Mzee anzisha opereshen.... Kuna samaki wengi sana utawavua.. Wanaoshabikia kwa upepo tuu
NB: Video Inafuata
Operesheni Zinduka imeanza kama nilivyoahidi (jana haikuwezekana kwa sababu moja tu ya heshima ya Mch. Mtikila na haihusiani na mipango ya watu wengine). Nitajitahidi kuwa na onesho hili kila siku (ukiondoa mwisho wa Juma) na nitazungumzia mada mbalimbali. Wiki hii ya kwanza zaidi nitagusia hoja nyingi zilizoibuliwa kutushangaa tunaomkataa Lowassa kama mgombea Urais kwa tiketi ya upinzani.
La pili nitajitahidi hasa wiki ile inayokuja kutoa nafasi kwa wagombea wa CHADEMA kwenye Ubunge (ambao tutaweza kuwafikia) ili wajiuze kwani ninaamini Bunge lenye nguvu lililoundwa na watu waliolelewa na kukomaa katika upinzani na wenye kuelewa hasa ajenda ya upinzani ndio chachu ya kweli ya mabadiliko tuyatakayo. Hivyo, wiki ile inayokuja tutatoa nafasi hii kwa wote tutakaoweza kuwapata.
Tatu, kwa vile nina uhakika wapo wengi ambao hawajakubaliana na uamuzi wangu huu (ambao naamini ni sahihi) basi nitatoa nafasi pia kwa watu wengine kutoa hoja zao dhidi ya ninachosema (sikiliza onesha hili juu ya 'mashart kuzingatiwa'). Kwa barua pepe anuani yangu ipo chini na namna nyingine ya mawasiliano nitawajulisha siku chache zijazo.
Nitajitahidi kuweka shows zote kwenye uzi huu huu kila siku, na video zitafuata chini toka ya zamani zaidi hadi mpya zaidi.
Mwisho, ninaamini na nina uhakika kuwa kwa atakayeamua kunisikiliza kuanzia sasa hadi kuamkia Uchaguzi Mkuu hatoweza kumpigia Lowassa kura ya Urais. Ni kwa sababu hiyo wale ambao tayari wameshaamua kuwa haijalishi nini kitasemwa juu ya Lowassa nawaomba au kuwashauri wasisikilize mada hizi wasije kujikuta wanabadili mawazo. Mada hizi ni kwa wale tu ambao bado hawajaamua au wale ambao wameamua lakini bado wanajikuwa wanavuta na upepo wa 'nyomi' kiasi kwamba bado hawajathibitika katika msimamo wao.
"Uamuzi Makini, Uamuzi wa Lazima, Uamuzi Sahihi"
MMM
ONESHO 1. "Baada ya Kelele Sauti za Hoja Zitashinda"
Wewe babu tulia tulishaamua kumchagua Lowassa hiyo zinduka fanya na vigagula wenzioNB: Video Inafuata
Operesheni Zinduka imeanza kama nilivyoahidi (jana haikuwezekana kwa sababu moja tu ya heshima ya Mch. Mtikila na haihusiani na mipango ya watu wengine). Nitajitahidi kuwa na onesho hili kila siku (ukiondoa mwisho wa Juma) na nitazungumzia mada mbalimbali. Wiki hii ya kwanza zaidi nitagusia hoja nyingi zilizoibuliwa kutushangaa tunaomkataa Lowassa kama mgombea Urais kwa tiketi ya upinzani.
La pili nitajitahidi hasa wiki ile inayokuja kutoa nafasi kwa wagombea wa CHADEMA kwenye Ubunge (ambao tutaweza kuwafikia) ili wajiuze kwani ninaamini Bunge lenye nguvu lililoundwa na watu waliolelewa na kukomaa katika upinzani na wenye kuelewa hasa ajenda ya upinzani ndio chachu ya kweli ya mabadiliko tuyatakayo. Hivyo, wiki ile inayokuja tutatoa nafasi hii kwa wote tutakaoweza kuwapata.
Tatu, kwa vile nina uhakika wapo wengi ambao hawajakubaliana na uamuzi wangu huu (ambao naamini ni sahihi) basi nitatoa nafasi pia kwa watu wengine kutoa hoja zao dhidi ya ninachosema (sikiliza onesha hili juu ya 'mashart kuzingatiwa'). Kwa barua pepe anuani yangu ipo chini na namna nyingine ya mawasiliano nitawajulisha siku chache zijazo.
Nitajitahidi kuweka shows zote kwenye uzi huu huu kila siku, na video zitafuata chini toka ya zamani zaidi hadi mpya zaidi.
Mwisho, ninaamini na nina uhakika kuwa kwa atakayeamua kunisikiliza kuanzia sasa hadi kuamkia Uchaguzi Mkuu hatoweza kumpigia Lowassa kura ya Urais. Ni kwa sababu hiyo wale ambao tayari wameshaamua kuwa haijalishi nini kitasemwa juu ya Lowassa nawaomba au kuwashauri wasisikilize mada hizi wasije kujikuta wanabadili mawazo. Mada hizi ni kwa wale tu ambao bado hawajaamua au wale ambao wameamua lakini bado wanajikuwa wanavuta na upepo wa 'nyomi' kiasi kwamba bado hawajathibitika katika msimamo wao.
"Uamuzi Makini, Uamuzi wa Lazima, Uamuzi Sahihi"
MMM
ONESHO 1. "Baada ya Kelele Sauti za Hoja Zitashinda"
Wabunge wa upinzani wanaenda kusimamia ajenda hipi kama vyama vyao vimeuwa misingi na kanuni zao kwasababu ya masrahii ya watu wachache?
Nimeomba kadi karibu miaka miwili iliyopita; hivi majuzi nikafikiri wananipatia lakini wakawa wanataka vithibitisho utadhani nataka kujiunga CIA.. Mwishoni wananiambia "tumesikia una mpango wa kutusafisha... CCM safi haiitaji kusafishwa"..
.
Pole Mzee, kadi is nothing but a piece of paper, kinachomater ni ile genuine desire deep down your heart to see Tanzania change for the better. Japo wamekukatalia hiyo kadi, amini maneno yangu, utafikia wakati CCM watapata busara za uoni wa ndani jinsi unavyowasaidia, watakuita, watakubembelezea kadi, na utaitwa Magogoni na kuobwa 'tusaidiane'!.
hahaha Pasco.. usiumie sana; kadi wamenikatalia ati nitakuwa pandikizi; ...
Sikuwai kutegemea nitakuja kuichagua ccm katika maisha yangu ila kwa waliyotufanyia ukawa sioni wa kuchagua zaidi ya Magufuli na mbunge wa ccm na diwani.
Bado tunaendelea kusubiri mabadiliko ya kweli.
Mwanakijiji umemdharirisha sana Mtikila kuimba nyimbo ya Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Mtikila mpaka anafariki alikua haitambui Tanzania yeye alikua anaitambua Tanganyika. Ningekushauri ungeimba wimbo wowote unaohusina na Tanganyika kama upo. Pia ningekushauri urekebishe yafuatayo unapokuja kwa mara ya pili
1. Maneno kama NINGE, NITA, etc usiyatumie sababu inaonesha unapenda kutukuzwa
2. Tuna wagombea tayari, unatushauri nini sisi wapiga kura ie nani anafaa kua urisi ?
3. Maoni yako yanamlenga zaidi Lowasa, kwanini usifanye uchambuzi wako kwa wagombea wote ili sisi wapiga kura tuweze kuchuja yupi anafaa na yupi hafai?
4. Kwa hii clip inaonesha unachuki zaidi kwa Lowasa, huoni kwamba kuna kitu kimefichika nyuma ya pazia kinachokusukuma kwenye hili.
Asante
Kumekucha tena makamamda operesheni Zinduka hiyo.
Huyu ni Mzee Mwanakijiji;
@pasco akamfariji;
[FONT=century gothic [B]Mzee Mwanakijiji[/B] akamjibu;[/FONT]
.leo hii anataka tuamini kwa miaka 20 alikuwa upinzani? Ninachojua - na kuamini- ni kuwa muda wote huo akiwa mwanachama wa ccm amekuwa akijua na kuona kuwa hawatendi sawasawa na ahadi zao na hili amekuwa akilipigia kelele tangu enzi hizo. Leo unataka kutuaminisha fikra zako ni huru (ilhali uliomba kadi ya uanachama)!???
Hivi unawachukuliaje Watanzania kwa mfano? Yani mimi shida yangu kwako ni kutudanganya tu! Nisigekuona muongo na mfitini kama ungeacha kutumia sifa hiyo ya 'mwandishi huru' useme tu wewe ni ccm na ndiyo sababu ya kutomtaka Lowassa! .