Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Kama ni hoja mfu niletee mwaka ambao Arusha iliwahi Kusanya Bil.24 pamoja na full peak ya Utalii ukiacha mwaka huu ulioisha.
Yaani unaongea vitu ambavyo havipo .. nyamagana mwaka Jana walikusanya billion 12 lakini mwaka huu wamekusanya billion 17 .. ilemela walikusanya billion 9 mwaka huu wamekusanya billion 10 ..mbona hatusemi .kuongezeka mapato Kuna factor nyingi .na kama royal tour ingekuwa effective tungeona mapato ya miji ya Moshi,bagamoyo,arumeru, Serengeti,na Zanzibar yakiwa juu.....
 
Udanganywa kuja kweny jumla ya mapato hawatoboi Maisha kumpita tu moro ni kibembe
 
Nyamagana ndio wapi? Hiyo haipo popote kwenye mipaka ya Tanzania ila kuna Mwanza Jiji na Ilemela.
 
Ha
Hajielewi kabisa huyo kiazi ngoja yapigwe overall uone ataona huyo Arusha anakuja kamzidi Tanga pesa chache sana Eti aje fananisha na mwanza anaota wa wapi sijui huyo hajitambui kabisa

Miaka kadhaa nyuma Arusha alikuwa nyuma ya Tanga amerise juzi tu hapa eti aje fananisha na mwanza sijui kaend shule kufanya nn
 
Hata na mimi nimewaza hivyo, kweli Mwanza imeanguka hivyo mpaka kupitwa na Dodoma?

Aidha vijana wa Ruangwa wajitahidi wasimwangushe Waziri Mkuu jamani.
Mwanza haijaanguka ila Dodoma imepaa hapo Kwa sababu ya vyanzo vya mapato vya CDA na miradi yake ya viwanja walipewa halmashauri...
 
Poleni sana Baasheee

Nimefurahishwa na Mafinga TC na Mufindi DC kama wasingetenganishwa hii Wilaya ya Mufindi ingekuwa na mapato ya 14.538Bil ambapo ingekuwa ya 7 Kitaifa...hatari sana kwa kweli.

Miaka miwili ijayo Makambako nayo itaingia top 50
Kukaye hoyee
 
shake well before use. tupo kilamahali. tukienda kula skukuu ndio mnashtuka tuna run DSM
 
Sijaona bukoba ya instanbul.
 
Nyamagana ndio wapi? Hiyo haipo popote kwenye mipaka ya Tanzania ila kuna Mwanza Jiji na Ilemela.
Unajiabisha bure, kwenye mipaka ya tanzania Kuna wilaya ya nyamagana, unaposikia Mwanza City Council inakusanya na kuhudumu ndani ya Wilaya za nyamagana tu. Ila unaposikia jiografia ya Jiji la Mwanza ni Wilaya za nyamagana na ilemela, kule ilemela wanahudumiwa na ilemela manicipal.
 
Anajitoa ufahamu tu ...ni sawa na halmashauri ya jiji la dar es salaam ilikuwa ni ilala pekee..
 
Kwenye halmashauri TRA hawatozi kodi kutoka kwa wafanyabiashara mbali mbali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…