Orodha ya Majina ya CCM walioteuliwa kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki

Orodha ya Majina ya CCM walioteuliwa kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki

Bunge limejaa akina babu Tale. Namshauri role model wangu Pascal Mayalla atakapopewa muda wa kujinadi aongee kwa maneno laini (aepuka kutumia maneno magumu). Ili akina babu Tale waambulie kitu.
CCM hawakuteui kama wanajua kuwa ni Mnafiki halafu na Dossier yako wanayo tena inaonyesha hutokuwa na Msaada wa Kisiasa na Kiutendaji Kwao au hata kwa Nchi ( Taifa )

Imeisha hiyo.......!!!!!!
 
Hongera sana Pascal.
Ninaamini Mwenyenzi Mungu atatenda
Mwenyezi Mungu huangalia pia wa Kuwatendea hayo Mema na si kila Mtu ( hata Hypocrite, Flatterer and a Pimp ) atamtendea tu na huyo atakayetenda hivyo atakuwa ni mungu na siyo Mungu huyu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo ambaye nami MINOCYCLINE namuabudu halafu ananipenda, ananilinda na ananibariki sana tu.
 
Orodha ya Majina ya CCM walioteuliwa kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki

View attachment 2351963

MY TAKE;

Pascal Mayala hayumo tena.
Pasco Kaa hapo hapo, nakumbuka Ulisema hukugombea kuomba huruma ya mtu Bali uwezo.

Mtumbwi ulotaka kuingia unazama soon, hivyo ni KHERI kwako kuambiwa seat zimejaa.

Tazama KITABU kipya, kipe promo, future Yako Iko huko.

Ameeeen.
 
Mayala ni kichwa ila jana nilisema hawezi kula keki ya nchi hii kamwe maana post zake zimekaa kifasihi sana.anaonekana ni mwana CCM ila ukimsoma between the line utagundua ni mpinzani.wenye akili tu ndio huwa wanamuelewa
Pascal ni mpinzani, anasaidia upinzani ujitambue kuchukua Dola, hapo anafanya vizuri.

Abarikiwe.
 
Ni jambo lililo dhahiri JF kuna watu ni wachawi kamili ila walichokosa ni vitendea kazi tu.

Hivi kufurahia mwenzako anapokosa kitu kama siyo uchawi ni nini?

Ila hakika nawaambieni mtu mwenye uthubutu ipo siku atafanikiwa Kwa njia yoyote ile.

Kuna siku hapa mnaomchukia Pasco mtaona press release kutoka mawasiliano ikulu hamtoamini macho yenu.

Makonda alimdharau sana huyu Katibu mkuu wa Ccm kipindi cha ufalme wao, Leo baba kafa na jamaa ndio Mtendaji mkuu wa Ccm Makonda hajachukuwa fomu ya kuomba nafasi yoyote Kwa sababu anajuwa kifuatacho ITV.

Tuishi Kwa unyenyekevu hakuna aijuwaye kesho.
 
Back
Top Bottom