MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
CCM hawakuteui kama wanajua kuwa ni Mnafiki halafu na Dossier yako wanayo tena inaonyesha hutokuwa na Msaada wa Kisiasa na Kiutendaji Kwao au hata kwa Nchi ( Taifa )Bunge limejaa akina babu Tale. Namshauri role model wangu Pascal Mayalla atakapopewa muda wa kujinadi aongee kwa maneno laini (aepuka kutumia maneno magumu). Ili akina babu Tale waambulie kitu.
Imeisha hiyo.......!!!!!!