Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Mwanakijiji na wewe huwa una mambo mengi sana kiasi unaishia kujichanganya mwenyewe.
Sasa kama ushahitimisha kuwa safari hii Lowassa atashindwa 'clean and clear', kwa nini sasa unakuja na hizi episodes unazodai kwamba kama watu watazisikiliza basi zitabadili mawazo yao kama walikuwa wamepanga kumpa Lowassa kura zao?
Kwa nini unaendelea kuwasaidia CCM(ambao tayari watashinda clean and clear)?
Watu wenye uwezo wa kuuliza haya Tanzania ni very very few.....
cha ajabu sasa wote wanaochangia humu Mwanakijiji atawajibu
but wewe uliemuuliza maswali fikirishi atajifanya hajakuona kabisa..wengine ata replry so fast
Mimi sielewi kabisa!
Mtu ambaye atashindwa 'clean and clear' anaanzishiwa 'operesheni zinduka'!
Yote hayo ya nini wakati mtu atashindwa 'clean and clear'?
Manake hoja ni kwamba Lowassa atashindwa, na si kushindwa tu, ni atashindwa vibaya na kihalali kabisa.
Sasa haya mambo ya operesheni za kuzinduka yanahitajika kweli? Nguvu na juhudi zote hizi za nini kwa mtu/ mgombea ambaye ni nonstarter?
Au wanataka asipate hata kura moja [yaani hata yeye mwenyewe asijipigie]?
Hii operesheni kwangu haiingii akilini hata kidogo.
Kaka yangu Mzee Mwanakijiji asante sana kwa moyo huu.Namshukuru Mungu kwa kukupa moyo wakuendelea kusimamia unachokiamini bila ksita japo umekua ukidharauliwa na kutukanwa na wanaodhani wana mapenzi na Tanzania zaidi yako.
Tuko pamoja na nina imani iko siku wanaokutusi iko siku watakuja kukuomba radhi.
Nazisubiri kwa hamu show zinazofuata nikiamini zitafungua macho ya walio wengi na kuiona picha halisi.
Lowassa ni balaa na Laana inayojaribu kuikumba Tanzania.
Roho inaniuma natamani hata kulia ninavyoona ndugu zetu wanavyokitamani kipande cha chupa wakidhani ni almasi.
Inauma kuona mtu aliye mchafu mbele ya Mungu na wanadamu akifikia hadi kupewa majina ya watakatifu na ya mitume watakatifu wa Mungu.
Uchaguzi wa mwaka huu shetani amejiinua na kuja kama malaika wa nuru na wengi wamevutiwa nae.
Eeh Mungu tunahitaji msaada wako tuepukane na hili balaa.
Ila Mwanakijiji na wewe huwa una mambo mengi sana kiasi unaishia kujichanganya mwenyewe.
Sasa kama ushahitimisha kuwa safari hii Lowassa atashindwa 'clean and clear', kwa nini sasa unakuja na hizi episodes unazodai kwamba kama watu watazisikiliza basi zitabadili mawazo yao kama walikuwa wamepanga kumpa Lowassa kura zao?
Kwa nini unaendelea kuwasaidia CCM(ambao tayari watashinda clean and clear)?
Watu wenye uwezo wa kuuliza haya Tanzania ni very very few.....
cha ajabu sasa wote wanaochangia humu Mwanakijiji atawajibu
but wewe uliemuuliza maswali fikirishi atajifanya hajakuona kabisa..wengine ata replry so fast
Mimi sielewi kabisa!
Mtu ambaye atashindwa 'clean and clear' anaanzishiwa 'operesheni zinduka'!
Yote hayo ya nini wakati mtu atashindwa 'clean and clear'?
Manake hoja ni kwamba Lowassa atashindwa, na si kushindwa tu, ni atashindwa vibaya na kihalali kabisa.
Sasa haya mambo ya operesheni za kuzinduka yanahitajika kweli? Nguvu na juhudi zote hizi za nini kwa mtu/ mgombea ambaye ni nonstarter?
Au wanataka asipate hata kura moja [yaani hata yeye mwenyewe asijipigie]?
Hii operesheni kwangu haiingii akilini hata kidogo.
NN, ngosha na wewe unanichekesha bana; sasa hata propaganda tena hujui? unafikiri wanaosema "Lowassa atashinda asubuhi" unafikiri wanaamini kweli hivyo? ingekuwa hivyo si ungeona hata hawasumbuki na mtu kama mimi? suala la kuisaidia CCM ishinde nitalijibu kwa sababu inaendana kabisa na watu kumchukua Lowassa ni kuisaidia CHADEMA ishinde au Lowassa ashinde?
You Have Done Nothing, Tutakuchinja Wewe Na Wenzako Tarehe 25 Oct Kweupe,
Peopleeeeee's?
Poweeeeeeeeer
Lowassa?
Mabadilikooooo
Mabadiliko?
Lowassaaaaaaa
Tunzeni Vichinjio Vyenu.
Sasa we nawe ndo umeandika nini hapo?
Ila Mwanakijiji na wewe huwa una mambo mengi sana kiasi unaishia kujichanganya mwenyewe.
Sasa kama ushahitimisha kuwa safari hii Lowassa atashindwa 'clean and clear', kwa nini sasa unakuja na hizi episodes unazodai kwamba kama watu watazisikiliza basi zitabadili mawazo yao kama walikuwa wamepanga kumpa Lowassa kura zao?
Kwa nini unaendelea kuwasaidia CCM(ambao tayari watashinda clean and clear)?
Huo uteuzi hata mimi ulinipa mashaka, kwanza aliyekua mkurugenzi alipelekwa kwa majaji, msaidizi wake akapandishwa juu. Nasikia kwenye IT nako yamefanyika mabadiliko, kana kwamba haitoshi mwenyekiti anaaminihsa watu wauamini mfumo wa uchaguzi kwamba utakua wa haki na huru kwa kuwaahidi kwamba matokeo yatabandikwa vituoni.
Nahisi kuna kitu kikubwa sana kipo nyuma ya huu mpango mzima, suala la ushindi ni zaidi ya kura zitakazopigwa na wananchi.
You are trying to devide so you can rule. CHADEMA ya majimboni wako pamoja na viongozi wao wa kitaifa. Wewe unaonekana una borderline personality disorder. Let the people make the decision of a leader they want. After all tell us what you as mwanakijiji has done for our country that will convince people tot listen to your propaganda. Those who have been in power for 50 years have proved beyond reasonable doubt that they have ran out of breath, as kingunge put it. We need a new team and we have chosen UKAWA. SASA HIVI HATA UJE NA ASALI HAKUNA ATAKAYEIONJA. KICHINJIO KINANOLEWA. OCTOBER 26 sio mbali.we have made a choice and our next president is LOWASSA.Hawawezi kukuelewa dadangu; ndugu zetu wameamua kubinafsisha mabadiliko na taasisi ya CDM leo siyo ile tena; kwenye ngazi ya taifa (kama nitakavyoonesha zaidi mbeleni) wapinzani wa kweli watakuwa wamebakia majimboni tena wale ambao hawakuuza haki yao ya kwanza kwa tamaa ya njia ya mkato. Kama kila timu inayoenda kwenye fainali ingekuwa inapewa nafasi ya kumchukua mshambuliaji wa ile timu nyingine ili ishinde fainali nyingi zingeweza hivyo!
Program Note:Operesheni Zinduka - Episode 2 "Makosa 2 ya Dr. Slaa na 1 la Mbowe - Jumatano Oktoba 7, 2015) Stay tuned
Wiki hii ya kwanza zaidi nitagusia hoja nyingi zilizoibuliwa kutushangaa tunaomkataa Lowassa kama mgombea Urais kwa tiketi ya upinzani.