Tetesi: Operation KAKUCHA yazaliwa Arusha baada ya UKUTA kuyeyuka

Status
Not open for further replies.
Juzi tu mlileta habari kuwa vijana wa arusha wanaupinga UKUTA, Leo tena watu wale wale mnaleta habari kuwa vijana wa Arusha wanalalamika UKUTA kuhairishwa.

Hivi nyie uvccm mnadhani watu wote ni vichwa maji kama nyie?
Hawana tofauti na wajawazito, leo anakuagiza niletee Samaki, ukileta Samaki anakuambia no!! Ninahamu na pemba, baadae anakuambia au niletee kitimoto roast!
 
Hawana tofauti na wajawazito, leo anakuagiza niletee Samaki, ukileta Samaki anakuambia no!! Ninahamu na pemba, baadae anakuambia au niletee kitimoto roast!
......
......ha ha ha
 
Mimi sijahakikisha ila ni taarifa toka Ra chuga huyo mwenye ametoa sina no yake kuhakikisha ndio maana nineweka tetesi
Mimi sijahakikisha ila ni taarifa toka Ra chuga huyo mwenye ametoa sina no yake kuhakikisha ndio maana nineweka tetesi
Naomba nikuulize, maswali mawili matatu, hivi shule umeishia la ngapi comrade, jamii forum umejiunga lini, unatumia akili au matope?
Wewe umeleta made hujaweka haya change, hata kama ni Tetesi ungeweka change, mf rafiki wa karibu.
Tambua kwamba jf we go with facts sio umbea wa uvccm, au bavicha, wengine humu hatuna vyama ila ni wazalendo halisi.
Next time kijana think beyond your nose, sawa kijana wa uv?
 
Juzi tu mlileta habari kuwa vijana wa arusha wanaupinga UKUTA, Leo tena watu wale wale mnaleta habari kuwa vijana wa Arusha wanalalamika UKUTA kuhairishwa.

Hivi nyie uvccm mnadhani watu wote ni vichwa maji kama nyie?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa watu aliyewaroga kafa
 
Huyo kijana akawaulize vijana wa masaburi,kichapo tulochowapa pale Ubungo mwaka Jana,hatutaki upuuzi,kama hawaitaki CHADEMA waanzishe chama chao kingine,ujinga wa maccm kutumia jina la CHADEMA tumeuchoka,time hii hatutawapa kichapo tu tutawaua kabisa
 
 
Nakubaliana sana na habari ya Lissu kuwa kiongozi mkuu wa CHADEMA lakini hayo mengine ya chadema asili ni upuuzi, Mbowe ameshatoa mchango wake inatosha, tujaribu akili nyingine na hiyo akili ni Tundu Lissu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…