Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Moshi ilitakiwa iweyamwisho kutokana nawazawa wa moshi kushindwa kuwekeza kwako naenda kuwekeza kwa wengine. Kwa sasa hivi watu wa moshi wamehasi kwao tofauti na henzi hizo wazee walikimbilia kuwekeza nyumbani maana walikuwa wanaitamikoa mingini ni porini kwaiyo walikuwa awawekezi uko zaidi ya kwenda kuchuma Mali na kurudi nyumbani ila kwa sasa mambo hayo ayapo kabisa
 
Kwa hiyo huko long run vyote hivyo havitafanyika au sio? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Songea je
 
Kwa sasa Mwanza hakuna stendi wala soko sasa hayo mapato ya ndani yanatoka wapi?
 
Chalinze inaizidi Kahama
 
mzunguko wa pesa unapimwa na vitu vifuatavyo -#
uwekezaji wa huduma za kifedha ..
..1 -dar es salaam Ina banki zote
2 Mwanza Ina benki 27
3 arusha Ina benki 24
4 Dodoma Ina benki 15
idadi ya watu wanaoingia na kutoka ndani ya mji
1 dar es salaam watu milioni 6
2 Mwanza watu milioni 2
3 arusha watu milioni 1
4 mbeya na Dodoma watu laki 8
idadi ya wafanya biashara wadogo na WA kati
1 dar es salaam at least 1 milioni
2 Mwanza at least laki 2
Idadi ya hotel na kumbi za starehe
1 dar es salaam
2 arusha
3 mwanza
NB mapato ya halmashauri sio kielelezo Cha mzunguko wa pesa katika mji Bali ni ishara ya uwezo wa halmashauri kujiendesha Kwa kutumia vyanzo vya ndani
 
Pia wageni hawapati fursa sana mji ule inahitajika interaction kubwa kama Arusha maana pale moshi ardhi ni ishu kama sio mzawa
 
Mwakani lazima Mwanza mjambiwe na Arusha sio kwa mafuriko yanayoendelea ya Watalii kwa sasa..

Mwisho Arusha imetoa wapi watu mil.1? Pole Sana Mzee sensa ya Mwisho Dom ni namba 3 Kwa idadi ya watu hata kabla ya Serikali kuhamia,saizi ndio itakuwa kwenye mil.1.

Mwanza mil.2 mjini hawapo labda 1.2 na Mbeya hata laki 6 hawajafika labda kama Mbalizi ikihusika.
 
Haitokija tokea kabisa hao watu Arusha imetoa wapi porojo tu
Arusha kuja kuipiku mwanza bado sana maana ukija overall ya mapato Arusha itakuwa ya sita mwanza ya pili usifikirie kabisa Arusha ashindane na moro tu maana ni pale mjini kuliko bakia umaskini tu
 
Hvi unaelewa au ..nimesema watu wanaoingia na kutoka ..Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi 2012 mwanza ilikuwa na watu 700000 lakini watu waliokuwa wanaoingia mwanza na kutoka idadi hufikia milioni 1.5 Hadi milioni 2 ...
 
😁😁 Haya maneno ndio mlikuwa mnajifariji nayo miaka na miaka sasa mnajambiwa na Dom..

Nimekwambia kwa msululu wa Watalii wa mwaka huu mtapitwa..

Mwaka 2020/2021 Arusha ilikusanya Bil.16 ila Utalii ulivyofunguka 2021/2022 wamepata bil.24 sasa unadhani mwakani itakuaje?

Hapo Mwanza mko humo humo Mika yote Yaani bil.22-27.
 
Hao watalii hawajaanza leo ..hii season ya utalii Kwa hyo usilete hoja mfu
 
Hao watalii hawajaanza leo ..hii season ya utalii Kwa hyo usilete hoja mfu
Kama ni hoja mfu niletee mwaka ambao Arusha iliwahi Kusanya Bil.24 pamoja na full peak ya Utalii ukiacha mwaka huu ulioisha.
 
Unachekesha sana tupinge hatokuja kuipita mwanza hata miaka 20 ijayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…