Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Uzi maalumu wenye orodha ya mafundisho ambayo Wasabato hapo awali hawakuyakubali ila sasa wameyapokea kwa moyo mmoja
Wakatoliki wanamwabudu Mungu Mmoja na wa Pekee, aliyeko katika nafsi tatu za kimungu zilizo sawa, za milele, na za upatano: Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti
Fundisho hili Wasabato wamelikubali miaka ya 80
Karibuni tupate ilimu
Tumsifu Yesu Kristo
Uzi maalumu wenye orodha ya mafundisho ambayo Wasabato hapo awali hawakuyakubali ila sasa wameyapokea kwa moyo mmoja
Wakatoliki wanamwabudu Mungu Mmoja na wa Pekee, aliyeko katika nafsi tatu za kimungu zilizo sawa, za milele, na za upatano: Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti
Fundisho hili Wasabato wamelikubali miaka ya 80
Karibuni tupate ilimu
Tumsifu Yesu Kristo