Ni Arusha, Dar na Dom ndio hubebwa haswa na serikali. Baada ya hiyo mikoa inafata Mwanza.
Mbeya pamoja na ubishi wake wote ndio mkoa ambao umesahaulik kbsa kbsa, kwanza serikali haijawah kuwa na mradi wowote wa kiuchum mbeya.
Unapolalama kuhus mwanza kutopewa support, kumbuk madaraja, malls, hotel za serikali, majengo mengi marefu na mazuri mwanza n ya serikali kupitia mifuko ya wafanyakz km NHIF.
Viwanja vya ndege, stand za bus, bandari na mipango miji.
Mbeya ht double road hakuna, mbeya hakun stand, hiyo SIA (songwe int'l airport) mpk ss hakun terminal, hakun mataa. Mbeya hain chcht cha serikali hkun kitu.
Jitihad za wenyeji zimepelekea jiji na mkoa ule ushindane na supported cities nchin.
TokJPM aingie madarkn kajenga jengo moja tu la hospital ya META na mpk ss kwa SAMIA hajafny lolote yan hamn kitu.
Mbeya inetengwa sn km ingepewa support km zipewavyo arusha, dom, dar na mwanza.
Probably mbeya ingekua nchi ndan ya nchi. Yan mapato yake yangekuwa sawa n taifa zima