Orodha tukufu ya Wanawake maarufu niliowahi kuwahusudu na kuishia kuwala kwa macho

Kuna huyu anaitwa lady j Dee huyu manzi Ni mkali sana.

Nampenda bado
 
Dada wa kinyakyusa 🀣🀣🀣 unamsema dadake Lucas mwashambwa sio???
 
Mimi nilitokea kumpenda sana Miss Tanzania wa 2003, Sylvia Bahame.

Kuna dada aliigiza Kaole na kina Dk Cheni wakati ule alikuwa ananivutia sana ila hakuwa maarufu.

Kuna dada pia alikuwa bonge anatangaza Star Tv, nilikuwa nampenda sana ila jina limenitoka.

Wanawake wazuri wapo wengi, angalieni mfano yule mama ambaye ni CEO wa Benjamin Mkapa Foundation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…