Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
[emoji16][emoji16]Unfinished business, usinikumbushe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Unfinished business, usinikumbushe...
hahaaa hovyo kabisa...kwenye ufalme wa Mungu wewe ukiwepo mimi nakata rufaaBahati mbaya bana hata kwenye ufalme wa Mungu wapo watakaosahaulika kama nyinyi hivi
Naomba usinirushie mawee
Yaan acha nimehangaika wewee leo kuna mtu kanielekeza app ikakubali nitajaribu siku nyingine,nilikuwa natumia browsernikawa nawawekea marangi kwa hasira tu za kushindwa kuloginHahaha
App yako itakuwa na shida wew
I uninstall halaf upakue upya.
Mimi mwenyewe nlivo rud PM zikawa zimepotea
hahaaa...unaleta u UVCCM eeh??...kutetea mpka makapiHapo tulimtuma mwakilishi wetu Mama Sabrina
Na wasingeweka hata mmoja wetu tungepinga balaaHapo tulimtuma mwakilishi wetu Mama Sabrina
Kutumia browser sijawahi weza jamaniYaan acha nimehangaika wewee leo kuna mtu kanielekeza app ikakubali nitajaribu siku nyingine,nilikuwa natumia browsernikawa nawawekea marangi kwa hasira tu za kushindwa kulogin
Arudie tena utafiti wake..anaanzaje kumasahu demisskha bila pacha wangu kuwepo kwenye list huu utafiti wako ni batili
Ahhahahaha utashangaaa nipo halaf wewe motoni ndio utakapojiuliza mbona li mama sabrina lina dhambi nyingi kumbe hizo dhambi ulikuwa unanivesha tuhahaaa hovyo kabisa...kwenye ufalme wa Mungu wewe ukiwepo mimi nakata rufaa
Mwacheeee nasemaa katetea wapihahaaa...unaleta u UVCCM eeh??...kutetea mpka makapi
hahaa huyo Mungu akikuweka na wew itakuwa ameanza kupokea miamala ..sio bureAhhahahaha utashangaaa nipo halaf wewe motoni ndio utakapojiuliza mbona li mama sabrina lina dhambi nyingi kumbe hizo dhambi ulikuwa unanivesha tu
Kuna raha yake pia unaweza weka maandishi ya rangi ya njano kama mtu kakuudhi ili ashindwe kuoma vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutumia browser sijawahi weza jamani
AaahKuna raha yake pia unaweza weka maandishi ya rangi ya njano kama mtu kakuudhi ili ashindwe kuoma vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh!...Ntumie nauli nije
Elfu 50 tu.Duuh!...
Nauli tena kama sh ngapi
Mmh!.naitumaje hiyo 50Elfu 50 tu.