Orodha ya kampuni za kubeti Tanzania

Mkuu kampun ipi nzur ya kubet?
Sportybet wapo vizuri sana masoko mengi wapo wide hawana mbambamba km wale wazee wa kupiga watu kuanzia shilingi 10 unatandika mkeka kwa hio ni affordable kuweka hela makato sio juu km kuuule kwa kina fulani wazee wa kubinya pumbu betpanga ubaya wa betpanga wanabinya masoko wanakuwekea masoko ambayo wanajua kabisa hapa huchomoki

Ubaya wa Sportybet ni mmoja tu inakula bando kinoma kwa hio jiandalie bando la kueleweka
 
Sawa mkuu shukran, vip kuhusu betika nao
 
Mkuu, hivi hayo makampuni ya kimataifa kama 888starz, 1xbet, melbet, helabet, paripesa, betwinner, bet365 n.k ambayo pia unakuta hayana usajili wowote wa kisheria hapa bongo.

Haiwezi kutokea Siku yakapotea kinyemela nyemela Bila hata taarifa na yakapotea na hela zetu. Yakawa hayatumiki tena wala kuonekana?
 
Hao Wana leseni za kimataifa kutoka CURACAO MKUU
 
Naona wa bongo wanaokwenda kwa mrusi ixbet na kununua hiyo duplicate ya app yake na kubadilisha majina na graphics lakini Kila litu ni ixbet
 
Anytime wanasepa na kibunda. Jiulize 22bet inaingilika ukiwa bongo?
Walisepa na chenji zetu hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…