Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri hapo hapo Bwashee
Kama hujaelewa jambo dogo kama hilo sijui nikusaidiaje na njaa zakounajua 1974 simba alifika nusu fainali klabu bingwa sasa sijui unaongea utoto gani hapo bado fainali ya CAf cup 1993
Ukiachana na ukabaji pia katika kushambulia swala la Feisal kushambulia kutokea chini nayo ilisababisha kutokua na execution nzuri ya nafasi tulizo create. Feisal alicheza vile ili kusaidiana na Aucho katika ukabaji. Sasa hiyo mechi ya Sudan Nabi ajitoe muhanga kwa kumuanzisha tu Mwamnyeto na Job halafu Bangala atengeneze double pivot na Aucho then Feisal mbele yao kushoto Morrison kulia TK hapo tunaweza kuwawin hawa jamaaNabi alikosea kumpanga Moloko na baadae Kisinda harafu viungo walichoka balaa huku kibwana nae alikimbizwa na yule Winger angembadilisha aingie Romalisa na nilishangaa eti Babu kaju kukaa benchi sijapata majibu...
Maadui watatu wa taifa wanakuandama siwezi kushangaaHahaaaa!!!!uto kwel hamnazo
TK nimemuona akicheza kwa kasi wakina Azizi K wanabaki nyuma kwa hiyo hata mipira yake inapotea wale jamaa sio wa kukimbia na mpira ni pass nyingi..Ukiachana na ukabaji pia katika kushambulia swala la Feisal kushambulia kutokea chini nayo ilisababisha kutokua na execution nzuri ya nafasi tulizo create. Feisal alicheza vile ili kusaidiana na Aucho katika ukabaji. Sasa hiyo mechi ya Sudan Nabi ajitoe muhanga kwa kumuanzisha tu Mwamnyeto na Job halafu Bangala atengeneze double pivot na Aucho then Feisal mbele yao kushoto Morrison kulia TK hapo tunaweza kuwawin hawa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
itashinda njaa.Yanga itashinda
Kwa hao wachezaji wastaafu mliowasajiliYanga inaenda makundi CAF CL labda sio huyu Nabi ninaye mjua mimi. Labda sio hii Yanga ninayo ijua. Utapigwa msako mpaka Hilal watasema walipoyaficha magoli ya DSM
Piga msako wa maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati huo Al Hilal hawajajipanga? Na wenyewe hawakufanya sub mbovu?Muda ni mwalimu tumejipanga, hutaamini kaka!
Kuna makosa tulifanya ya substitutions mbovu.
Hahahaa nabi sio mpuuzi anaijua yanga hii kuliko wewe. Kwa ushauri huu mtakalia miko kumi na huo mlio nao sasa huko nyuma itaku kumi na moja.Ukiachana na ukabaji pia katika kushambulia swala la Feisal kushambulia kutokea chini nayo ilisababisha kutokua na execution nzuri ya nafasi tulizo create. Feisal alicheza vile ili kusaidiana na Aucho katika ukabaji. Sasa hiyo mechi ya Sudan Nabi ajitoe muhanga kwa kumuanzisha tu Mwamnyeto na Job halafu Bangala atengeneze double pivot na Aucho then Feisal mbele yao kushoto Morrison kulia TK hapo tunaweza kuwawin hawa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahha yan uende ugenini bila tahadhari [emoji23][emoji23][emoji23] yan umtegemee bangala tu maana aucho katika ukabaji sio mzuri sana.Ukiachana na ukabaji pia katika kushambulia swala la Feisal kushambulia kutokea chini nayo ilisababisha kutokua na execution nzuri ya nafasi tulizo create. Feisal alicheza vile ili kusaidiana na Aucho katika ukabaji. Sasa hiyo mechi ya Sudan Nabi ajitoe muhanga kwa kumuanzisha tu Mwamnyeto na Job halafu Bangala atengeneze double pivot na Aucho then Feisal mbele yao kushoto Morrison kulia TK hapo tunaweza kuwawin hawa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasahau kwamba kule inabidi wafunguke zaidi ili kupata ushindi,na hapo ndo mtakapooga magoli mpk msahau mlipotokaNi kweli ndugu wacheze defensive game wapande na washuke kwa haraka, Majuzi walifunguka Sana mkuu....!