Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Kwahyo utengeneze mzigo ukudodee kiwandan...yaan inabid wafanye maamuz magum kama walivyo fanya kwenye mifuko ya plastic...umeona sasa.kuna mifuko ya kila aina mtaan.jambo ambalo lilionekana haliwezekanUtazuiaje kabla hujaanza tengeneza?
Tengenezeni kwanza afu ndio vya nje vitozwe kodi ili visije
Wakizuia hzo bidhaa italeta mwamko mkubwa sana wa watu kujiajir..watu watatengeneza tutauziana humu hum ndan.soko la ndan watu 50m ni tosha kabisa.....ajira hakuna sabab..utatengeneza nin mabacho mchina hajatengeneza..na anatengeneza cheap kwelkwel..mzawa anaona hii bora kuacha tu..viwanda vya ndan kwishaa