Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

8. Miswaki
9. Viwembe
10. Chanuo
11. Makobazi/Ndala/Yeboyebo
12. Kalamu aina zote za risasi na wino
13. Bidhaa zote za stationary
14. Baiskeli
15. Matairi ya gari
16. Vyombo vya jikoni
17. Mapambo

18.mapanga
19.majembe
20.matoroli..
 
Furniture. Furniture. Furniture. Wakianza na hilo watakua wamefanya jambo kubwa sana

Huwa nashangaa watu kununua furniture kutoka nje wakati mafundi kitaani wanatengeneza furniture nzuri sana kwa bei poa. Imagine ofisi zote zingekua na furniture zilizotengenezwa nchini tungekua wapi.
 
Furniture. Furniture. Furniture. Wakianza na hilo watakua wamefanya jambo kubwa sana

Huwa nashangaa watu kununua furniture kutoka nje wakati mafundi kitaani wanatengeneza furniture nzuri sana kwa bei poa. Imagine ofisi zote zingekua na furniture zilizotengenezwa nchini tungekua wapi.
Mimi la kuona tunanunua mafagio kutoka China linaniumiza sana
 
Furniture. Furniture. Furniture. Wakianza na hilo watakua wamefanya jambo kubwa sana

Huwa nashangaa watu kununua furniture kutoka nje wakati mafundi kitaani wanatengeneza furniture nzuri sana kwa bei poa. Imagine ofisi zote zingekua na furniture zilizotengenezwa nchini tungekua wapi.


Mimi la kuona tunanunua mafagio kutoka China linaniumiza sana
 
Kuzuia bidhaa hzo na zinginezo itasaidia kuongeza ajira nchini...

Soko tayar tunalo..watu 50m

Imagine wapige marufuku..baadh ya product amabazo wazawa wanaweza tengeneza...vijana tutachangamkia fursa vibaya mno

Sasa imagine fagio linatoka china..bei elf3..mzawa utatengeneza nin hapo tena cha ziada
 
Kuzuia bidhaa hzo na zinginezo itasaidia kuongeza ajira nchini...

Soko tayar tunalo..watu 50m

Imagine wapige marufuku..baadh ya product amabazo wazawa wanaweza tengeneza...vijana tutachangamkia fursa vibaya mno

Sasa imagine fagio linatoka china..bei elf3..mzawa utatengeneza nin hapo tena cha ziada
Mzawa akitengeneza atauza 5,000.
Wewe utanunua wapi?
 
Hivi kuzuia kabla hujajitosheleza vikipanda bei wataumia watu wa chini..


Lakini hivyo nilivyo orodhesha hakuna ambae
Ataumia hata vikikosekana
Vikizuiwa tutalia kwa miez mi4 tuu ila impact yake kwa uchum itakua kubwa..utaona sasa had watu wa kidimbwi wanaenda lima alizet kwa ajil ya mafuta..au wanaenda kima miwa kwaajil ya sukar..hata bakhresa na mo watafungua viwanda vya sukar hapa..si demand kubwa ..

Kwasasa inakua tabu..sabab ya sukar toka nje ambayo ni cheap vibaya mno
 
Mimi la kuona tunanunua mafagio kutoka China linaniumiza sana

Ni ajabu hakika. Akili zimelala kabisa.

Ila kwa niijuavyo bongo na wabongo wenyewe, mtu yupo radhi kununua kitu kwa bei kubwa na poor quality cha nje kuliko kizuri kwa bei poa cha ndani. Utasikia ninunue meza ya fundi Juma mimi kwa laki2 wakati shoppers zipo za Uturuki ilhali ya Uturuki ni laki5 and no any better than Juma's.
 
Utazuiaje kabla hujaanza tengeneza?

Tengenezeni kwanza afu ndio vya nje vitozwe kodi ili visije
 
Mzawa akitengeneza atauza 5,000.
Wewe utanunua wapi?
Imagine hakuna fagio kutoka nje..halaf lina uhitaj wa kufa mtu..watu wanaotengeneza watakua weng..kama matikit yanavyofurikaga au mananas. Bei ztashuka had jero.fagio jero..simple maths tu..serikal haijataka bado wakwamua watu wake....wafanye hivyo waone...

Nchi kama nchi kwa sasa watu wameamka..we are ready for change...hata mafuta ya kula...wapige marufuk mafuta ya nje waone...utaanza ona alizet inalimwa mpaka Dar...chezea njaa wew
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka ...kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato...na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira


1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

Mnaweza ongezea.
Mkuu unaonaje tukaanzisha petition maana hii serikali yetu ni kama hawasikilizi kirahisi. Kuna taka nyingi zinajazana bandarini kuingia na hazina tija
 
Tukianza uzalishaji mzuri...ndo vizuiwe. Ila kuzuia angali hujawwka mipango poa tutarudi kule kule


Baadhi ya bidhaa hazihitaji hilo
Kwani mafagio yakikosekana ndo nchi ita taabika?

Bidhaa ambazo sio za ulazima sana..tuzuie moja kwa moja..

Acha simu ziingie lakini zuia cover za simu
Hakuna atakae andamana kisa kakosa cover
Scarcity yake italeta ubunifu watu wataanza tengeneza wenyewe
 
Kuzuia bidhaa hzo na zinginezo itasaidia kuongeza ajira nchini...

Soko tayar tunalo..watu 50m

Imagine wapige marufuku..baadh ya product amabazo wazawa wanaweza tengeneza...vijana tutachangamkia fursa vibaya mno

Sasa imagine fagio linatoka china..bei elf3..mzawa utatengeneza nin hapo tena cha ziada
Mzawa akitengeneza atauza 5,000.
Wewe utanunua wapi?
Imagine hakuna fagio kutoka nje..halaf lina uhitaj wa kufa mtu..watu wanaotengeneza watakua weng..kama matikit yanavyofurikaga au mananas. Bei ztashuka had jero.fagio jero..simple maths tu..serikal haijataka bado wakwamua watu wake....wafanye hivyo waone...

Nchi kama nchi kwa sasa watu wameamka..we are ready for change...hata mafuta ya kula...wapige marufuk mafuta ya nje waone...utaanza ona alizet inalimwa mpaka Dar...chezea njaa wew
Usemayo ni kweli ila hata hivyo ukiona made in Tz unakuta kiwanda cha mchina
 
Back
Top Bottom