Orodha ya Majina ya CCM walioteuliwa kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki

Orodha ya Majina ya CCM walioteuliwa kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki

Kila la heri brother Pascal. Mwenyezi mungu akipanga hawa nywele ngumu wa JF wataumbuka at the end of the day
 
Yaani mtu ana umri wa miaka 70+ halafu bado hana life security.

Umri huo kwa mtu anae jinasibu ya kuwa na career nzuri kwenye media sasa hivi kutokana na opportunity alizopata alitakiwa kuwa on top ‘Maslow Hierarchy of Needs’ na sio kugombea nafasi za kupanda daraja kwa kujipendekeza.

A bad role model anaehalalisha siasa za kujipendekeza kuja JF kuomba aombewe mafanikio at that age. The message is tasnia ya habari unaweza itumikia kwa miaka zaidi ya 40 ata kwa nafasi ya usalama wa taifa na bado ukafa njaa uzeeni.
 
Pasco akiupata itabidi abadilishe jina maana atakuwa ameiaga njaa.Kuendelea kujiita Mayala title itakuwa haiendani na maudhui.Mwakyembe alisema ukiingia EALA,unapata kila kitu,unakuwa huna njaa ten.Alilekakooooo
 
Ni Matumaini yangu Mteuliwa @Pascal Mayalla kwakuwa kule Kawe ulipotia Nia ndani ya CCM ulipata Kura Moja ( 1 ) tu ninaamini huku Kwingine utazoa Kura zote za Wapiga Kura ( Wajumbe ) kwani ukishakuwa tu Wakili Msomi hakuna wa Kukukataa na Kukupinga popote pale ukizingatia Wewe ni Maarufu, Mwanahabari Mkubwa na Mwana JamiiForums Mwerevu kushinda Wote.
Dah kumbe ni dongo!
 

Attachments

  • IMG-20220910-WA0036.jpg
    IMG-20220910-WA0036.jpg
    77.6 KB · Views: 1
  • IMG-20220910-WA0037.jpg
    IMG-20220910-WA0037.jpg
    51.9 KB · Views: 1
🤣🤣🤣 Mtamuua huyu babu kwa dhihaka zenu anyway ameshaelewa clear kwamba zama zake zimeisha ni kukusanya mabaki akalime kijijini kwao maana kula kwa mrija....kumeshampita
 
Hata kama unachukia mtu Kwa sababu yeyote ile na hajakufanyia ubaya wowote wewe binafsi, hauwezi kuwa na chembe ya huruma au ubinadam hata kidogo?

Kwa ufupi, usifurahie anguko la binadam mwenzako, hasa kama hajakufanyia chochote kibaya ( Kwa wakomavu hata kama umekosewa, unabariki na kumsamehe tu).
 
Hata kama unachukia mtu Kwa sababu yeyote ile na hajakufanyia ubaya wowote wewe binafsi, hauwezi kuwa na chembe ya huruma au ubinadam hata kidogo?

Kwa ufupi, usifurahie anguko la binadam mwenzako, hasa kama hajakufanyia chochote kibaya ( Kwa wakomavu hata kama umekosewa, ubarikiwe tu).
Others are Sadists by nature Okay?
 
Dah kumbe ni dongo!
Ww mtu ndumila kuwili, anajiongeleshaongelesha tu bila sababu za msingi...nani amteue? Labda sio CCM ninayoifahamu mm, mwaka 2018 mwishoni..nilimpenyezea issues flani ya uteuzi kupitia Id nyingine...asee alijibu hovyo mpaka wazee wakasema Cancel hilo jina,
Nikampenyezea isssue ya jokate, aolewe mapema apandishwe cheo, maana alikuwa anatafutwa mkuu wa mkoa wa kike, akaanza kunimind kwa vi theory vyake vya hovyo....akochongea thread ikafutwa. Leo jokate kazalishwa ofisini na wahuni bila ndoa, sio muda atapigwa chini apotee mazima. Mpuuzi sana huyu mzee
 
I am very sorry Brother Pascal Mayalla , najisikia vibaya mtu kudhihakiwa! Nilitoa comment Yangu kutoka moyoni just to realize later kwamba sio taarifa sahihi, pamoja na kuwa na mitizamo tofauti kisiasa ni LAZIMA tuheshimu hustles za wenzetu as individuals.

Brother, when one door is closed, a hundred more are open ni suala la muda tu. Huu Uzi ufutwe
 
Wacha weeee hongera zake.
Ila watu mna maneno ati alipata kula moja? Anyway wananchi hawapendi watu wasomi ndo maana unakuta mbunge ni form 4B karan wake au dereva wake ana degree.

Sasa tunawasubiri wasomi wetu walioko bungeni kama watamfanyia unafiki
Bunge limejaa akina babu Tale. Namshauri role model wangu Pascal Mayalla atakapopewa muda wa kujinadi aongee kwa maneno laini (aepuka kutumia maneno magumu). Ili akina babu Tale waambulie kitu.
 
Kuna Siku alianzishiwa Uzi hapa ambao ulikuwa ni wa Kimkakati na Mtego Kwake baada ya Watu wake wa karibu ambao Wawili wapo Kitengo Kumsoma kuwa alikuwa na Hasira na Mamlaka inayomilikiwa na CCM yake na Yeye Kichwa Kichwa akauachangia ule Uzi na kusema Kauli ambayo ndiyo Imemmaliza na Kumgharimu ya kusema Yeye hana Hadhi ya kuwa Mkuu wa Wilaya ( DC ) kutokana na Elimu yake Kubwa na kuwa Mwerevu ( Intelligent ) kuliko Wana JamiiForums na Watanzania wote.

Alitegwa patamu tu nae akajaa pia.
Ana ujuaji mwingi sana, akamtafute Mzee Mdee aendelee na project yao ya kuwasafisha,
Pia aendelee kuipiga modongo CDM,
 
Umestahili Ndugu yangu ( japo wapo Wasaga Kunguni hapa JamiiForums ila siyo Mimi MINOCYCLINE ) kutwa hawakutakii Mema.

Nichukue nafasi hii Kukupongeza Ndugu yetu na Genius JamiiForums nzima kwa kuwa Shortlisted huko na CCM hivyo tunaokupenda na kuwachukia wale Wasaga Kunguni hapa JamiiForums wanaokuandama Kutwa tunakutakia Kila Ia Kheri.

Hakika Ndugu Pascal Mayalla ile Michango yetu Kwako imelipa na Baraka zaidi Kwako hadi kupelekea CCM Kukuona unafaa na Kukuteua kuwa Mmoja wa Wagombea wa CCM huko EALA.

Ni Matumaini yangu Mteuliwa Pascal Mayalla kwakuwa kule Kawe ulipotia Nia ndani ya CCM ulipata Kura Moja ( 1 ) tu ninaamini huku Kwingine utazoa Kura zote za Wapiga Kura (Wajumbe) kwani ukishakuwa tu Wakili Msomi hakuna wa Kukukataa na Kukupinga popote pale ukizingatia Wewe ni Maarufu, Mwanahabari Mkubwa na Mwana JamiiForums Mwerevu kushinda Wote.

Hongera sana kwa Kuaminiwa CCM.
Endelea ndg Pasco kuuimarisha upinzani indirect ktk JAMII, KAZI hiyo ni kubwa.

Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom