Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
HatariKuna watu wanamuona Putin kama ka Mungu flan.
Sasa kama wangeishi zama za Hitler sijui wangemuita nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariKuna watu wanamuona Putin kama ka Mungu flan.
Sasa kama wangeishi zama za Hitler sijui wangemuita nani
Kwahiyo wewe siraha zote Dunian unazijua we popoma??Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.
Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.
Hakuna mfumo wa kuizuia.
Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).
Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.
Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.
Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.
Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.
Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.
Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.
Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.
CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
Bwashee tatizo sio MIRVs ila Shido ni speed and accuracy ku hit target,kwasasa technology ya silaha za kivita zinawekeza zaidi kwenye utafiti kuhusu speedHapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.
Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.
Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.
Hakuna Rang wataacha kuona SOMA HAPAMarekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.
Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.
Hakuna mfumo wa kuizuia.
Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).
Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.
Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.
Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.
Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.
Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.
Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.
Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.
CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
Wazitolee wapi?Porojo hizo hypersonic marekani na Ukraine hazina Yani watu wa ajabu ajabu leta Uzi ambao unaendana na ukweli
Kama wakipiga Hydrogen bomb au nuclear basi tumeisha😁😁😁 Na bado upo hapo hapo Kwa Malkia kimbia mkuu
Marekani ipo saanaHii niliisema zamani kwenye FB na sio bye bye tu na itavunjika vipande vipande zile state 54 zitataka kila moja iwe nchi kamili na serikali zake usa itakuwa nyumba ya buibui 9Bayti ankabut)
America haiwezi kuondoka, itakuwepo karne nyingi zijazo.Amerika isiondoke hatuwez kuzamia russia au china ,tuendelee kuiombea amerika kimbilio la maninja wazamiaji
Tatizo watu waliochoka kuishi ambao wanataka kufa wamechanganyikana na watu wastaarabu ambao wanapenda kuendelea kuishi ndio maana Putin anakausha.Mfano ni kule Kursk kama wangebaki tu watu wanaotaka kufa ambao wamechoka kuishi tungesawazisha mji wote na baadae tukajenga upya kama MariupolPutin ni mtu mwenye busara sana. Anaonekana pia kuwa ni mpole. Angekuwa kichaa fulani hivi na ameshapata sababu ya kutumia nyuklia, angetest.
Ila naona anaamua kuvutavuta mpaka January Trump ayamalize.. vita ya nulcear haina mshindi wote sisi tutafukiwa ardhini sasa ya nini?
Mimi ngoja tu nihamie kufuatilia ligi ya ujerumani bundesiliga mana Uk inaenda kuzamishwa so hakutakuwa tena na Man U 😁😁😁😁😁😁😁😁Silaha zote hufanyiwa majaribio aidha kwa watu wake (wanajeshi) ama nchi nyingine
Mpaka hydrogen bomb wamefanyia majaribio sehemu nyingi hawa wote wenye hizi silaha
Siku hizi ukisikia matetemeko ya Ardhi basi mengi yanafanywa na hawa underground
Hapa Putin amesema atakashusha haka kakisiwa ka 🇬🇧 kwa makombora makubwa sasa sijui ndio haya mabomu anataka kutuzamisha nayo?
Nifah ni vile hujui TU jinsi ninavyokupenda.Vita ni maarifa na Putin anayo mengi.
Jana watu waliongea sana as if maeneo ya Ukraine yaliyochukuliwa na Urusi yamerudishwa kwa kushambulia ndani ya Urusi,lkn Leo wote kimya na yule kibaraka analia kwamba Dunia inatazama jinsi Putin amegeuza Ukraine kama uwanja wa majaribio ya silaha mpya.Mbona Ukraine wamepoa hawajaendelea tena kutumia silaha zao za masafa marefu baada ya jaribio hilo moja tu?
Kanisa Takatifu katoliki la mitumeHiyo Vita ya Ukraine siyo vya mlengo wa kidini hata chembe moja.
Siyo ya uislam na Ukristo.
Ukraine analishambulia kanisa la Orthodox nchini kwake. Wamarekani na washirika wake wakristo kwanini waunge mkono mtu kama huyo?
Russia ni nchi ya kikristo kiasi kikubwa.
Fuatilia vizuri.
Mimi muandishi wa makala hii siyo muislam. Nimezaliwa familia ya waumini wa ukristo wakatoliki na kubatizwa kanisa katoliki la mitume.
Ha ha haa,aisee wewe jamaa ni mtata hatari.Hata chizi kuna muda akili inakaa sawa kidogo halafu ndio inapotea tena,hivi kama ingekuwa wewe unapigwa missiles kama zile halafu hat mtetezi wako unayemwamini unamuuliza wamenipiga na nini halafu anakwambia hajui ungeacha kuogopa?
Technically kila ICBM ni hypersonic kwenye reentry phase. Kombora likitembea kuanzia Mach 5 linaitwa hypersonic, kila ICBM unayoona ikiingia duniani tena kuelekea kwenye target inakuwa na zaidi ya Mach 5 nyingine zinaenda hadi Mach 20 na hazijawahi itwa hypersonic sababu zinatokea chini zikiwa supersonic.Upo sahihi kuhusu Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs).
Pia sahihi kuhusu Intermediate-Range Nuclear Forces Treaty (INF Treaty).
Hapo jipya ni uwezo wa teknolojia mpya ya Hypersonic speed ya hizo (MIRV).
Hiyo ndiyo game changer.
Kilomita tatu kwa second moja. Wewe unaamini hilo kiuhalisia inawezakana?Unabishana na Pentagon?
Umefuatilia inawezaje kufikia speed hiyo?
Hapo awali Marekani walikuwa hawaamini kama Urusi ana uwezo wa kutengeneza silaha ya hivyo.
Kwa hivyo wewe siyo wa kwanza kuwaza hivyo.
Nakubaliana mkuuHapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.
Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.
Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.