KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Na VVUKuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na VVUKuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Uliponaje mkuu au ulitumia dawa gani?Nilikuwa na vidonda tumbo na nimepona.
#YNWA
Dawa gani iyo?Nimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.
Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.
Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
Na vikipona ntaweza tena kurudia kuwa na hasira, pilipili, pombe nk?Vidonda vya tumbo havitibiki kwa kunywa dawa, dawa inatuliza tu maumivu kwa mda flani then vinatibuka tena.
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa kubadili tu life style ya maisha yako.
Mfano : kula chakula kwa wakati, kuepuka vitu vye asili ya asidi kama pili pili, tangawizi,ndimu n.k.
Kuepuka hasira zilizopitiluza, msongo wa mawazo/stress inabidi uviepuke sana.
Hapo utapona vidonda vya tumbo permanently
Muwe makini vijana kwenye uandishi. Heading inasema "HAYATIBIKI hapa Tanzania" content inasema "NI NGUMU SANA kutibika" rekebisha kimoja.Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
LDNIL 20.Dawa gani mkuu? Itaje kwa manufaa ya wengi humu ndani
Acha kumuingiza Mungu kwenye shida za hapa duniani, Adam alishaharibu na ndio maana Kuna mashida kibao.Lakini kwa Mungu yote yanawezekana, hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu, hakuna ugonjwa Mungu haponyi, haupo, hakuna kinachomshinda Mungu. Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Pia Zaburi imeandikwa, Eeh nafsi yangu umhimidi Bwana, Naam wala usisahau fadhili zake, akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote.
Wale walio na matumaini katika Bwana, amewatokea, wale wasio na matumaini katika Bwana hatawatokea na kuwaponya. Tumaini langu mimi binafsi ni kwa Bwana kwa maana ana uweza wa milele.
Mbona hiyo ni brand ya Rosuvastin ( dawa ya Cholesterol na sio ulcers)LDNIL 20.
Nilitaka ku-order iyo brandi ila nikaambiwa iko discontinued lakini huku kwetu naiona bado madukani.
Yeah Nilichanganya tu, ni dawa ya kushusha cholesterol. Rosuvastatin calcium tablet 20mg.Mbona hiyo ni brand ya Rosuvastin ( dawa ya Cholesterol na sio ulcers)
Ukirudia na vyenyewe vibarudi pia.Na vikipona ntaweza tena kurudia kuwa na hasira, pilipili, pombe nk?
Ipi hiyo?Uko sahihi kabisa, pia kua na njia nzuri ya kukabiliana na msongo wa mawazo.
Unapona kabisa
Ulitumia nini?Nilikuwa na vidonda tumbo na nimepona.
#YNWA
TMDA wamelala usingizi, hii nchi ina dawa feki sana.Nimefanya field hapo SUN PHARMA wapo vizuri sana, na ndio top and largest pharmeceutical industry india huko.
Dawa zao huku bongo naona zinakwenda sana, ila ajabu sana naona dawa zao wanazoleta huku, na wanazopeleka ulaya na marekani muonekano wa packaging boxes zake na contents ni tofauti kabisa, nafikiri kuna kitu ila basi tuu.
Juzi nimeona kuna dawa ya ulcers ya kampuni ya moja ya india, huku kwetu ipo madukani ila huko india ipo discontinued.
Hivi mtu alipata saratani akatibiwa na kupona anaeza kunywa pombe ?Saratani inatibiwa; inategemea imeshambulia sehemu gani ya mwili na imegnduliwa ikiwa katika ngazi gani. Nadhani saratani ngumu kutibiwa ni ile ya Ubongo, Mapafu na ya kongosho (pancreatic -kama sikukosea). Nyingine zote zinatibika zikingundulika mapema katika stage 1 au stage 2.
Halafu pia elewa neno kutibu maana yake ni kurefusha maisha, siyo kuzuia kifo. Hakuna kiumbe kitakachoishi bila kuonja mauti.
Wapo kibao tu hataki kujitangaza maana ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa, Wewe kama una mgonjwa sema tumtafute tuone kama mgonjwa wako hajapona
4. HIVKuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
😂Magonjwa mengi sana huwa yanatibika sema tu tatizo ni mfumo wetu wa kuwatambua na kuwapa support wataalam wetu hawa Waasili. Kuna Jamaa anatibu ukimwi kabisa na anaponyesha yupo Lushoto na ndugu zake wapo Kurutuni-Ukonga Dar es salaam na nimeshawahi kuonana na hao ndugu zake pale Kurutini. Tatizo ni kwamba Jamaa anaogopa hata kujitangaza kwa sababu anasema ukimwi ni mradi wa watu Wakubwa akijitangaza hadharani watamuua. Huwa anasaidia kimya kimya.