Chuma MG14
Member
- May 12, 2018
- 72
- 79
Sio wakazi tumesema muingiliano mbona akili yako unaikunja kama kobeFigure zinaongea sio maneno..hata morogoro Ina mwingiliano mkubwa wa watu lakini sio jiji
Ukiniletea figure mbeya Ina watu hao milioni ..niite mbwa Niko hapa
Kuna tajir gan mzawa kutokea kanda ya ziwa hapa nchin sio unaongea upuzi tu hata huerew nn maana ya nyanda za juu kusinHivi wewe nawe mpuuzi tu! Hata hiyo Dar unavyoiona Posta takribani majengo yote ni ya mashirika ya uma na makampuni mbalimbali! Hata Arusha majengo mengi pale mjini ni mashirika na NHC! Kwa nini wasije kwenu yuko kwenye matope mbeya kuwekeza? Mbeya bado ni jiji kilaza nchi nzima na kujilinganisha na mwanza ni kupoteza mda! Kwanza hata Iringa inamuonekano mzuri kuliko Mbeya! Mbeya hata ukiwa unaingia mjini hakuna msisimko wowote wa misheni town mji umepoa mmebakia kujigamba!
Tena wewe hujuagi tu wanaume nchi hii wenye pesa wanatokea kanda ya ziwa na kaskazini zingine zitabaki ngonjera!
Basi kwenye vigezo vya kuwa jiji lazima uwe na wakazi laki 5 ..mbeya ilikuwa na wakazi laki 3 ..suala la muingiliano hata iringa Ina mwingiliano mkubwa wa watu na sio jijiSio wakazi tumesema muingiliano mbona akili yako unaikunja kama kobe
Unaongea porojo eti tajiri gani niambie kwa walio hai Kuna tajiri gani Top ten kutoka mkoa wako au mtanzania halisi yaani black ...K
Kuna tajir gan mzawa kutokea kanda ya ziwa hapa nchin sio unaongea upuzi tu hata huerew nn maana ya nyanda za juu kusin
Hayo ni maoni yakoVi
Viwanda mbeya ni vingi sana na ni mega one, sio vya kijinga jinga kama uwazavyo, TBL, CPS mbeya cement na vingne ving sana sanaaaaa sasa... Unataka nn zaid. Jiji la mbeya halitegemei kilimo tu pamoja na kuwa mkoa unasifik kwa kilimo. Anyway mapato ya mwanza pamoja na kupendelewa kote lkn inapumuliwa vema kbsa na mbeya na fresh tu kwa kigezo cha GDP
Ni laki moja mzee sio 5 kama unavyotaka wwBasi kwenye vigezo vya kuwa jiji lazima uwe na wakazi laki 5 ..mbeya ilikuwa na wakazi laki 3 ..suala la muingiliano hata iringa Ina mwingiliano mkubwa wa watu na sio jiji
Sasa mbona makasiriko sijasema ulete wa top 10😂😂😂😂😂😂 nimesema taja tu hata mmoja maana tutajua tu hata kwa jina tutaweza kumjuaUnaongea porojo eti tajiri gani niambie kwa walio hai Kuna tajiri gani Top ten kutoka mkoa wako au mtanzania halisi yaani black ...
Hizo point unaleta za kishamba na kipuuzi !!
😅😅😅Leta wa kwenu au tuangalie google kama sio wa Asia tu toa ujinga kwenu hamna utajiri Kuna waganga njaa tu.Sasa mbona makasiriko sijasema ulete wa top 10😂😂😂😂😂😂 nimesema taja tu hata mmoja maana tutajua tu hata kwa jina tutaweza kumjua
Mwanza trillion 11, mbeya trillion 8 Geita trillion 6 njombe triliion 2 songwe 1.5 trillion acha ushabiki wa kijinga.Ttzo ni akili tu na kufatilia mambo... Mwanza na mbeya GDP ina tofauti ya 1. Kwa mwaka jana. 10 kwa 9. Geita na njombe, njombe yupo juu... Somiyu na songwe songwe mbali kbsa...
Mwanza haikuwah kohoa kwa mbeya enzi hizo wote hawajamengwa
Sifa ya jiji mapato yake yasitegemee kilimo lakini mbeya mashamba ndio mengi, then unataka kulinganisha na lijiji kubwa dubwasha kubwa kama la mwanzaVi
Viwanda mbeya ni vingi sana na ni mega one, sio vya kijinga jinga kama uwazavyo, TBL, CPS mbeya cement na vingne ving sana sanaaaaa sasa... Unataka nn zaid. Jiji la mbeya halitegemei kilimo tu pamoja na kuwa mkoa unasifik kwa kilimo. Anyway mapato ya mwanza pamoja na kupendelewa kote lkn inapumuliwa vema kbsa na mbeya na fresh tu kwa kigezo cha GDP
Nitajie tajiri mweusi hapa Tanzania ukitoa wanasiasa kama kikwete n.kSasa mbona makasiriko sijasema ulete wa top 10😂😂😂😂😂😂 nimesema taja tu hata mmoja maana tutajua tu hata kwa jina tutaweza kumjua
Mapenzi yako Kwa mbeya yasikifanye kuropoka ropokaSasa mbona makasiriko sijasema ulete wa top 10[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimesema taja tu hata mmoja maana tutajua tu hata kwa jina tutaweza kumjua
Hana exposure huyo achana naye.Mapenzi yako Kwa mbeya yasikifanye kuropoka ropoka
Nitajie tajiri mweusi hapa Tanzania ukitoa wanasiasa kama kikwete n.k
Haaah mshamba mkubwa hujui nn unaongea nitajie mapato ya wananchi ya Arusha kama sio hotel za kitalii , ambazo ni mzunguko wa juu kwa juu mwanancho wa mwisho hamgusiMkuu hicho kigezo kwa mapato ya ndani kukitumia sio sahihi sababu,Majiji na mini kama Kwanza,Morogoro,Kahama,Mkuranga,Geita ,Mbeya,Chalinze mapato mengi yanatokana na viwanda ambavyo Watanzania sio wamiliki na mbaya zaisi mapato hayo yanarudishwa katika miradi ya kijamii sio ya kiuchumi.
Hapo sehemu yenye mzunguko mkubwa wa fedha ni Njombe,DSM,Dodoma,Arusha ambapo mapato hayo yanatokana na kazi za wananchi na sio viwanda.
Moja kwa Moja kwenye mada,
Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..
Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.
Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..
Figures are in Billions Tanzania Shilling.
1. Dar es Salaam CC=167.557
2. Dodoma CC=45.108,
3. Mwanza CC=27.688,
4. Arusha CC=24.333'
5. Tanga CC=17.392,
6. Mbeya CC=15.228,
7. Chalinze DC=10.240,
8. Mkuranga DC=10.011,
9. Kahama MC=9.957,
10. Morogoro MC=9.353,
11. Geita TC=9.024,
12. Tunduma TC =8.593,
13. Njombe TC=8.473,
14. Mufindi DC=8.232,
15. Moshi MC=7.570,
16. Tarime DC=6.718,
17.Mafinga TC=6.306,
18. Mbarali DC=6.241,
19. Rufiji DC=6.040,
20. Muleba DC=5.718,
21. Hanang' DC=5.655,
22. Mbinga DC=5.578,
23. Rungwe DC=5.521,
24.Kibaha TC=5.352,
25. Morogoro DC=5.268,
26. Geita DC=5.186,
27. Chunya DC=5.113,
28. Shinyanga MC=5.100,
29. Kilosa DC=5.093,
30. Iringa MC=5.018,
31. Kaliua DC=4.981,
32. Songea MC=4.912,
33. Ifakara TC=4.898,
34. Tabora MC=4.827,
35. Kilwa DC=4.779,
36. Mbeya DC=4.778,
37. Karatu DC=4.746,
38. Kibaha DC=4.664,
39. Msalala DC=4.634,
40. Misenyi DC=4.595,
41. Tandahimba DC=4.507,
42. Tanganyika DC=4.452,
43. Rungwe DC=4.421,
44. Tunduru DC=4.400,
45. Bagamoyo DC=4.322,
46. Singida MC=4.286,
47. Igunga DC=4.207,
48. Wanging'ombe DC=4.186,
49. Ngara DC=4.142,
50. Njombe DC=4.001..
My Take..
Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro, Njombe na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.[emoji116]
View attachment 2313627View attachment 2313628
Rungwe inapitwa vizuri tu.Naww hujitambui kabsa maana iyo chunya na kyela unazozisifia hapo kwamba ni Bora kuriko Rungwe
Kumbe huijui mbeya vizuri iv Kuna mwaka umewahi kuona kyela au chunya zimeipita Rungwe ya magharibi mapato bila ata kunchanganya ata na ile Rungwe mashariki
Jitafakiri kwanza ndo uandike mamb yako
Rungwe ni kisanga mkuu..... that's why iligomewa kupewa mkoa..ndipo ikapewa songwe....coz ilionekana ingeipunguzia mbeyaNaww hujitambui kabsa maana iyo chunya na kyela unazozisifia hapo kwamba ni Bora kuriko Rungwe
Kumbe huijui mbeya vizuri iv Kuna mwaka umewahi kuona kyela au chunya zimeipita Rungwe ya magharibi mapato bila ata kunchanganya ata na ile Rungwe mashariki
Jitafakiri kwanza ndo uandike mamb yako