Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Tatizo viongozi wetu "walishauza nchi". Literally namaanisha kuwa hao wanaotuletea hizo bidhaa tayari tulishasainia nao makubaliano ya kuruhusu waingize bidhaa zao huku wao wakitupa mikopo yenye unafuu (tunadanganywa).

Kitu kingine ni kuwa uki ban importation za bidhaa kutoka nchi nyingine ina maana nao wata ban wewe usipeleke zako kwao. Hapo kunakuwa hakuna International trade so hautatengeneza foreign currency ku boost uchumi.

Pia kutatokea kutetereka mahusiano kati ya nchi na nchi kiasi cha kupeleka vikwazo vingi vya kiuchumi na kidiplomasia.

Hivyo sio jambo dogo kufungia uingizwaji wa bidhaa kama mnavyodhani.
Na hapo ndo mwafrica alishikwa pu.mbu..hawez furukuta. Ukijifanya ooh hutak bidhaa kutoka njee utapigwa matukio ya vikwazo had ukubal..na kingne hii mikopo hiii daaah.ndo inawanyongonyeza kabisa watu wa africa..unaenda kwa mchina anakudai mabilion anakwambia lazima uruhusu bidhaa froma china.lazima uwe mpole.

Inshort kuna uwezekano africa tukaendelea kuwa maskin na wategemez mpaka mwisho wa dunia hii..ila poa tu..
 
China kuna vtu ukienda nunua dukan unashangaa yan unasema dah...hiz deodorant huku zinauzwa sjui elf5...kule ni mpaka 800...hvyo vtu vya electronics sasa ndo utashangaa...flash unanunua huku elf15 kule flash had 1000.
Mkuu umemaliza kazi😁😁👏👏👏👏 sa tumuombe rais asitishe baazi ya bizaa,mfano nimekumbuka pia mifuko ilivyopigwa marufuku. Bei ya mwanzo na ya sasa. Afu jambo la kukumbuka kukiwa na changamoto ndio watu watafunguka akili
 
Anzisheni kampeni ya kununua bidhaa zinazotengenezwa ndani ya nchi,

Hao wafanya biashara wanao agiza bidhaa toka nje wakikosa soko wataacha wenyewe automatic kuagiza hizo bidhaa,

Biashara ni demand and supply,kama demand ipo basi wafanya biashara wataendelea tu kuagiza bidhaa toka nje ila demand ikipungua wataacha wenyewe.
 
Na hapo ndo mwafrica alishikwa pu.mbu..hawez furukuta. Ukijifanya ooh hutak bidhaa kutoka njee utapigwa matukio ya vikwazo had ukubal..na kingne hii mikopo hiii daaah.ndo inawanyongonyeza kabisa watu wa africa..unaenda kwa mchina anakudai mabilion anakwambia lazima uruhusu bidhaa froma china.lazima uwe mpole.

Inshort kuna uwezekano africa tukaendelea kuwa maskin na wategemez mpaka mwisho wa dunia hii..ila poa tu..
Ndio uhalisia huo mzee. Mfumo ulishasukwa sasa tupo trapped hakuna kuchomoka.
 
Tena kwenye nguo unaweza acha 'semi finished 'kutoka nje
Ukazuia 'finished products' only


Mtu akilet mapazia seti hapati kibali
Lakini akiagiza Majora ya mapazia ambayo
Lazima yakatwe na kupindwa hapa hapa Tz
Unamuacha
Ni ngumu sana mtu mwenye mshahara wa 11m ..kakopeshwa kitita kama 200m akiingia akitoka anapigwa tena kama hzo kadhaa. Anakula posho ya vikao..posho za kamat etc etc...kuweza waza mambo kama hayo ...nguuum snaa...ila shega tu
 
Anzisheni kampeni ya kununua bidhaa zinazotengenezwa ndani ya nchi,

Hao wafanya biashara wanao agiza bidhaa toka nje wakikosa soko wataacha wenyewe automatic kuagiza hizo bidhaa,

Biashara ni demand and supply,kama demand ipo basi wafanya biashara wataendelea tu kuagiza bidhaa toka nje ila demand ikipungua wataacha wenyewe.

Hakuna haja
Serikali ingesema hivi kwenye mifuko ya plastic ..isingewezekana
Cha kwanza ban Tu
Mengine yatafuata
 
Anzisheni kampeni ya kununua bidhaa zinazotengenezwa ndani ya nchi,

Hao wafanya biashara wanao agiza bidhaa toka nje wakikosa soko wataacha wenyewe automatic kuagiza hizo bidhaa,

Biashara ni demand and supply,kama demand ipo basi wafanya biashara wataendelea tu kuagiza bidhaa toka nje ila demand ikipungua wataacha wenyewe.
Tatuzo mentality yetu watu weusi tumejijengea kudharau vya kwetu. Mtu ukimwambia anunue bidhaa fulani akijua imetengenezwa Tanzania automatically anaji tune kuwa hiyo bidhaa ni mbaya.

Yeye anataka tu made in China n.k
 
Ni ngumu sana mtu mwenye mshahara wa 11m ..kakopeshwa kitita kama 200m akiingia akitoka anapigwa tena kama hzo kadhaa. Anakula posho ya vikao..posho za kamat etc etc...kuweza waza mambo kama hayo ...nguuum snaa...ila shega tu

Lakini wao hawaoni? Interview za ajira?
Nafasi 50 wanaibuka watu elfu 30 na vyeti?
 
Mkuu umemaliza kazi[emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] sa tumuombe rais asitishe baazi ya bizaa,mfano nimekumbuka pia mifuko ilivyopigwa marufuku. Bei ya mwanzo na ya sasa. Afu jambo la kukumbuka kukiwa na changamoto ndio watu watafunguka akili
Na sasa watu wameamka..wa Tz wa sasa si wa miaka ya 80 na 90....sasa hvi watu wamachangamkia fursa...ila huwez kuta watu wanaongea haya bungen...au kokote..mtu akivuta posho yake ..mshahara 11m...akiingia mkopo wa kama 200m ..akitoka baada ya 5yrs anakula tena kama 300m ..... Vikao vya kamat posho za kumwaga..hawez kumbuka hilo hata sku1....kwanza wao ndo wanaongoza kuagiza vtu toka dubai china na ulaya..utamwambia nin

Inabid sasa tupaze saut na kusema..jamaan kwasasa tunaweza tengeneza..tunaomba mtupe nafas na mzuie hizo product toka nje...sasa sjui watatusikiliza...
 
Anzisheni kampeni ya kununua bidhaa zinazotengenezwa ndani ya nchi,

Hao wafanya biashara wanao agiza bidhaa toka nje wakikosa soko wataacha wenyewe automatic kuagiza hizo bidhaa,

Biashara ni demand and supply,kama demand ipo basi wafanya biashara wataendelea tu kuagiza bidhaa toka nje ila demand ikipungua wataacha wenyewe.
Huwez shindana na mtu mwenye bidhaa yake anatengeneza na umeme wa nuclear na wew unatengeneza na umeme wa mafuta. Lazima production cost itofautiane...pia huwez shindana na mtu ambae ana ujuz kwenye hzo bidhaa kwa zaid ya karne mbili...lazima product yake iwe cheap tu compared na chako...uwekewe flash same storage moja from china inauzwa elf5 nyingne from Tz inauzwa elf 15...hata ukiwa huna akil timamu utanunua ya mchina tu...so lengo ni kuzuia kabisa ili wazawa akil ziwakae sawa ..utaona watu wanaanza tengeneza flash had vibarazan. Yaan flash ni mfano tu..kuna product nying zikizuiwa wa Tz akil itatukaa sawa ...
 
Sukari

Ni aibu kwa nchi fertile kama hii
Wakati wa Magu alipiga marufuku uagizaji wa sukari isipokuwa kwa kibali cha Ikulu.

Akasema kwasababu viwanda vilivyopo vinadhalisha sukari ambayo haikidhi soko, wapewe wao wenye viwanda waagize ili kuziba nafasi ya tani zinazopungua.

Cha kushangaza hao hao wenye viwanda wakawa wanawauziwa vibali vya uagizaji importers wale wale wa sukari.
 
Lakini wao hawaoni? Interview za ajira?
Nafasi 50 wanaibuka watu elfu 30 na vyeti?
Ndugu yangu..watu wana roho mbaya sana...mtu aliye kwenye kiyoyoz unahis hata kwanza ataskia kwamba ajira sjui watu wameitwa wamefurika...labda siku watoto wa watu wakanyagane wafe ndo akil itakaa sawa

Hali ni mbaya mitaan..ma graduate toka 2013

Yaan logic ndoogo wanashindwa ingamua..hiv kwel mna import mpaka stik?..taulo za kike..pampers. Ni aibu.. vikombe.sahan za udongo...mapazia. Viwanda urafik n the likes vimekufa...daaaah
 
Wakati wa Magu alipiga marufuku uagizaji wa sukari isipokuwa kwa kibali cha Ikulu.

Akasema kwasababu viwanda vilivyopo vinadhalisha sukari ambayo haikidhi soko, wapewe wao wenye viwanda waagize ili kuziba nafasi ya tani zinazopungua.

Cha kushangaza hao hao wenye viwanda wakawa wanawauziwa vibali vya uagizaji importers wale wale wa sukari.
Hatar sana....nchi ina laana perhaps.
 
Wabongo ni wabinafsi mnalalama bidhaa za wenzenu zisiingie halafu nyinyi mnataka mkauze kwao. Hamjifunzi ziara ya Samia Kenya? kilichofanyika ni ruhusu niingize hiki kwako na mimi nikuruhusu uingize hiki kwangu 50/50 win-win.
mama aende nchi nyingine za afrika (Sahara kusini) tuwe na bilateral agreements mfano wewe malawi niruhusu kuingiza madekio malawi, mimi tz nitakuruhusu kuingiza mafagio tz, congo ingiza vumbi, mimi naingiza mkuyati. No free lunch
 
Kuzuia bidhaa hzo na zinginezo itasaidia kuongeza ajira nchini...

Soko tayar tunalo..watu 50m

Imagine wapige marufuku..baadh ya product amabazo wazawa wanaweza tengeneza...vijana tutachangamkia fursa vibaya mno

Sasa imagine fagio linatoka china..bei elf3..mzawa utatengeneza nin hapo tena cha ziada
Mzee usiwaze namna hii yaani hutaki kuchangamka mpaka Serikali wafungie
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

Mnaweza ongezea.

Mkuu hata ungeongezea na ma bombardier na dreamliners ingependeza tu.

Hata hayo hayajawa kipaumbele achilia mbali tangu yamekuja audit reports zina sema je?
 
Back
Top Bottom