Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Haswa haswa wafia dini
Hiyo Vita ya Ukraine siyo vya mlengo wa kidini hata chembe moja.
Siyo ya uislam na Ukristo.
Ukraine analishambulia kanisa la Orthodox nchini kwake. Wamarekani na washirika wake wakristo kwanini waunge mkono mtu kama huyo?
Russia ni nchi ya kikristo kiasi kikubwa.
Fuatilia vizuri.
Mimi muandishi wa makala hii siyo muislam. Nimezaliwa familia ya waumini wa ukristo wakatoliki na kubatizwa kanisa katoliki la mitume.
 
To every action there is an equal and opposite reaction
 
Mbona Ukraine wamepoa hawajaendelea tena kutumia silaha zao za masafa marefu baada ya jaribio hilo moja tu?
Hata chizi kuna muda akili inakaa sawa kidogo halafu ndio inapotea tena,hivi kama ingekuwa wewe unapigwa missiles kama zile halafu hat mtetezi wako unayemwamini unamuuliza wamenipiga na nini halafu anakwambia hajui ungeacha kuogopa?
 
Mkuu unawaelewesha hawa ng'ombe watakuelewa kweli?
 
IPO siku Putin atajua kuwa mabeberu sio watu
 
Hapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.

Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.

Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.
 
upo sahihi umechambua kwa ujuzi bila ushabiki
 
Russia ilishapitwa na sera. What started as a military operations and world thought it'll end in few days it has been a long unending war. Russia is full of propaganda
 
Upo sahihi kuhusu Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs).
Pia sahihi kuhusu Intermediate-Range Nuclear Forces Treaty (INF Treaty).
Hapo jipya ni uwezo wa teknolojia mpya ya Hypersonic speed ya hizo (MIRV).
Hiyo ndiyo game changer.
 
Russia ilishapitwa na sera. What started as a military operations and world thought it'll end in few days it has been a long unending war. Russia is full of propaganda
This narrative of longivity of the military operation as a failure is no longer significant in the politics of multipolar world order as the war is almost won by Russia.
Unipolar and hegemony of the West is in the brink of collapse.
If Russian propaganda is what makes it win the war, why not use it?
Ukraine is losing it's territory in a lightning speed as we speak.
 
There is nothing like lightening speed, Russia rumbles now coz the west has abandoned Ukraine. Russia as we knew it then wouldn't have been in unending war with a country like Ukraine , As a matter of fact, this war has exposed Russia's vulnerability and countries like Germany right now can defeat it in a matter of minutes. That's the hard truth but let it sink in.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…