Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Haswa haswa wafia dini
Hiyo Vita ya Ukraine siyo vya mlengo wa kidini hata chembe moja.
Siyo ya uislam na Ukristo.
Ukraine analishambulia kanisa la Orthodox nchini kwake. Wamarekani na washirika wake wakristo kwanini waunge mkono mtu kama huyo?
Russia ni nchi ya kikristo kiasi kikubwa.
Fuatilia vizuri.
Mimi muandishi wa makala hii siyo muislam. Nimezaliwa familia ya waumini wa ukristo wakatoliki na kubatizwa kanisa katoliki la mitume.
 
Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.

Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.

Hakuna mfumo wa kuizuia.

Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).

Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.

Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.

Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.

Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.

Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.

Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.

Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.

CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
To every action there is an equal and opposite reaction
 
Mbona Ukraine wamepoa hawajaendelea tena kutumia silaha zao za masafa marefu baada ya jaribio hilo moja tu?
Hata chizi kuna muda akili inakaa sawa kidogo halafu ndio inapotea tena,hivi kama ingekuwa wewe unapigwa missiles kama zile halafu hat mtetezi wako unayemwamini unamuuliza wamenipiga na nini halafu anakwambia hajui ungeacha kuogopa?
 
Hiyo Vita ya Ukraine siyo vya melengo wa kidini hata chembe moja.
Siyo ya uislam na Ukristo.
Ukraine analishambulia kanisa la Orthodox nchini kwake. Wamarekani na washirika wake wakristo kwanini waunge mkono mtu Kama huyo?
Russia ni nchi ya kikristo kiasi kikubwa.
Fuatilia vizuri.
Mimi muandishi wa makala hii siyo muislam. Nimezaliwa familia ya waumini wa ukristo wakatoliki na kubatizwa kanisa katoliki la mitume.
Mkuu unawaelewesha hawa ng'ombe watakuelewa kweli?
 
Putin anachorwa kwa makusudi na kwa nia ovu katika taswira ya mtu muovu na watu wanaotaka kuendelea kuishikilia dunia yote chini ya utumwa na unyonyaji wao.
Hii ni Vita ya kutaka kubadili mfumo wa kuendesha maisha ya watu Kati ya waliokuwa wanashikilia mfumo kikundi kidogo kutawala na kuwanyonya wengi na wale wanaotaka mfumo mpya wa usawa katika kujiamulia mambo, usawa katika ushindani wa kibiashara, n.k.
IPO siku Putin atajua kuwa mabeberu sio watu
 
Hapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.

Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.

Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.
 
Hapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.

Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.

Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.
upo sahihi umechambua kwa ujuzi bila ushabiki
 
Russia ilishapitwa na sera. What started as a military operations and world thought it'll end in few days it has been a long unending war. Russia is full of propaganda
 
Hapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.

Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.

Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.
Upo sahihi kuhusu Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs).
Pia sahihi kuhusu Intermediate-Range Nuclear Forces Treaty (INF Treaty).
Hapo jipya ni uwezo wa teknolojia mpya ya Hypersonic speed ya hizo (MIRV).
Hiyo ndiyo game changer.
 
Russia ilishapitwa na sera. What started as a military operations and world thought it'll end in few days it has been a long unending war. Russia is full of propaganda
This narrative of longivity of the military operation as a failure is no longer significant in the politics of multipolar world order as the war is almost won by Russia.
Unipolar and hegemony of the West is in the brink of collapse.
If Russian propaganda is what makes it win the war, why not use it?
Ukraine is losing it's territory in a lightning speed as we speak.
 
This narrative of longivity of the military operation as a failure is no longer significant in the politics of multipolar world order as the war is almost won by Russia.
Unipolar and hegemony of the West is in the brink of collapse.
If Russian propaganda is what makes it win the war, why not use it?
Ukraine is losing it's territory in a lighting speed as we speak.
There is nothing like lightening speed, Russia rumbles now coz the west has abandoned Ukraine. Russia as we knew it then wouldn't have been in unending war with a country like Ukraine , As a matter of fact, this war has exposed Russia's vulnerability and countries like Germany right now can defeat it in a matter of minutes. That's the hard truth but let it sink in.
 
Back
Top Bottom