Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

Nimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.

Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.

Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
Dawa gani iyo?
 
Vidonda vya tumbo havitibiki kwa kunywa dawa, dawa inatuliza tu maumivu kwa mda flani then vinatibuka tena.

Vidonda vya tumbo vinatibika kwa kubadili tu life style ya maisha yako.

Mfano : kula chakula kwa wakati, kuepuka vitu vye asili ya asidi kama pili pili, tangawizi,ndimu n.k.

Kuepuka hasira zilizopitiluza, msongo wa mawazo/stress inabidi uviepuke sana.

Hapo utapona vidonda vya tumbo permanently
Na vikipona ntaweza tena kurudia kuwa na hasira, pilipili, pombe nk?
 
Mimi nasumbuliwa sana na tonsils(MAFINDOFINDO) msaada wa dawa nzuri naona humu Kuna watu mnajua sana dawa
 
Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:

1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari

Ongezeeni mengine hapo
Muwe makini vijana kwenye uandishi. Heading inasema "HAYATIBIKI hapa Tanzania" content inasema "NI NGUMU SANA kutibika" rekebisha kimoja.
 
Lakini kwa Mungu yote yanawezekana, hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu, hakuna ugonjwa Mungu haponyi, haupo, hakuna kinachomshinda Mungu. Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Pia Zaburi imeandikwa, Eeh nafsi yangu umhimidi Bwana, Naam wala usisahau fadhili zake, akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote.

Wale walio na matumaini katika Bwana, amewatokea, wale wasio na matumaini katika Bwana hatawatokea na kuwaponya. Tumaini langu mimi binafsi ni kwa Bwana kwa maana ana uweza wa milele.
Acha kumuingiza Mungu kwenye shida za hapa duniani, Adam alishaharibu na ndio maana Kuna mashida kibao.
 
Daktari mwenyewe tangu ahitimu na kupewa ofisi hajawahi kushughulisha na kusoma magonjwa wanatibu kwa uzoefu. Ukipata Dr anayejisomea na kuchimbua vizuri atajaliwa na wateja mpaka akome hata kama yupo gvt jamii nzima itamjua.

Tatizo la kutoendeleza udadis kwa Tanzania ninkubwa sana kwa kada zote.

Nichagueni niwe Rais lazima Niwekeze sana kwenye research na technology.
 
Nimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.

Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.

Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
TMDA wamelala usingizi, hii nchi ina dawa feki sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Saratani inatibiwa; inategemea imeshambulia sehemu gani ya mwili na imegnduliwa ikiwa katika ngazi gani. Nadhani saratani ngumu kutibiwa ni ile ya Ubongo, Mapafu na ya kongosho (pancreatic -kama sikukosea). Nyingine zote zinatibika zikingundulika mapema katika stage 1 au stage 2.

Halafu pia elewa neno kutibu maana yake ni kurefusha maisha, siyo kuzuia kifo. Hakuna kiumbe kitakachoishi bila kuonja mauti.
Hivi mtu alipata saratani akatibiwa na kupona anaeza kunywa pombe ?
 
Wapo kibao tu hataki kujitangaza maana ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa, Wewe kama una mgonjwa sema tumtafute tuone kama mgonjwa wako hajapona

Ushuhuda unatakiwa utoke kwa mtu aliyepona na si wewe ambaye unasema watu kibao wamepona ,ilitakiwa useme mimi nimepona.
 
Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:

1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari

Ongezeeni mengine hapo
4. HIV
5. Ugonjwa wa kutupiwa (uchawi)
6. Kuamini dini za watu wa nje (Uislam na Ukristu) - huu ni ugonjwa wa akili na wa kujitakia
 
Magonjwa mengi sana huwa yanatibika sema tu tatizo ni mfumo wetu wa kuwatambua na kuwapa support wataalam wetu hawa Waasili. Kuna Jamaa anatibu ukimwi kabisa na anaponyesha yupo Lushoto na ndugu zake wapo Kurutuni-Ukonga Dar es salaam na nimeshawahi kuonana na hao ndugu zake pale Kurutini. Tatizo ni kwamba Jamaa anaogopa hata kujitangaza kwa sababu anasema ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa akijitangaza hadharani watamuua. Huwa anasaidia kimya kimya.
😂
 
Back
Top Bottom