proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
hivi vidonda huko nje vitabika?Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi vidonda huko nje vitabika?Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
putin anatarajia kutoaSaratani haijawahi kuwa na tiba popote pale duniani, ukiupata huu ugonjwa kinachobakia ni kusogeza siku tu
kwa nn?Mzizimkavu asiione hii
Saratani ya Nini hiyo ?Saratani haijawahi kuwa na tiba popote pale duniani, ukiupata huu ugonjwa kinachobakia ni kusogeza siku tu
Kuna dogo kapona huo ugonjwa tena pale Kariuki Hospital na Yeye aliupata Comoro maana alipoenda kule Kuna chanjo hakuchanja, ugonjwa ukaanza kumsumbua na alihangaika sana mpaka dogo alikuwa anatamani kujiua lakini alipoenda Kariuki Hospital katibiwa na yuko fresh kapona kabisa na afya yake imerejea tenaHilo ni somo refu. Kiufupi tu RA ni kifupisho cha Rheumatoid Arthritis au kwa Kiswahili unaitwa Baridi Yabisi.
Ugonjwa huu hutokana na kinga ya mwili kuanza kushambulia joints( viungio) za mwili. Hii hutokana na mabadiliko mbalimbali ndani ya mwili na wengine huwa ni ugonjwa wa kurithi unaotembea ndani ya familia.
Hii hupelekea kuvimba, kuuma na kushindwa kufanya kazi kwa viungio( joints) mbalimbali vya miguu na mikono
Zipo mkuuKwa Tz tunazipataje hizo..?
Cancer nyingi sasa zinatibika (nchi zilizoendelea) kama haijavuka stage 3Saratani haijawahi kuwa na tiba popote pale duniani, ukiupata huu ugonjwa kinachobakia ni kusogeza siku tu
MhhhKuna dogo kapona huo ugonjwa tena pale Kariuki Hospital na Yeye aliupata Comoro maana alipoenda kule Kuna chanjo hakuchanja, ugonjwa ukaanza kumsumbua na alihangaika sana mpaka dogo alikuwa anatamani kujiua lakini alipoenda Kariuki Hospital katibiwa na yuko fresh kapona kabisa na afya yake imerejea tena
Unaguna Nini Mkuu hapa sio chitchat na hakuna masikhara kama una mgonjwa ni DM ili nikupe namba za huyo dogo na dogo daily nipo naeMhhh
Hapo hakuna kitu kisichotibika mbona..
Dawa gani mkuu? Itaje kwa manufaa ya wengi humu ndaniNimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.
Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.
Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
Lakini kwa Mungu yote yanawezekana, hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu, hakuna ugonjwa Mungu haponyi, haupo, hakuna kinachomshinda Mungu. Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Pia Zaburi imeandikwa, Eeh nafsi yangu umhimidi Bwana, Naam wala usisahau fadhili zake, akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote.Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Kwahiyo wanaokufa kwa cancer wote Huwa hawamtumaini bwana si ndio manake?Lakini kwa Mungu yote yanawezekana, hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu, hakuna ugonjwa Mungu haponyi, haupo, hakuna kinachomshinda Mungu. Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Pia Zaburi imeandikwa, Eeh nafsi yangu umhimidi Bwana, Naam wala usisahau fadhili zake, akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote.
Wale walio na matumaini katika Bwana, amewatokea, wale wasio na matumaini katika Bwana hatawatokea na kuwaponya. Tumaini langu mimi binafsi ni kwa Bwana kwa maana ana uweza wa milele.
Acha uongo na upotoshaji mkuu. Watu wangapi amewatibu walikuwa confirmed positive na sasa ni confirmed negative in three consecutive tests?Magonjwa mengi sana huwa yanatibika sema tu tatizo ni mfumo wetu wa kuwatambua na kuwapa support wataalam wetu hawa Waasili. Kuna Jamaa anatibu ukimwi kabisa na anaponyesha yupo Lushoto na ndugu zake wapo Kurutuni-Ukonga Dar es salaam na nimeshawahi kuonana na hao ndugu zake pale Kurutini. Tatizo ni kwamba Jamaa anaogopa hata kujitangaza kwa sababu anasema ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa akijitangaza hadharani watamuua. Huwa anasaidia kimya kimya.
Wapo kibao tu hataki kujitangaza maana ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa, Wewe kama una mgonjwa sema tumtafute tuone kama mgonjwa wako hajaponaAcha uongo na upotoshaji mkuu. Watu wangapi amewatibu walikuwa confirmed positive na sasa ni confirmed negative in three consecutive tests?