Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
My brudah and sistas we are going to fight there and WIN is a must,
Note this.
Note this.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ni mwalimu tumejipanga, hutaamini kaka!Hakuna kitu kama hicho mtapigwa kipigo cha mbwa koko! Mtakuja mnambie.
My brothers and sisters actions speak louder than words...! Let see what will happen there..[emoji2827]My brudah and sistas we are going to fight there and WIN is a must,
Note this...! View attachment 2384327
Labda ishinde njaaYanga itashinda
Ndiyo Ukweli WenyeweHainogi Hata kidogo
Kuiga Mmeiga Vibaya
Nani alikua wa kwanza kufanya kabla ya Yanga kuiga [emoji23]Hainogi Hata kidogo
Kuiga Mmeiga Vibaya
Ghadhabu hasira mori ni wa hali ya juu Jangwani.Yanga inaenda makundi CAF CL labda sio huyu Nabi ninaye mjua mimi. Labda sio hii Yanga ninayo ijua. Utapigwa msako mpaka Hilal watasema walipoyaficha magoli ya DSM
Piga msako wa maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi expectation kbwa kama hizo ndio huwa zinawaondolea confidense wachezaji wenu....Ghadhabu hasira mori ni wa hali ya juu Jangwani.
Ni kweli ndugu wacheze defensive game wapande na washuke kwa haraka, Majuzi walifunguka Sana mkuu....!Hizi expectation kbwa kama hizo ndio huwa zinawaondolea confidense wachezaji wenu....
Jumapili ni kesho kutwa tuuu...
unajua 1974 simba alifika nusu fainali klabu bingwa sasa sijui unaongea utoto gani hapo bado fainali ya CAf cup 1993Nani alikua wa kwanza kufanya kabla ya Yanga kuiga [emoji23]
Kuna siku mtakuja kusema Yanga imeiga Simba kuingia quarter final CAF CL
Sent using Jamii Forums mobile app
Nabi alikosea kumpanga Moloko na baadae Kisinda harafu viungo walichoka balaa huku kibwana nae alikimbizwa na yule Winger angembadilisha aingie Romalisa na nilishangaa eti Babu kaju kukaa benchi sijapata majibu...Yanga inaenda makundi CAF CL labda sio huyu Nabi ninaye mjua mimi. Labda sio hii Yanga ninayo ijua. Utapigwa msako mpaka Hilal watasema walipoyaficha magoli ya DSM
Piga msako wa maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga itashinda
Yanga inaenda makundi CAF CL labda sio huyu Nabi ninaye mjua mimi. Labda sio hii Yanga ninayo ijua. Utapigwa msako mpaka Hilal watasema walipoyaficha magoli ya DSM
Piga msako wa maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri hapo hapo BwasheeHahaaaa!!!labda mbadilishe ile mijez yenu ya chama chakavu
Na njaaYanga itashinda