Tetesi: Operation KAKUCHA yazaliwa Arusha baada ya UKUTA kuyeyuka

Status
Not open for further replies.
Post zangu nyingi zinapigwa burn nashangaa hii inafanya nini mpaka sasa. Hii text kama ni ya BAVICHA lazima wamtwange kosa la uchochezi. Ila kama ni ea UVCCM hwata angaika naye. Hii inatia hasira kuona nchi yetu wenyewe lakini tumewekewa matabaka na viongozi wetu.
 
Mkuu hivi unaaamini kabisa chadema kuna watu wenye think tank kubwa kweli

Moja kati ya muujiza uliopo chadema ni profesa baregu kuaamrishwa na profesa mbowe ha ha ha

Hili andishi lako la kitoto hata ukiangalia maneno yanayotumika ni yale ya kiccmccm. Nani aliyekuambia kuwa kiongozi wa wengine ni lazima uwe na elimu kubwa kuliko unaowaongoza? Tuambie Mtume ama Yesu walikuwa na elimu gani mpaka leo wasomi na wasio soma bado wanawaamini na kuwakubali kwamba walikuwa viongozi wakubwa? Kwa akili yako unataka kusema marais walioongoza nchi hii walikuwa na elimu kubwa sana kiasi walikuwa sawa kuwaongoza wengine. Acha utoto na siasa za kipuuzi wewe kenge jike.
 
chadema ilikuwa chadema wakti lowassa hayupo lakini sasa hvi ni sawa na mwanamke aliyepata njemba lenye pesa (lowassa) hana usemi
 
Kama ulikuwa Katibu Mkuu wa CCM Babati mmemuachia Paulina Gekul ameshinda jiandae kutumbuliwa
 
Hii habari naona kuna ukweli ndani yake. Nimetoka kuwasiliana na vijana wawili Arusha wamenithibitishia vuguvugu hilo na kwamba vijana Mwanza na Katavi nao watatoa tamko muda wowote wa kumtaka Mbowe atimuliwe!
 
hilo shati ulilo vaa ni ushahidi tosha ni uvccm
 

Utakuwa huna shughuli unakesha kisa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…