Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

Hilo ni somo refu. Kiufupi tu RA ni kifupisho cha Rheumatoid Arthritis au kwa Kiswahili unaitwa Baridi Yabisi.


Ugonjwa huu hutokana na kinga ya mwili kuanza kushambulia joints( viungio) za mwili. Hii hutokana na mabadiliko mbalimbali ndani ya mwili na wengine huwa ni ugonjwa wa kurithi unaotembea ndani ya familia.

Hii hupelekea kuvimba, kuuma na kushindwa kufanya kazi kwa viungio( joints) mbalimbali vya miguu na mikono
Kuna dogo kapona huo ugonjwa tena pale Kariuki Hospital na Yeye aliupata Comoro maana alipoenda kule Kuna chanjo hakuchanja, ugonjwa ukaanza kumsumbua na alihangaika sana mpaka dogo alikuwa anatamani kujiua lakini alipoenda Kariuki Hospital katibiwa na yuko fresh kapona kabisa na afya yake imerejea tena
 
Kuna dogo kapona huo ugonjwa tena pale Kariuki Hospital na Yeye aliupata Comoro maana alipoenda kule Kuna chanjo hakuchanja, ugonjwa ukaanza kumsumbua na alihangaika sana mpaka dogo alikuwa anatamani kujiua lakini alipoenda Kariuki Hospital katibiwa na yuko fresh kapona kabisa na afya yake imerejea tena
Mhhh
 
Magonjwa mengi sana huwa yanatibika sema tu tatizo ni mfumo wetu wa kuwatambua na kuwapa support wataalam wetu hawa Waasili. Kuna Jamaa anatibu ukimwi kabisa na anaponyesha yupo Lushoto na ndugu zake wapo Kurutuni-Ukonga Dar es salaam na nimeshawahi kuonana na hao ndugu zake pale Kurutini. Tatizo ni kwamba Jamaa anaogopa hata kujitangaza kwa sababu anasema ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa akijitangaza hadharani watamuua. Huwa anasaidia kimya kimya.
 
Nimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.

Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.

Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
Dawa gani mkuu? Itaje kwa manufaa ya wengi humu ndani
 
Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:

1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari

Ongezeeni mengine hapo
Lakini kwa Mungu yote yanawezekana, hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu, hakuna ugonjwa Mungu haponyi, haupo, hakuna kinachomshinda Mungu. Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Pia Zaburi imeandikwa, Eeh nafsi yangu umhimidi Bwana, Naam wala usisahau fadhili zake, akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote.

Wale walio na matumaini katika Bwana, amewatokea, wale wasio na matumaini katika Bwana hatawatokea na kuwaponya. Tumaini langu mimi binafsi ni kwa Bwana kwa maana ana uweza wa milele.
 
Lakini kwa Mungu yote yanawezekana, hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu, hakuna ugonjwa Mungu haponyi, haupo, hakuna kinachomshinda Mungu. Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Pia Zaburi imeandikwa, Eeh nafsi yangu umhimidi Bwana, Naam wala usisahau fadhili zake, akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote.

Wale walio na matumaini katika Bwana, amewatokea, wale wasio na matumaini katika Bwana hatawatokea na kuwaponya. Tumaini langu mimi binafsi ni kwa Bwana kwa maana ana uweza wa milele.
Kwahiyo wanaokufa kwa cancer wote Huwa hawamtumaini bwana si ndio manake?
 
Magonjwa mengi sana huwa yanatibika sema tu tatizo ni mfumo wetu wa kuwatambua na kuwapa support wataalam wetu hawa Waasili. Kuna Jamaa anatibu ukimwi kabisa na anaponyesha yupo Lushoto na ndugu zake wapo Kurutuni-Ukonga Dar es salaam na nimeshawahi kuonana na hao ndugu zake pale Kurutini. Tatizo ni kwamba Jamaa anaogopa hata kujitangaza kwa sababu anasema ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa akijitangaza hadharani watamuua. Huwa anasaidia kimya kimya.
Acha uongo na upotoshaji mkuu. Watu wangapi amewatibu walikuwa confirmed positive na sasa ni confirmed negative in three consecutive tests?
 
Acha uongo na upotoshaji mkuu. Watu wangapi amewatibu walikuwa confirmed positive na sasa ni confirmed negative in three consecutive tests?
Wapo kibao tu hataki kujitangaza maana ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa, Wewe kama una mgonjwa sema tumtafute tuone kama mgonjwa wako hajapona
 
Back
Top Bottom