Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Kuna kitu sijakielewa vizuri kuhusu Moshi. Yaani na kelele zote za wachaga kujisifia kwamba sijui wanaongoza kipato kitaifa, katika top 50 kuna halmashauri yao moja tu?? Tena mji wao mkuu??[emoji2][emoji2]

Namba hazidanganyi
Kilimanjaro Ni mkoa uliodorora kabisa.

Hakuna biashara au heka heka za kiuchumi, na ndio maana hata wao wenyewe wanaongoza kukimbia kwao.
 
Weka vigezo hapa kutoka Tamisemi maana unapenda sana kutunga upuuzi unaokufurahisha wewe..

Nataka maandishi ya kigezo kinachosema wakaazi wawe laki 5 plus,kigezo kinachosema eti ukubwa wa Mji uwe angalau km 15 kutoka CBD.
Zoom usome hapo
Screenshot_20220814-103226.jpg
 
Gold crest sio hotel ya serikali ,,ni wapangaji wa pssf ....hamna hotel ya nssf mwanza ...be sound in mind please
We boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?

Pili hiyo hotel ya gold crest ni jengo la serikali na pia pale junction ya samaki hilo jengo ni la serikali kiufupi mashirika yote ya umma yamejenga majengo huko Mwanza bila hayo kungekuwa hoi.
 
Soko la Mbeya halijajengwa na Serikalini bali ni mapato ya ndani ya Jiji na Nssf na ni soko la ubia..

Mbeya kuna stand kubwa ipi? Acha ujinga we jamaa,stand ya Uyole ilikuwa kwenye mradi wa strategic cities ambapo na Mwanza ilikuwemo so kila Halmashauri ilichagua mradi wanaotaka..

Hotel ziwe za serikali Ili iweje? Hata hivyo Pale gold crest na Nssf hotel hizo ni za Serikali kupitia hayo mashirika ya umma.
Nssf ni shirika la halmashauri ya mbeya? Punguza uzombi.
 
We boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?

Pili hiyo hotel ya gold crest ni jengo la serikali na pia pale junction ya samaki hilo jengo ni la serikali kiufupi mashirika yote ya umma yamejenga majengo huko Mwanza bila hayo kungekuwa hoi.
Hawa ni wapangaji ..hotel sio ya serikali elewa basi .usijifanye kichwa ngumu ..si sawa golden tulip hotel walivyokuwa wapangaji katika jengo golden jubilee tower dar
20220807_224913.jpg
 
We boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?

Pili hiyo hotel ya gold crest ni jengo la serikali na pia pale junction ya samaki hilo jengo ni la serikali kiufupi mashirika yote ya umma yamejenga majengo huko Mwanza bila hayo kungekuwa hoi.
Junction ya pamba yale ni majengo ya NCU(nyanza corporative union).
 
Nssf ni shirika la halmashauri ya mbeya? Punguza uzombi.
Hivi unaelewa kweli wewe wa kukurupuka?

Ule ni mradi wa ubia wa Mbeya Jiji ndio waliomba mkopo na wakajenga hoja kuwashawishi hao Nssf wafanye ubia ila sio matakwa ya Serikali kuu kujenga majengo huku Mbeya bali wlikuwa wanapendelea huko kwenu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220814-104034.png
    Screenshot_20220814-104034.png
    255 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220814-104044.png
    Screenshot_20220814-104044.png
    231.1 KB · Views: 18
Ncu ya baba yako ndio wanamiliki haya Majengo hapa? [emoji116]
Kumbe unaijua mwanza kupitia Google [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]..
[emoji116][emoji116][emoji116]Tuambie na haya ni majengo ya shirika Gani la serikali
20220812_234254.jpg
 
We boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?

Pili hiyo hotel ya gold crest ni jengo la serikali na pia pale junction ya samaki hilo jengo ni la serikali kiufupi mashirika yote ya umma yamejenga majengo huko Mwanza bila hayo kungekuwa hoi.
Jengo la BOT ambalo waliplan kujenga hotel nzuri lilisimama toka 2015 pia jengo la nssf pale capripoint na lenyewe ujenzi wake umesimama toka 2015, punguza chuki kiufupi mwanza hakuna hotel ya serikali adi hivi sasa labda wakamilishe hizo miradi za BOT na NSSF.
 
Jengo la BOT ambalo waliplan kujenga hotel nzuri lilisimama toka 2015 pia jengo la nssf pale capripoint na lenyewe ujenzi wake umesimama toka 2015, punguza chuki kiufupi mwanza hakuna hotel ya serikali adi hivi sasa labda wakamilishe hizo miradi za BOT na NSSF.
Kiukweli mnatia huruma..

Ndio maana huwa nasema Tanzania ina Majiji 3 tuu ambayo ni Dar ,Arusha na Dom tuu..

Huko kwingine tunachoshana tuu,mnaita Jiji hakuna hoteli hata moja ya 5 star.
 
Usiruke ruke we mpuuzi,bila Uwekezaji wa Umma hapo Mwanza hakuna kitu.
Hivi wewe nawe mpuuzi tu! Hata hiyo Dar unavyoiona Posta takribani majengo yote ni ya mashirika ya uma na makampuni mbalimbali! Hata Arusha majengo mengi pale mjini ni mashirika na NHC! Kwa nini wasije kwenu yuko kwenye matope mbeya kuwekeza? Mbeya bado ni jiji kilaza nchi nzima na kujilinganisha na mwanza ni kupoteza mda! Kwanza hata Iringa inamuonekano mzuri kuliko Mbeya! Mbeya hata ukiwa unaingia mjini hakuna msisimko wowote wa misheni town mji umepoa mmebakia kujigamba!
Tena wewe hujuagi tu wanaume nchi hii wenye pesa wanatokea kanda ya ziwa na kaskazini zingine zitabaki ngonjera!
 
Hakuna kigezo ambacho hatujafikia kwa sababu Jiji la Mbeya Kwa mapana yake ni kuanzia Mbalizi hivyo idadi ya watu imezidi hiyo 500k
Hamna kitu Kam hicho ...hata ukijumlisha hyo mbalizi watu laki Tano labda muwe mmefikisha mwaka huu ..ila Kwa sensa ya watu na makazi ya 2012 mlikuwa watu laki 2 na elfu 50.
 
Hivi wewe nawe mpuuzi tu! Hata hiyo Dar unavyoiona Posta takribani majengo yote ni ya mashirika ya uma na makampuni mbalimbali! Hata Arusha majengo mengi pale mjini ni mashirika na NHC! Kwa nini wasije kwenu yuko kwenye matope mbeya kuwekeza? Mbeya bado ni jiji kilaza nchi nzima na kujilinganisha na mwanza ni kupoteza mda! Kwanza hata Iringa inamuonekano mzuri kuliko Mbeya! Mbeya hata ukiwa unaingia mjini hakuna msisimko wowote wa misheni town mji umepoa mmebakia kujigamba!
Tena wewe hujuagi tu wanaume nchi hii wenye pesa wanatokea kanda ya ziwa na kaskazini zingine zitabaki ngonjera!
Kwa hiyo tunakubaliana kwamba kumbe serikali inapendelea hiyo mikoa yenu na kutenga mikoa yetu hasa Mbeya?

Hata mtutenge tunawakimbiza hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom