hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
sishindi kwenye ukuda pekee thats why ...Nina majukwaa pendwa zaidi ya hayo ...hata wewe mwenyew huwa nakuonaga kwenye majukwaa yenye hoja fikirishi...kitu ambacho nitofauti na kwamtoa mada...yeye anaganda huku huku tu ..so wadhani watu kama Mwanahabari Huru @kiranga.@deception atawajulia wapWee kwenye ukuda huwaga hukosekanii nashangaa unatupondaa