Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Mzawa akiuza kwa 5000 atapiga hela sana ila kwa kuwa threat of new entrants ni kubwa baada ya miezi minne utashangaa watengeneza mifagio wameongezeka kama mara 20. Hapo lazima washushe bei ili wakae sokoni, bei itakuwa chini ya 3000 ya huyo Mchina
fagio zote unazo ziona madukani 70% zina tengenezwa hapa hapa na Wachina!
 
Kuna fagio, tooth stick zinazalishwa tz je wanaozalisha hizo ni wabongo au wachina ?

Ova
 
Mimi sioni haja ya kuzuia hizo bidhaa maana sasa soko linataka bidhaa zilizotayari na tofauti kwa mtumiaji Ili aweze kuchagua sasa hao wanatengeneza kwanini hawatengenezi bidhaa zilizotayari? Tatizo ni ujuzi hawana kabisa na mashine hazipo hivyo Kama kweli wanataka kuzuia bidhaa basi ndani ya miaka mitano wangeruhusu mashine hizo bila kodi baada ya hapo hizo bidhaa zingetoweka zenyewe, sasa sokoni hatuna bidhaa so tunazihitaji sana.
 
Bado tatizo linabakia kuwa tanzania tuna gap au ombwe la uongozi. Watu waliopo serikalini na meza kuu za maamuzi hawana best interest at heart kwa vijana na taifa. Wanalenga kujenga maisha yao, familia zao na koo zao. Hii ni laana kwa taifa.
Hatari sana mkuu
Tanzania ya wiwanda viwanda vika pigwa makodi ya ajabu na kufungia account!
 
Hahaha atarudia kazi yake ya zamani alipokuwa bongo

Ila dah jamaa mpiganaji sana hapo tu namkubali

Ova

Hahaha labda aende kulinda na gobole kwenye gas station umri ushamtupa kuruidia ile kazi.

Jamaa anapambana na makinikia yake.
 
Hahaha labda aende kulinda na gobole kwenye gas station umri ushamtupa kuruidia ile kazi.

Jamaa anapambana na makinikia yake.
Sana anapambana sana na mi used

Sema namkubali maana angeendelea kuongoza
Yale madude leo hii asingekuwa hivi

Ova
 
Mimi la kuona tunanunua mafagio kutoka China linaniumiza sana
hilo kweli ndio linaokuumiza mkuu utaendelea kuumia tena sana,wewe zama hizi tulizopo unakuta huko kwenye wasomi tunawaowategemea tena wenye elimu za juu huko vyuo vikuu ndio kwanza wako very busy to create sanamu za mabati halafu anaalikwa na kiongozi kwenda kushuhudia uzinduzi huo, kwahiyo sisi bado sana kujiumiza huko binamu ni kwa kujitakia, Tuko zama za mawe sisi labda tuzidi kuwekeza veta maana huko kuna angalau watu wanaojaribu kufanya vitu ila fungu dogo la bajeti yao
 
Hahaha kwa hiyo made by Chinese in tanzania hiyo

Ova
Ndio maana yake! ila kutengeneza fagio kuna kazi sio rahisi sana kama ambayo inaweza kumjia mtu kichwani!
ila cover za simu sio kazi sana!
 
Long time mitaani kulikuwa na mafundi wazuri sana wa viatu kiatu kinaundwa mwanzo mwisho
Mpaka unakivaa, nashangaa miaka ya sahv wamepotea

Ova
 
Ni ajabu hakika. Akili zimelala kabisa.

Ila kwa niijuavyo bongo na wabongo wenyewe, mtu yupo radhi kununua kitu kwa bei kubwa na poor quality cha nje kuliko kizuri kwa bei poa cha ndani. Utasikia ninunue meza ya fundi Juma mimi kwa laki2 wakati shoppers zipo za Uturuki ilhali ya Uturuki ni laki5 and no any better than Juma's.
Discount centre sasa hivi furniture zao wanatengeneza hapa hapa na zinaridhisha. Kuna fundi juma wako vizuri balaa. Nina fundi wangu ni balaa kazi yangu natoa picha Google nampa anatoa kitu kikali kuliko cha kwenye picha kwa material unayotaka wewe.
 
Long time mitaani kulikuwa na mafundi wazuri sana wa viatu kiatu kinaundwa mwanzo mwisho
Mpaka unakivaa, nashangaa miaka ya sahv wamepotea

Ova
katiba yetu inahusika 100% viongozi wa kisiasa wana weza kufunga kiwanda chochote bila sababu za msingi!
au kuihujumu kama hatatoa 10% au mchango wa chama!
 
Long time mitaani kulikuwa na mafundi wazuri sana wa viatu kiatu kinaundwa mwanzo mwisho
Mpaka unakivaa, nashangaa miaka ya sahv wamepotea

Ova
Kuna jamaa wachagga nimeona viatu vyao jamaa yangu kavaa sikuamini kama ni made in Tz. Nimeamua naenda kununua soon. Bei kuanzia 45,000
 
Wananchi tukiamua kutumia vya kwetu bidhaa za nje zitapungua
Tatizo kwenye kutengeneza hizo bidhaa ujuzi na ubunifu hatuna
Ila wenzetu vya kwao ni vizuri aisee 😀😀😀
Uwekewe coogi hapa na batiki pale utachukua ipi unafikiri
 
Discount centre sasa hivi furniture zao wanatengeneza hapa hapa na zinaridhisha. Kuna fundi juma wako vizuri balaa. Nina fundi wangu ni balaa kazi yangu natoa picha Google maps anatoa kitu kikali kuliko cha kwenye picha kwa material unayotaka wewe.
Utani pm # yke mzee mwenzangu

Mm nakubaliana na wewe ufundi wa wa furniture's kote duniani ukiona wanavyotengeneza unaweza usitoe hela

Sema fundi wanazidiana kuna wengine wanajua kuweka uimara na muonekano unakuwa mzuri

Ova
 
Discount centre sasa hivi furniture zao wanatengeneza hapa hapa na zinaridhisha. Kuna fundi juma wako vizuri balaa. Nina fundi wangu ni balaa kazi yangu natoa picha Google maps anatoa kitu kikali kuliko cha kwenye picha kwa material unayotaka wewe.
kazi za mbao ni rahisi sana Tatizo ni machine mafundi wetu hawana! na uzuri wa mchine za mbao unakuta machine moja ina operesheni 4, 6 serekali inge ondoa ushuru kwa 100% kwenye machine ndogo ndogo na zakati! au ingesaidia kutengeneza karakana za kisasa kwa vijana wa vyuo vya ufundi!
zinge inua ubunifu!
 
Naipongeza serekali kuzuia kuingiza nchini vifaranga vya kuku
 
Back
Top Bottom