Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta hajui hata GG ni nini😂😂Na hizo kampuni zote mtoa mada una account??
Kampuni Nadhani ilitoka tangu 2021 lakini 2023 nilitoa pesa iliyokuwa kwenye account. Nivigumu kampuni Kuondoka gafla Sheria ya leseni inawabana that's y utakuta bado licha ya hao 222bet Kuondoka lakini bado leseni Yao nihaiNasubilia jibu lake
Duhh we mkuu nadhani hakuna company ambayo hauna account hukoKampuni Nadhani ilitoka tangu 2021 lakini 2023 nilitoa pesa iliyokuwa kwenye account. Nivigumu kampuni Kuondoka gafla Sheria ya leseni inawabana that's y utakuta bado licha ya hao 222bet Kuondoka lakini bado leseni Yao nihai
😂NikweliDuhh we mkuu nadhani hakuna company ambayo hauna account huko
1.HelabetWabongo gani walionunua hiyo 1xbet mkuu fafanua
Katika kampuni ulizozitaja hapo hakuna kampuni ya mtanzania. Pia hiyo theme ya 1xbet haikutengenezwa na 1xbet Bali Kuna kampuni maalumu zinazouza hizo vitu na kuwa kampuni yoyote unaweza kwenda na kununua kwao lakini unaweza kuwaambia wakupe rangi Tofauti Nadhani nimekujibu1.Helabet
2. 22bet
3. Paripesa
4.888staz
Hizi zote ni application ya 1xbet. Hakuna tofauti hata ya nukta
Soma hata majina, hela na Pesa ni majina ya kizungu? Wahusika wapo hapa hapa bongo wanajifanya wa kimataifaKatika kampuni ulizozitaja hapo hakuna kampuni ya mtanzania. Pia hiyo theme ya 1xbet haikutengenezwa na 1xbet Bali Kuna kampuni maalumu zinazouza hizo vitu na kuwa kampuni yoyote unaweza kwenda na kununua kwao lakini unaweza kuwaambia wakupe rangi Tofauti Nadhani nimekujibu
Soma hata majina, hela na Pesa ni majina ya kizungu? Wahusika wapo hapa hapa bongo wanajifanya wa kimataifa
Dah we jamaa Mgumu Sana kuelewa. 1. Hakuna mbongo anaweza miliki kampuni ya bettingSoma hata majina, hela na Pesa ni majina ya kizungu? Wahusika wapo hapa hapa bongo wanajifanya wa kimataifa
Zote anazo. Najibu kwa niaba lakiniNa hizo kampuni zote mtoa mada una account??
Mond mbona anamiliki wasafibet ni mbongo piaDah we jamaa Mgumu Sana kuelewa. 1. Hakuna mbongo anaweza miliki kampuni ya betting
2. Hayo Majina pia sio ya kiswahili pekee Hela , nikihindi , pesa nikijerumani pia Kama sijakosea
Wawekezaji mkuu, Inamilikiwa na oddibet Kenya ambao niwazunguMond mbona anamiliki wasafibet ni mbongo pia