Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema familia ya odinga omolo maana hata baba yake alikufa anasikitika kutokuwa Rais wa Kenya hata kwa siku mojaRaila ni mfano mzuri kwamba kuna mambo mtu anaweza kuyatamani sana kwenye maisha lakini asiyapate.
Wakati mwingine ni vyema tu kuridhika na ulicho nacho na kukifurahia.
Mbona kati ya wale wateuliwa hayupo!? Ipi ni halisi hii au ile? Nahisi hii ina dhihaka ndani yake[emoji848][emoji2827]Umestahili Ndugu yangu ( japo wapo Wasaga Kunguni hapa JamiiForums ila siyo Mimi MINOCYCLINE ) kutwa hawakutakii Mema...
We Mzee sikusomi ujue.Kumuelewa MINOCYCLINE kunahitaji IQ Kubwa.
MINOCYCLINE hueleweka vyema na Geniuses wa Mfano wako hapa JamiiForums.Mbona kati ya wale wateuliwa hayupo!? Ipi ni halisi hii au ile? Nahisi hii ina dhihaka ndani yake[emoji848][emoji2827]
Hakuteuliwa..!We Mzee sikusomi ujue.
Hebu weka hoja hapa kabla hatujakupima mkojo
Napenda nimuulize mkuu Paskali,hivi Kuna mtoto yoyote ambaye mzazi wake aliwahi kuwa kada,au kiongozi mkubwa kwenye "ccm"ambaye yupo vyama vya upinzani?au kuhama ccm,ni ngumu maana ndio kwenye ulaji?Umestahili Ndugu yangu ( japo wapo Wasaga Kunguni hapa JamiiForums ila siyo Mimi MINOCYCLINE ) kutwa hawakutakii Mema...
MINOCYCLINE umetuingiza chaka.Hakuteuliwa..!
Aisee yule aliyesemwa kagoma kuhairisha Karma? Jibu kama ni ndiyo msemwa wa uzi huu nampongeza kwa kumalizana na Karma Sasa njia nyeupe!Mbona kati ya wale wateuliwa hayupo!? Ipi ni halisi hii au ile? Nahisi hii ina dhihaka ndani yake[emoji848][emoji2827]
We Sasa unataka uchawa kwa mayalla, yaani unathubutu kusema mayalla ni mwerevu kushinda woote humu Jf??Umestahili Ndugu yangu ( japo wapo Wasaga Kunguni hapa JamiiForums ila siyo Mimi MINOCYCLINE ) kutwa hawakutakii Mema.
Nichukue nafasi hii Kukupongeza Ndugu yetu na Genius JamiiForums nzima kwa kuwa Shortlisted huko na CCM hivyo tunaokupenda na kuwachukia wale Wasaga Kunguni hapa JamiiForums wanaokuandama Kutwa tunakutakia Kila Ia Kheri.
Hakika Ndugu Pascal Mayalla ile Michango yetu Kwako imelipa na Baraka zaidi Kwako hadi kupelekea CCM Kukuona unafaa na Kukuteua kuwa Mmoja wa Wagombea wa CCM huko EALA.
Ni Matumaini yangu Mteuliwa Pascal Mayalla kwakuwa kule Kawe ulipotia Nia ndani ya CCM ulipata Kura Moja ( 1 ) tu ninaamini huku Kwingine utazoa Kura zote za Wapiga Kura ( Wajumbe ) kwani ukishakuwa tu Wakili Msomi hakuna wa Kukukataa na Kukupinga popote pale ukizingatia Wewe ni Maarufu, Mwanahabari Mkubwa na Mwana JamiiForums Mwerevu kushinda Wote.
Hongera sana kwa Kuaminiwa CCM.