Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Tatizo Bongo ujanja mwingi bidhaa zetu mbaya bei kubwa tazama sabuni za nje bei nzuri zinakizi viwango sabuni za Bongo sijui dofi mo azania mnatumalizia wake zetu na fangasi kwenye vidole
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

Mnaweza ongezea.
Hapana haitakiwi kuzuiwa. Najaribu kuwaza kwann hivi vitu havijawekewa Excise Duty mpaka leo, kama bado.

Serikali iamke kwa kuangalia Soko la ndani na namna ya kuongeza chachu kwenye kuanzisha viwanda vipya.
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

Mnaweza ongezea.
8. Chupi za mitumba
9. Sidiria za mitumba
10. Miswaki
11. Barakoa
12. Soksi za mitumba
13. Kalamu
 
Vitu vinakua na quality mbaya sabab kuna zipo zinazotoka nje..sasa wakizuia kabisaa 100%...watu watatengeneza na ushindan utakuepo kias kwamba wanaotengeneza famba watajitenga wenyew automaticaly...

Ila nin mkuu huu uzi wako mzur sana ila kuna akil ndogo zmeanza ingia hum ambazo hata uchambuz kwao ni mgum. Naomba wala usiwajibu

Ilipigwa marufuk mifuko hapa gafla ..na sasa kuna mifuko ya kila aina kwa bei nafuu na kwa ubora na viwango vya hal ya juu...mfano mdogo tu.


Bidhaa za nje zimelemaza watu
Hadi tunakuwa na watu 'walemavu wa akili ' kabisa
 
Ni ajabu hakika. Akili zimelala kabisa.

Ila kwa niijuavyo bongo na wabongo wenyewe, mtu yupo radhi kununua kitu kwa bei kubwa na poor quality cha nje kuliko kizuri kwa bei poa cha ndani. Utasikia ninunue meza ya fundi Juma mimi kwa laki2 wakati shoppers zipo za Uturuki ilhali ya Uturuki ni laki5 and no any better than Juma's.
furniture za bongo ni ovyo mno unanunua furniture mil 2.5 Baada ya mwaka mbao zote zinatoa unga.ni wachache wanaotengeneza furniture zenye ubora
 
Sema tu ni kwasababu africa tumebanwa kende na hawa wenzetu walioendelea na hii mikopo na misaada yao..ila ingewezekana mfano tukapiga stop mitumba ya nguo na nguo zenye ubora wa chini(lonya lonya) dk sifuri tu viwanda vya nguo bongo hii vingefurika na bei ya nguo hizo kadri muda unavyoenda ingekuwa ni sawa tu na hizo lonya za China..

This applies pia kwa bidhaa nyingine ndogondogo..

Sema ni ngumu maana tumekuwa kama dampo vile la bidhaa za china..na tunajenga uchumi wao..tukipiga ban figisu zinaanza..Africa tupo kwenye trap moja mbaya sana..kuchomoka hapo sijui aisee.
 
Sema tu ni kwasababu africa tumebanwa kende na hawa wenzetu walioendelea na hii mikopo na misaada yao..ila ingewezekana mfano tukapiga stop mitumba ya nguo na nguo zenye ubora wa chini(lonya lonya) dk sifuri tu viwanda vya nguo bongo hii vingefurika na bei ya nguo hizo kadri muda unavyoenda ingekuwa ni sawa tu na hizo lonya za China..

This applies pia kwa bidhaa nyingine ndogondogo..

Sema ni ngumu maana tumekuwa kama dampo vile la bidhaa za china..na tunajenga uchumi wao..tukipiga ban figisu zinaanza..Africa tupo kwenye trap moja mbaya sana..kuchomoka hapo sijui aisee.
Kuna watu humu wachache wao wanataka wa import tu ukisema uzalishe humu, subiria zengwe lake

Ova
 
Ukisikia china India..Vietnam .....Korea wametoa misaada ujue moja ya masharti ni kuacha bidhaa zao ziingie nchini bila vikwazo......ukitaka kuzuia anza kwanza na misaada nchi inayopata
Wanajua kucheza na hizo policy zao vizuri. Mloganzila ile ina product za Korea nyingi sana.
 
Wapige marufuku pia bidhaa ambazo hazina ubora.
Nimeenda duka la nguo nimebambikwa jeans inatoa rangi, sio mbichi ila mpaka nguo ya ndani imeingia rangi.
 
Mada bora kabisa hii.

Serikali izingatie ushauri huu.

Ufagio wa kufagilia vumbi umeandikwa Made in China, boxer za wanaume pia.

Aibu hii
 
Sema tu ni kwasababu africa tumebanwa kende na hawa wenzetu walioendelea na hii mikopo na misaada yao..ila ingewezekana mfano tukapiga stop mitumba ya nguo na nguo zenye ubora wa chini(lonya lonya) dk sifuri tu viwanda vya nguo bongo hii vingefurika na bei ya nguo hizo kadri muda unavyoenda ingekuwa ni sawa tu na hizo lonya za China..

This applies pia kwa bidhaa nyingine ndogondogo..

Sema ni ngumu maana tumekuwa kama dampo vile la bidhaa za china..na tunajenga uchumi wao..tukipiga ban figisu zinaanza..Africa tupo kwenye trap moja mbaya sana..kuchomoka hapo sijui aisee.
Walijaribu viongozi wetu wa East Afrika miaka hii enzi ya Magufuli, wakaweka azimio la kutoingiza mitumba. Wamarekani walikuja na vifungu mpaka viongozi wakanyoosha mikono.
 
jiwe alipowaambia umuhimu wa viwanda vidogo mkamuona chizi mmojawapo wewe
Sasa akili zimekurudi
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

8. Miswaki
9. Viwembe
10. Chanuo
11. Makobazi/Ndala/Yeboyebo
12. Kalamu aina zote za risasi na wino
13. Bidhaa zote za stationary
14. Baiskeli
15. Matairi ya gari
16. Vyombo vya jikoni
17. Mapambo
Stick za mishikaki
Stick za meno
Ukishusha contena lake karioakoo leo kesho huna
Yaani ukitaka utajiri anzia hapo na leso
hakuna kiwanda Cha ndani chenye hizo bidhaa kwa bei nafuu
 
Back
Top Bottom