Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
- #101
Ah Sasa huyo HR aliajiri wafanyakazi wapumbavu wakamharibia uwekezaji wake hapo alianza Vibaya. Ndio maana unashauriwa kabla ya kuanzisha kampuni uwe makini Sana na wafanyakazi unaoajiri Nadhani walifungiwa leseni baada ya hapoBangbet
Na Gobet sijaziona.
Kuna wale walitutukana nchi nzima wakasema kama hatutumii kampuni yao ni wapumbavu.