OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Miss jitahidi kuwa unaandika vizuri basi, uo ndio niniUo RA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss jitahidi kuwa unaandika vizuri basi, uo ndio niniUo RA
Tatizo ni Kiswahili kina upungufu mkubwa wa msamiatiKuna Shida kubwa nimeiona Humu watu hawajui Kutofautisha Syndrome,Disorder,Disease na Illness..
Ni tatizo sana
Hii SUN, unamaanisha SUN PHARMA ya india ?Mkuu unalijua gemu vyema 😊😊 pia MEPHA PRODUCT za Switzerland nazo Zina Bei juu
Pia Hata SUN products nazo sio hapaa Bei ipo juu
India product ndio Bei Chee Kama usemavyo..
Kweli kabisa chiefTatizo ni Kiswahili kina upungufu mkubwa wa msamiati
Nafikiri alimaanisha hiyo SUN ya India. At least hao SUN na Cipla kwa kampuni za India wana afadhali. Ila kampuni nyingi za India zinatuletea dawa za hovyo huku kwetu. Msinikariri vibaya nimesema ni afadhali ukilinganisha na kanji bhai wengineHii SUN, unamaanisha SUN PHARMA ya india ?
Leta dawa yako tuifanyie utafiti isaidie wengine na wewe ugunduzi wako utambulike sio uwe mtu wa blah blahVidonda vya tumbo vinatibika dawa naijua Mimi dozi Moja kwisha hayo mengine sawa hayana tiba
Nimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.Nafikiri alimaanisha hiyo SUN ya India. At least hao SUN na Cipla kwa kampuni za India wana afadhali. Ila kampuni nyingi za India zinatuletea dawa za hovyo huku kwetu. Msinikariri vibaya nimesema ni afadhali ukilinganisha na kanji bhai wengine
🤣 tayariKuna Shida kubwa nimeiona Humu watu hawajui Kutofautisha Syndrome,Disorder,Disease na Illness..
Ni tatizo sana
ZoteSaratani ipi hiyo mkuu?
Hao Wahindi kwenye dawa hawana tofauti na Wachina kwenye bidhaa nyinginezo. Wanakupa according to your pocket. Ubora wa bidhaa wanazoexport USA ni tofauti na wanazoleta huku nchi za dunia ya waamini uchawi. After all huku kwetu mgonjwa asipopona hawezi kuwaza labda tatizo ni ubora wa dawa bali atawaza amelogwa au akimbilie kwa mtumishiNimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.
Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.
Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
Tafuta waliotibiwa kwa mionzi kama wanamwendo mrefuSaratani haitibiwi kwa mionzi mkuu?
Hiyo ya kuzuia kifo ni yako wewe, najua kutibu mi kuondoa shida ya kimwili au kiakili, kama shida haiondoki maana yake haitibikiSaratani inatibiwa; inategemea imeshambulia sehemu gani ya mwili na imegnduliwa ikiwa katika ngazi gani. Nadhani saratani ngumu kutibiwa ni ile ya Ubongo, Mapafu na ya kongosho (pancreatic -kama sikukosea). Nyingine zote zinatibika zikingundulika mapema katika stage 1 au stage 2.
Halafu pia elewa neno kutibu maana yake ni kurefusha maisha, siyo kuzuia kifo. Hakuna kiumbe kitakachoishi bila kuonja mauti.
Umesoma vizuri post hiyo uliyokwoti na ukaamini kuwa kweli umeijibu au umekurupukia tu?Hiyo ya kuzuia kifo ni yako wewe, najua kutibu mi kuondoa shida ya kimwili au kiakili, kama shida haiondoki maana yake haitibiki
Matokeo ya kuwa na ugonjwa fulani.Syndrome ndio Ugonjwa?
Kwa Tz tunazipataje hizo..?Dawa za GSK PRODUCT (UK) Zina Bei juu pia ufanisi wake Ni mkubwa sanaaa...
Sasa hayo mabadiliko ya mwili si ndio ugonjwa wenyewe.Kisukari siyo ugonjwa. Ni mabadiliko ya kimwili ambayo hutokana na lifestyle.
Tatizo as a country tunapenda sana vitu vya bei rahisi na bure. Mungu atuongezee ridhki tuachane na vitu vya bei rahisi kwa kweli.Nimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.
Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.
Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
Daaah jamaaa sijui umewaza nini 😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌Mzizimkavu asiione hii