Orodha ya Mafundisho ya Wakatoliki ambayo awali Wasabato waliona hayafai, sasa wameyakubali kwa nguvu kubwa!

Orodha ya Mafundisho ya Wakatoliki ambayo awali Wasabato waliona hayafai, sasa wameyakubali kwa nguvu kubwa!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Uzi maalumu wenye orodha ya mafundisho ambayo Wasabato hapo awali hawakuyakubali ila sasa wameyapokea kwa moyo mmoja

Wakatoliki wanamwabudu Mungu Mmoja na wa Pekee, aliyeko katika nafsi tatu za kimungu zilizo sawa, za milele, na za upatano: Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti

Fundisho hili Wasabato wamelikubali miaka ya 80


Karibuni tupate ilimu

Tumsifu Yesu Kristo
 
Wewe hayo mafundisho yamekusaidia nini na wasabato ambao hawakuyapokea yamewapunguzia nini?

Dini zinapumbaza sana watu.
Hayajampunguzia chochote wala kumuongezea chochote anaelezea tuu kuonyesha kuwa dini zote zinaamini sehemu moja.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Uzi maalumu wenye orodha ya mafundisho ambayo Wasabato hapo awali hawakuyakubali ila sasa wameyapokea kwa moyo mmoja

Wakatoliki wanamwabudu Mungu Mmoja na wa Pekee, aliyeko katika nafsi tatu za kimungu zilizo sawa, za milele, na za upatano: Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti

Fundisho hili Wasabato wamelikubali miaka ya 80


Karibuni tupate ilimu

Tumsifu Yesu Kristo
Hiyo inaonyesha wasabato wapo flexible, wakielewa kitu wana change

wakatolik wamekubali nini siku za karibuni
 
Wadau hamjamboni nyote?

Uzi maalumu wenye orodha ya mafundisho ambayo Wasabato hapo awali hawakuyakubali ila sasa wameyapokea kwa moyo mmoja

Wakatoliki wanamwabudu Mungu Mmoja na wa Pekee, aliyeko katika nafsi tatu za kimungu zilizo sawa, za milele, na za upatano: Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti

Fundisho hili Wasabato wamelikubali miaka ya 80


Karibuni tupate ilimu

Tumsifu Yesu Kristo
Wakatoliki wanamwamini yesuw wa Israeli, japokuwa waisraeli hawamuamini yesu na wanamuita "muhuni muigizaji'(impostor), ...na ndo maana sheria ilimuhukumu .sasa nyie wakristo wa ifakara na vatikani italy na waisraeli wazawa wa Israeli Nani anaujua ukweli??😂
 
Wakatoliki wanamwabudu Mungu Mmoja na wa Pekee, aliyeko katika nafsi tatu za kimungu zilizo sawa, za milele, na za upatano: Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti
Let ushahidi wa huo usawa katika bible
 
Back
Top Bottom