugu wanaChadema tumesikitishwa sana, tumeumizwa sana, tumefedheheshwa sana na kitendo cha Mbowe kwa hiari yake kusitisha maandamano hayo kwa madai eti ameombwa na viongozi wa dini na Lowassa naye ameombwa na familia ya Nyerere tuache kuandamana.
Ndugu wanaChadema, popote mlipo hata nje ya nchi tumechunguza hata kuongea na baadhi ya viongozi wa dini aliowataja Mbowe wamekataa hawakuongea naye hivyo Mbowe ni mwongo. Hata familia ya baba wa Taifa wamekataa hawakuongea chochote kuhusu Ukuta.
Tunatambua heshima ya Lowassa kwa chama. Lakini ni dhahiri Mbowe anamwogopa Lowassa. Lowassa bado ana maslahi binafsi na CCM ndio maana hapendi uharakati ambayo ndiyo asili ya Chadema na chama chochote cha upinzani. Tazameni Garbon.
Lowassa anatuletea siasa za Ccm. Anataka tufanane nao mafisadi. Arudi alikotoka.
Maandalizi ya UKUTA Sept 1 imegharimu chama mamilioni ya shilingi ilhali wilaya kibao hatuna ofisi, tumepanga na tunadaiwa kodi. Nani atarusisha fedha hizi?
Mbowe amelewa madaraka ya Uenyekiti wa Chadema. Sisi vijana kwa umoja wetu tunamtaka Mbowe na Lowassa wakae pembeni ili kamanda Lissu atuongoze. Hatuwezi kubembeleza haki yetu.
Tunamtaka aondoke na Lowassa wake atuachie chama. Kinyume cha hapo tumeamua kujichangisha fedha tutaenda kwa Msajili Dar es salaam atusajili kama CHADEMA-ASILI.
Akiondoka hata leo hatutafikia huko. Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu. Vijana wengine wa mikoa mingine mtuunge mkono kama Singida na Kagera ambao nao Wako mbioni kutoa matamko.
Ahsanteni
John Ole Kaparo
Mwenyekiti wa Muda
Kamati ya Kudai Chadema Asili (KAKUCHA)
Walishateuliwa mpka 2025Haya wamekusikia utapata ukuu wa wilaya
Acheni utoto mbona hamkupigania wakati Dr Slaa anafanyiwa uhuni na kubezwa licha ya mchango wake?Ndugu Wanachadema Mkoa wa Arusha, sisi ni vijana wenye uchungu na chama chetu ndio maana tuko tayari kuipigania hata kuifia ili tupate ukombozi. Ni sisi tulikesha nje ya mahabusu alipowekwa ndani Kamanda Godbless Lema. Alivyoshinda siku tatu bila kula na sisi tulishinda naye bila kula.
Ndugu wanaChadema chama hiki kimejengwa kwa nguvu za umma yani sisi ndio maana CCM imefutika hapa Arusha. Hakipo.
Tuna uchungu sana. Hapa Arusha tumeshapigwa sana na Policcm tukitetea ukombozi. Wenzetu wameshatangulia mbele za haki. Mungu awarehemu. Yote ni kupigania ukombozi.
Ndugu zetu wanaChadema na Watanzania, hivi karibuni Kamati Kuu chini ya Kamanda Mbowe iliazimia tuandamane nchi nzima na mikutano kupinga Udikteta wa Serikali ya maCCM isiyotaka demolrasia, UKUTA ya Sept Mosi.
Vijana wa Arusha tulijiandaa vilivyo kupambana na Policcm endapo wangetuzuia hadi tone la mwisho la damu yetu. Tuko tayari kuifia haki na demokrasia. Dunia nzima ilijua ni siku ya ukombozi Tanzania.
Ndugu wanaChadema tumesikitishwa sana, tumeumizwa sana, tumefedheheshwa sana na kitendo cha Mbowe kwa hiari yake kusitisha maandamano hayo kwa madai eti ameombwa na viongozi wa dini na Lowassa naye ameombwa na familia ya Nyerere tuache kuandamana.
Ndugu wanaChadema, popote mlipo hata nje ya nchi tumechunguza hata kuongea na baadhi ya viongozi wa dini aliowataja Mbowe wamekataa hawakuongea naye hivyo Mbowe ni mwongo. Hata familia ya baba wa Taifa wamekataa hawakuongea chochote kuhusu Ukuta.
Tunatambua heshima ya Lowassa kwa chama. Lakini ni dhahiri Mbowe anamwogopa Lowassa. Lowassa bado ana maslahi binafsi na CCM ndio maana hapendi uharakati ambayo ndiyo asili ya Chadema na chama chochote cha upinzani. Tazameni Garbon.
Lowassa anatuletea siasa za Ccm. Anataka tufanane nao mafisadi. Arudi alikotoka.
Maandalizi ya UKUTA Sept 1 imegharimu chama mamilioni ya shilingi ilhali wilaya kibao hatuna ofisi, tumepanga na tunadaiwa kodi. Nani atarusisha fedha hizi?
Mbowe amelewa madaraka ya Uenyekiti wa Chadema. Sisi vijana kwa umoja wetu tunamtaka Mbowe na Lowassa wakae pembeni ili kamanda Lissu atuongoze. Hatuwezi kubembeleza haki yetu.
Tunamtaka aondoke na Lowassa wake atuachie chama. Kinyume cha hapo tumeamua kujichangisha fedha tutaenda kwa Msajili Dar es salaam atusajili kama CHADEMA-ASILI.
Akiondoka hata leo hatutafikia huko. Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu. Vijana wengine wa mikoa mingine mtuunge mkono kama Singida na Kagera ambao nao Wako mbioni kutoa matamko.
Ahsanteni
John Ole Kaparo
Mwenyekiti wa Muda
Kamati ya Kudai Chadema Asili (KAKUCHA)
KAKUCHAHahahaha vere fane , siku mwanao akija kujua wewe ndo ulieandika hivi sijui atacheka au atalia amaana dah yaani ni vere fane kweli ccm ina vijana
Mbowe ni mkubwa zaidi ya CHADEMA ndo maana anawaburuza. Chama kina think tank elimu std 7 mbowe unatarajia mafanikio hapo?
.....Tetesi halafu hapo chini ina jina la mtu? Kweli Uvccm mmeishiwa.
Hakunaga tena kama Ocampo Four.Alijua kuwashika ndio maana....Ha ha ha ha nifaa enzi hizo ocampo aliiminisha jf lowasa anakua raisi akishirikiana na Agwambo
.
Aliandika saaana akiamini uraisi unapatikana jf nilikua nikimpa za usoo na id zangu nilizozipumzisha baada ya kazi ya kusaficha chama kukamilika
Pole nifaa Mungu ni mkubwa mwaka 3850 chadema mtashinda usife moyo kufa moyo tuu katika uhai wako hutashuhudia chadema wakiingia ikulu
Zinanivutiaa labdaa nakaribia kuja huko kama fisadi mliepokea na kumgeuza shujaa wenuuu
Wako watakao staafu ongeza bidii ya kuposti vitu vya aina hii utapata tuWalishateuliwa mpka 2025
Mwenye porojo hana dola alie na porojo ana dolaHakunaga tena kama Ocampo Four.Alijua kuwashika ndio maana....
Hebu nisiseme sana mie.
Moyoni mwangu atabaki kuwa shujaa na nitamkumbuka DAIMA.
Hizo porojo zako kafie nazo mbali...
Mpuuzi huyo jamaa. Anajifanya kuipenda sana CHADEMA, eti anadai CHADEMA asilia.Vipi Imekuingia?ahahaha!
Umemgonga Nyoka Kichwani,Sijui Kama Atainuka!ahahaha
ahahaha!
Asante Mkuu!