Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

There is nothing like lightening speed, Russia rumbles now coz the west has abandoned Ukraine. Russia as we knew it then wouldn't have been in unending war with a country like Ukraine , As a matter of fact, this war has exposed Russia's vulnerability and countries like Germany right now can defeat it in a matter of minutes. That's the hard truth but let it sink in.
The West has abandoned Ukraine by allowing it to strike targets deep inside Russian internationally recognized territory?
Abandoned while adding more munitions like anti-personnel bombs? Which is violation of Anti-personnel bombs treaty.
I'm starting to question your logic of abandoning something.
 
The West has abandoned Ukraine by allowing it to strike targets deep inside Russian internationally recognized territory?
Abandoned while adding more munitions like anti-personnel bombs? Which is violation of Anti-personnel bombs treaty.
I'm starting to question your logic of abandoning something.
Just let it slide, but as of now it's better you talk of china in military superiority rather than Russia which has been dwarfed by a weak nation like Ukraine
 
Nimeishia km 3 per second hapo umetupiga
Mach 10 badili kwenda kwenye Km/s.
Nenda Google andika "Convert Mach 10 to km/s".
Wabongo kwa ujuaji na ubishi tupo vizuri.
Anyway, seeing is believing. Jionee mwenyewe. Kasome makala huko BBC, CNN, Forbes, RT, Sputinik, n.k. kuhusu hilo tukio na hiyo speed ya Mach 10.
 
Naona NATO wamemuita Zelensky wakajadili hilo kifupi mMrusi hazuiliki,hili kombora kwenye 2018-2020 niliona Putin akilizindua Dunia ilikataa na kumuita muongo nimejionea mwenyewe ni balaa zito kabisa kombora linalia mlio wa boeing yaani Mfyuuuuuuuuuuu likifika unasikia kitiiiiiiiiiiiing! Na mwanga mkali kama balbu inataka kufa Kwa kweli waweza ukany. Kabisa
 
Mach 10 badili kwenda kwenye Km/s.
Nenda Google andika "Convert Mach 10 to km/s".
Wabongo kwa ujuaji na ubishi tupo vizuri.
Anyway, seeing is believing. Jionee mwenyewe. Kasome makala huko BBC, CNN, Forbes, RT, Sputinik, n.k. kuhusu hilo tukio na hiyo speed ya Mach 10.
Kahawa hiyo weka hata kavideo nami nione
 
Silaha zote hufanyiwa majaribio aidha kwa watu wake (wanajeshi) ama nchi nyingine
Mpaka hydrogen bomb wamefanyia majaribio sehemu nyingi hawa wote wenye hizi silaha
Siku hizi ukisikia matetemeko ya Ardhi basi mengi yanafanywa na hawa underground
Hapa Putin amesema atakashusha haka kakisiwa ka 🇬🇧 kwa makombora makubwa sasa sijui ndio haya mabomu anataka kutuzamisha nayo?
😁😁😁 Na bado upo hapo hapo Kwa Malkia kimbia mkuu
 
Hata chizi kuna muda akili inakaa sawa kidogo halafu ndio inapotea tena,hivi kama ingekuwa wewe unapigwa missiles kama zile halafu hat mtetezi wako unayemwamini unamuuliza wamenipiga na nini halafu anakwambia hajui ungeacha kuogopa?
😁😁😁😁😁
 
Hapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.

Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.

Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.
Na ndo maana ukifika huko level za juu kwenye makombora kila nchi ina doctrine yake hasa kwenye mabomu ya nuclear, maana kila nchi inajua haiwezi kuyazuia ishu inakuja nani atamuwahi mwenzie na kuleta maafa zaidi kuliko mwenzie, tuseme vita ya nuclear ianze Marekani anajua Mrusi anaweza akampiga na Mrusi anajua mmarekani anaweza kumpiga ila kinachotafutwa hapo nani atatandikwa zaidi ili aombe poo
 
Naona NATO na zelensky kaitwa wakajadili hilo kifupi mrusi hazuiliki,hili kombora kwenye 2018-2020 niliona Putin akilizindua Dunia ilikataa na kumuita muongo nimejionea mwenyewe ni balaa zito kabisa kombora linalia mlio wa boeing yaani fyuuuuuuuuuuu likikifika unasikia kitiiiiiiiiiiiing! Kwa kweli waweza ukany. Kabisa
Kmmk nimecheka Sana 😁 😄😄😄😄
 
Naona NATO na zelensky kaitwa wakajadili hilo kifupi mrusi hazuiliki,hili kombora kwenye 2018-2020 niliona Putin akilizindua Dunia ilikataa na kumuita muongo nimejionea mwenyewe ni balaa zito kabisa kombora linalia mlio wa boeing yaani fyuuuuuuuuuuu likikifika unasikia kitiiiiiiiiiiiing! Kwa kweli waweza ukany. Kabisa
Kuna Yule Jamaa alikuwa Anachukua video clip yaani mpaka alikuwa anaweweseka honestly inatisha haya mambo tuyasikie tu Kwa wenzetu
 
Back
Top Bottom