Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Wabongo ni wabinafsi mnalalama bidhaa za wenzenu zisiingie halafu nyinyi mnataka mkauze kwao. Hamjifunzi ziara ya Samia Kenya? kilichofanyika ni ruhusu niingize hiki kwako na mimi nikuruhusu uingize hiki kwangu 50/50 win-win.
mama aende nchi nyingine za afrika (Sahara kusini) tuwe na bilateral agreements mfano wewe malawi niruhusu kuingiza madekio malawi, mimi tz nitakuruhusu kuingiza mafagio tz, congo ingiza vumbi, mimi naingiza mkuyati. No free lunch

Tuna kaubinafsi fulani mwenye kututibu nacho atakuwa katusaidia sana.

Tuko kama matoto yaliyolelewa vibaya. Tunadhani wengine wote ni wajinga ila sisi.

"Ya kwamba ngoja wajifungie ndani sisi tuchape kazi. Tuje tuwauzie chakula kwa bei tunayotaka sisi." Haya wazi wazi na tunaowasema wanatusikia.

Hulka dhaifu sana.
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

Mnaweza ongezea.
Ukisikia china India..Vietnam .....Korea wametoa misaada ujue moja ya masharti ni kuacha bidhaa zao ziingie nchini bila vikwazo......ukitaka kuzuia anza kwanza na misaada nchi inayopata
 
Ukisikia china India..Vietnam .....Korea wametoa misaada ujue moja ya masharti ni kuacha bidhaa zao ziingie nchini bila vikwazo......ukitaka kuzuia anza kwanza na misaada nchi inayopata
Wala hatutazuia kuagiza bidhaa zote za India au China..unaamua Tu kuchagua bidhaa zipi uagize zipi ujitegemee ..

Na hata ambazo utajitegemea unaweza agiza hizo raw material kutoka kwao
 
Ni ajabu hakika. Akili zimelala kabisa.

Ila kwa niijuavyo bongo na wabongo wenyewe, mtu yupo radhi kununua kitu kwa bei kubwa na poor quality cha nje kuliko kizuri kwa bei poa cha ndani. Utasikia ninunue meza ya fundi Juma mimi kwa laki2 wakati shoppers zipo za Uturuki ilhali ya Uturuki ni laki5 and no any better than Juma's.
Ishu sio bei ishu fund juma kawa mwana siasa na kusahau yy ni fundi
 
Furniture. Furniture. Furniture. Wakianza na hilo watakua wamefanya jambo kubwa sana

Huwa nashangaa watu kununua furniture kutoka nje wakati mafundi kitaani wanatengeneza furniture nzuri sana kwa bei poa. Imagine ofisi zote zingekua na furniture zilizotengenezwa nchini tungekua wapi.
Shida za kitaani quality mkuu,muda wanapamba juu huku ndani huko balaa,sofa baada ya miezi 6 tu linapoteza mvuto
 
1.Funitures za aina zote zitengenezwe na mbao zetu au vifunguliwe viwanda vya chuma malighafi ya Chuma hapa Tz IPO ya kumwaga.
2.Sukari,ngano na mafuta ya kula-tuna ardhi ya kulima hizi malighafi
3.nguo tuna pamba ya kutosha
4.Viatu-tuna ngombe wa kutosha

Kitu pekee ambacho tunatakiwa tu import ni capital goods
 
Shida za kitaani quality mkuu,muda wanapamba juu huku ndani huko balaa,sofa baada ya miezi 6 tu linapoteza mvuto

Quality inaenda inaongezeka
Mnaolilia quality ili mnunue vya nje msilalamike Ndugu zenu wakikosa ajira
 
Mchele na ata mitumba pia tairi baadaya ya kuboresha viwanda vyetu
 
Tun
1.Funitures za aina zote zitengenezwe na mbao zetu au vifunguliwe viwanda vya chuma malighafi ya Chuma hapa Tz IPO ya kumwaga.
2.Sukari,ngano na mafuta ya kula-tuna ardhi ya kulima hizi malighafi
3.nguo tuna pamba ya kutosha
4.Viatu-tuna ngombe wa kutosha

Kitu pekee ambacho tunatakiwa tu import ni capital goods
Tunaweza anza na ku import 'semi finished products' Kwanza

Watu wakaanza mdogo mdogo kuelewa vision
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

Mnaweza ongezea.
Bedsheets
Chupi
Viatu
Habdbags
 
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.

Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.

1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia

Mnaweza ongezea.
Wazo zuri sana. Kanuni ya kuunda ajira na kuinua uchumi ni "kupenda kutumia kwa wingi zaidi bidhaa za ndani, kuuza ziada nje na kununua kidogo toka nje."
 
Wabongo ni wabinafsi mnalalama bidhaa za wenzenu zisiingie halafu nyinyi mnataka mkauze kwao. Hamjifunzi ziara ya Samia Kenya? kilichofanyika ni ruhusu niingize hiki kwako na mimi nikuruhusu uingize hiki kwangu 50/50 win-win.
mama aende nchi nyingine za afrika (Sahara kusini) tuwe na bilateral agreements mfano wewe malawi niruhusu kuingiza madekio malawi, mimi tz nitakuruhusu kuingiza mafagio tz, congo ingiza vumbi, mimi naingiza mkuyati. No free lunch
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe mutu hatari sana!!!
 
Quality inaenda inaongezeka
Mnaolilia quality ili mnunue vya nje msilalamike Ndugu zenu wakikosa ajira
Vitu vinakua na quality mbaya sabab kuna zipo zinazotoka nje..sasa wakizuia kabisaa 100%...watu watatengeneza na ushindan utakuepo kias kwamba wanaotengeneza famba watajitenga wenyew automaticaly...

Ila nin mkuu huu uzi wako mzur sana ila kuna akil ndogo zmeanza ingia hum ambazo hata uchambuz kwao ni mgum. Naomba wala usiwajibu

Ilipigwa marufuk mifuko hapa gafla ..na sasa kuna mifuko ya kila aina kwa bei nafuu na kwa ubora na viwango vya hal ya juu...mfano mdogo tu.
 
Back
Top Bottom