Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Hivi wewe nawe mpuuzi tu! Hata hiyo Dar unavyoiona Posta takribani majengo yote ni ya mashirika ya uma na makampuni mbalimbali! Hata Arusha majengo mengi pale mjini ni mashirika na NHC! Kwa nini wasije kwenu yuko kwenye matope mbeya kuwekeza? Mbeya bado ni jiji kilaza nchi nzima na kujilinganisha na mwanza ni kupoteza mda! Kwanza hata Iringa inamuonekano mzuri kuliko Mbeya! Mbeya hata ukiwa unaingia mjini hakuna msisimko wowote wa misheni town mji umepoa mmebakia kujigamba!
Tena wewe hujuagi tu wanaume nchi hii wenye pesa wanatokea kanda ya ziwa na kaskazini zingine zitabaki ngonjera!
Kiukweli iringa ndio pazuri kusini nzima aisee
 
Hamna kitu Kam hicho ...hata ukijumlisha hyo mbalizi watu laki Tano labda muwe mmefikisha mwaka huu ..ila Kwa sensa ya watu na makazi ya 2012 mlikuwa watu laki 2 na elfu 50.
Una uhakika au unakurupuka na ubishi wa kindezi?

Mbalizi mwaka tajwa wa 2012 ilikuwa na wakaazi 135,000 ukijumlisha na 385,000 wa Mjini Unapata wakazi wangapi?
 
Kiukweli mnatia huruma..

Ndio maana huwa nasema Tanzania ina Majiji 3 tuu ambayo ni Dar ,Arusha na Dom tuu..

Huko kwingine tunachoshana tuu,mnaita Jiji hakuna hoteli hata moja ya 5 star.
Dodoma Kuna nyota 5 ipi ukiacha hata nyota 3 iliyopo,[emoji706][emoji706] unaongea,[emoji706][emoji706]
 
Kiukweli iringa ndio pazuri kusini nzima aisee
Iringa haina uzuri wowote ila inaonekana nzuri kwa sababu ina CBD ndogo na Kuna majengo marefu pale mjini kati..

Na yatajengwa zaidi kwa sababu ya utalii wa Ruaha unaenda kufunguka kama tuu Arusha.
 
Dodoma Kuna nyota 5 ipi ukiacha hata nyota 3 iliyopo,[emoji706][emoji706] unaongea,[emoji706][emoji706]
Dodoma City 5 star hotel 👇
 

Attachments

  • 20220320_203420.jpg
    20220320_203420.jpg
    231.5 KB · Views: 24
  • JENGO.jpg
    JENGO.jpg
    57.4 KB · Views: 22
Kwa hiyo tunakubaliana kwamba kumbe serikali inapendelea hiyo mikoa yenu na kutenga mikoa yetu hasa Mbeya?

Hata mtutenge tunawakimbiza hivyo hivyo.
Hakuna mkoa unaotengwa kama mwanza mzee hata serkali inajua! Mwanza inapaswa kufukuzana na Dar miaka mingi! Na ukija mwanza na ukawa hakuna jicho la wivu kutembea utaamini! Investment za watu mitaani nyumba kali na innovation ni nyingi sana! Mi niko Dar kitambo ila mwanza respect sana! Tuache wivu usio na tija mji unaendelezwa na wenyeji na wageni kwa kushirikiana!
Saizi ukiangalia JPM bridge ikishaisha mji utachangamka zaidi kutokea busisi kwenda sengerema na serkali imeshapima viwanja maeneo yote mpaka sengerema! Means mtu ataishi sengerema na kufanya kazi upande wa pili!
Pia kuna mgodi mkubwa wa dhahabu Nyanzaga maeneo ya wilaya ya sengerema itaukuza sana mji wa mwanza!
Kwa ujumla future ya mwanza ni kubwa kwa kuwa jamii ya wasukuma pia ni hard working nasema hivo kwasababu saizi vijiji takribani vyote vinageuka kuwa mji midogo na watu wanajenga nyumba za kisasa kila kukicha!
Mfano Mhungumalwa,kasamwa nk!
Ukitaka kujua pia mwanza ni second super power baada ya Dar nenda kaulizie wataje wa mashirika ya ndege kwa local route watakwambia watu ni wengi sana ukanda huo wanasafiri!
Ukija hapo bandarini magari yakifika bandari ya Dar ukitoa magari yanayoenda transit,Kwa yale yanayobaki nchi mengi yanabaki Dar na mkoa unaofuta kwa magari kubaki nchini ni mwanza!
Mwanza pia imeshatoka kwenye level ya mkoa wetu watu wa sehemu fulani kama huko Mbeya ,Mfano wawekezaji na watu wenye biashara mwanza wanatokea mikoa yote nchini pale utamkuta Msukuma,mkurya mhaya ,mchaga nk!
Kwa ujumla mwanza ni potential sana na kwa sasa ndo mji wa pili kwa watu kuhamia kutoka maeneo mengine baada ya Dar!
 
Dodoma City 5 star hotel [emoji116]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unawatia aibu watu wa Dodoma ...hv unaijua hotel ya nyota Tano wew au unaongea chupli chupli tu...hiyo hapo umepost hotel ya halmashauri ya jiji nayo ndio nyota 3 ya kwanza Toka dodoma iumbwa ..jengo Hilo la chini la psssf kambarage tower halina hotel Wala nni [emoji1787][emoji1787]
 
Hizo sio figures?
Figure au maneno matupu ....mbeya jiji lilikuwa na watu laki 3 ..mbeya vijijini watu laki 2 .ambayo Hadi mbalizi imekuwemo ......ukisema hvyo bas mwanza iunganishwe na magu, na misungwi .maana miji ya kisesa na Usagara imeungana na mwanza
 
Kiukweli mnatia huruma..

Ndio maana huwa nasema Tanzania ina Majiji 3 tuu ambayo ni Dar ,Arusha na Dom tuu..

Huko kwingine tunachoshana tuu,mnaita Jiji hakuna hoteli hata moja ya 5 star.
Ili hiwe 5 stars nilazim ijengwe na serikali? Nitumie picha za hotel za nyota tano za iyo miji ulioitaja nami nikutumie hotel za nyota moja ya jiji la Mwanza tulinganishe ubora.
 
Ili hiwe 5 stars nilazim ijengwe na serikali? Nitumie picha za hotel za nyota tano za iyo miji ulioitaja nami nikutumie hotel za nyota moja ya jiji la Mwanza tulinganishe ubora.
Hapana,hata private sector huko Mwanza haipo.
 
Hakuna mkoa unaotengwa kama mwanza mzee hata serkali inajua! Mwanza inapaswa kufukuzana na Dar miaka mingi! Na ukija mwanza na ukawa hakuna jicho la wivu kutembea utaamini! Investment za watu mitaani nyumba kali na innovation ni nyingi sana! Mi niko Dar kitambo ila mwanza respect sana! Tuache wivu usio na tija mji unaendelezwa na wenyeji na wageni kwa kushirikiana!
Saizi ukiangalia JPM bridge ikishaisha mji utachangamka zaidi kutokea busisi kwenda sengerema na serkali imeshapima viwanja maeneo yote mpaka sengerema! Means mtu ataishi sengerema na kufanya kazi upande wa pili!
Pia kuna mgodi mkubwa wa dhahabu Nyanzaga maeneo ya wilaya ya sengerema itaukuza sana mji wa mwanza!
Kwa ujumla future ya mwanza ni kubwa kwa kuwa jamii ya wasukuma pia ni hard working nasema hivo kwasababu saizi vijiji takribani vyote vinageuka kuwa mji midogo na watu wanajenga nyumba za kisasa kila kukicha!
Mfano Mhungumalwa,kasamwa nk!
Ukitaka kujua pia mwanza ni second super power baada ya Dar nenda kaulizie wataje wa mashirika ya ndege kwa local route watakwambia watu ni wengi sana ukanda huo wanasafiri!
Ukija hapo bandarini magari yakifika bandari ya Dar ukitoa magari yanayoenda transit,Kwa yale yanayobaki nchi mengi yanabaki Dar na mkoa unaofuta kwa magari kubaki nchini ni mwanza!
Mwanza pia imeshatoka kwenye level ya mkoa wetu watu wa sehemu fulani kama huko Mbeya ,Mfano wawekezaji na watu wenye biashara mwanza wanatokea mikoa yote nchini pale utamkuta Msukuma,mkurya mhaya ,mchaga nk!
Kwa ujumla mwanza ni potential sana na kwa sasa ndo mji wa pili kwa watu kuhamia kutoka maeneo mengine baada ya Dar!
Mwanza ipi ,hiyo hiyo ambayo iko kama gulio la Machinga? 🤣🤣🤣🤣.

Hakuna Jiji hapo bali ni uswazi tupu.
 
Malaika Beach resort
Hiyo ni hotel ya kindezi..

Hivi Malaika Beach inaweza hata lingana na hii ya Mbeya kweli? 👇👇
 

Attachments

  • 2940503_Screenshot_20210918-123445_1631958166649.jpg
    2940503_Screenshot_20210918-123445_1631958166649.jpg
    34.2 KB · Views: 25
  • Screenshot_20211222-113224.png
    Screenshot_20211222-113224.png
    116.2 KB · Views: 25
Acha ujinga fala wewe acha kukimbia mada naomba hizo hotel za nyota tano nami niweke za nyota moja za hapa Mwanza tulinganishe. Usije kulinganisha Mwanza na ujinga mwingine, nje ya Dar hakuna jiji linafikia Mwanza ata kwa kujaribu.
Mnanichafulia uzi
 
Back
Top Bottom